Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Tunahakiki vipi link mkuu
Reje post #1 hiki kipengele no. #4 - Click neno Spoiler
upload_2017-2-19_20-16-12.png
Ninawajibika kukagua link husika kabla ya kukupa ghalama za manunuzi.
 
View attachment 471281
Iwapo utakuwa tayari kusubiri kwa wiki 1 - 4, Kupata hii item

Basi twaweza kuendelea na Taratibu za manunuzi
View attachment 471282
Sambamba na manunuzi, Pia inatakwa uchague "Package" mojawapo ya mwezi kati ya hizo.

Karibu

mber: 34626"]Asante sn mkuu, nimekupata vizuri kabisa. Hivi gharama inaweza kufiak ngapi mpaka kufika?[/QUOTE]

Package ni hiyo ya Bronze.ila package hope tunaweza lipa tu hata tukiwa na device?
 
Ndugu Peaceforever

{1} Manunuzi (kifaa + Package ya mwezi - Bronze) ni USD $200

{2} Wametoa angalizo kuwa, NI lazima ulipie kifaa na Package mojawapo ya mwezi.
Asante sn mkuu, nimekupata vizuri kabisa.{1} Hivi gharama inaweza kufiak ngapi mpaka kufika?
Package ni hiyo ya Bronze. {2} ila package hope tunaweza lipa tu hata tukiwa na device?
upload_2017-2-20_16-50-15.png


Ukiwa tayari kufanya malipo nijulishe

sms/call 0717 54 57 62 / 0768 92 48 41 / 0784 496 856 au
Whatsapp +255 784 496 856 au
JF PM


Karibu
 
Mkuu hii itagharimu kiasi gani mpaka kufika?
Link
upload_2017-2-20_19-32-29.png

1. manunuzi na kuufikisha mzigo ofisi za USA ni USD $25.27

2. Ghalama ya kusafirisha kuja Tanzania itatokana na Uzito wake - itajulikana baada ya mzigo kupokelewa na kupimwa uzito

Hivyo kutakuwa na awamu mbili za malipo

Ukiwa tayari kufanya manunuzi nijulishe

sms/call 0717 54 57 62 / 0768 92 48 41 / 0784 496 856 au
Whatsapp +255 784 496 856 au
JF PM
 
Siwezi buti
4a557d38f4edb992769058c9cee5cc49.jpg
VP mkuu uricheki
View attachment 472515
1. manunuzi na kuufikisha mzigo ofisi za USA ni USD $25.27

2. Ghalama ya kusafirisha kuja Tanzania itatokana na Uzito wake - itajulikana baada ya mzigo kupokelewa na kupimwa uzito

Hivyo kutakuwa na awamu mbili za malipo

Ukiwa tayari kufanya manunuzi nijulishe

sms/call 0717 54 57 62 / 0768 92 48 41 / 0784 496 856 au
Whatsapp +255 784 496 856 au
JF PM
 
VP mkuu uricheki
Habari

Hatua ya kwanza: NIPATIE LINK YA BIDHAA UNAYOHITAJI
- Iwapo unatumia simu, Download OPERA browser, fungua ukurasa husika wenye bidhaa, kisha Copy link yake.
- Utanipa link kwa njia tajwa hapo
- Inatakiwa link ya bidhaa husika, sio picha

Hatua ya pili: NITAPITIA LINK HUSIKA
- Iwapo iko sawa nitakupa mchanganuo wa ghalama - Manunuzi + kusafirisha + My charges

Hatua ya Tatu: UTAFANYA MALIPO KWA UTARATIBU ULIOPO
- Order yako itakamilishwa ndani ya dakika 5 - 15
- Utapewa uthibitisho

Kwa kuzingatia hizo hatua chache, tutafanikisha manunuzi.

KARIBU
 
Ngoja nisikilizie kwanza isijekuwa huyu ni kama yule nilietoa angalizo mwisho wa siku akawa hapokei simu za watu.
 
Hapo kwenye red nahitaji ufafanuzi kidogo.
yani kwa mfano nimepokea mzigo toka kwako baada ya process zote za manunuzi toka masoko ya nje bt kwa bahati mbaya mzigo ukawa fake, mf simu je ni hatua zipi zitachukuliwa.....??
 
simu je ni hatua zipi zitachukuliwa.....??
- Bidhaa husika utairudisha kwangu/ itabakia kwangu
- Ili kufuata taratibu za Full Refund au kutumwa bidhaa nyingine.

Nyongeza
- Hata kama umepoke bidha halisi, Genuine, na ukaanza kuitumia, mfano kwa muda wa miezi miwili ukiwa unatumia, ukabaini ina hitilafu toka kiwandani.
- Utarudisha kwangu, Na taratibu za kupata bidhaa nyingine itakuwa ni juu yangu.

Jambo muhimu ni hili; Tatizo lolote kuhusu bidhaa uliyopokea kupitia hii huduma ya BUY4ME, inatakiwa litolewe taarifa wakati wowote ndani ya SIKU 180, tangu order ilipofanyika.

KARIBU
 
- Bidhaa husika utairudisha kwangu/ itabakia kwangu
- Ili kufuata taratibu za Full Refund au kutumwa bidhaa nyingine.

Nyongeza
- Hata kama umepoke bidha halisi, Genuine, na ukaanza kuitumia, mfano kwa muda wa miezi miwili ukiwa unatumia, ukabaini ina hitilafu toka kiwandani.
- Utarudisha kwangu, Na taratibu za kupata bidhaa nyingine itakuwa ni juu yangu.

Jambo muhimu ni hili; Tatizo lolote kuhusu bidhaa uliyopokea kupitia hii huduma ya BUY4ME, inatakiwa litolewe taarifa wakati wowote ndani ya SIKU 180, tangu order ilipofanyika.

KARIBU
nashukuru sana mkuu kwa kujieleza kikamilifu, hivi nikiwa nahitaji iphone 5s toka fastcardtech ambayo ipo smwhr arnd $169.00, uzito ni 0.40kg ( estimated ), je itanigharimu kiasi gan jumla ukijumlisha na fees zako......??
 
nashukuru sana mkuu kwa kujieleza kikamilifu, hivi nikiwa nahitaji iphone 5s toka fastcardtech ambayo ipo smwhr arnd $169.00, uzito ni 0.40kg ( estimated ), je itanigharimu kiasi gan jumla ukijumlisha na fees zako......??
Ni vyema ukanipatia link husika

Angalizo
- Fastcardtech wanatoa free shipping kwa bidhaa zote - Tatizo zinachukua muda mrefu siku 14 - 21.
- Ila kuna express shipping kwa DHL, huwa inachukua kati ya siku 3 - 5 unapokea mzigo, Shipping cost kwa DHL ni USD $40
- Karibu
 
Ni vyema ukanipatia link husika
Seawhale
Nimeiona link husika.

Hii hapa
Code:
https://www.fastcardtech.com/Apple-iPhone-5S-Used.html#review-view
Muhimu cha kuzingatia - Hiyo simu ni USED, sio mpya, na bei yake ndio hiyo USD $169 (bei ya punguzo wakati awali ilikuwa USD $227.98)

je utatumia free shipping au utalipia DHL?
 
Back
Top Bottom