Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nenda ofisini kwao mkuu kama uko Dar, hata kama hauko dar lkn una mtu kule unaweza kumuomba akakusaidia kufatilia. At least wangekupa taarifa ya mzigo kudelay kutokana na hali ya corona ilivyosababisha mambo kusimama.
Mkuu ofisi yao inapatikana wapi
 
Mwalimu ana ofisi kwani?
Sina hakina mkuu ila ninahisi atakuwa na tatizo maana jamaa ni mwaminifu mimi simjui personally ila nilikuwaga namtumia ela nliyokuwa napokea skrill ye ananitumiampesa mara kadhaa. Haya mambo ya kuagizia watu mizigo yana changamoto sana naona faiza ally tu ndo kayamudu
 
Nimewasiliana nae yuko poa. Na mizigo imeaanza kutoka kupokelewa hapa nchini. Kwa mliokuwa mnasubiria hilo basi ondoeni shaka. Hata yeye tayari ameshaanza kupokea parcels zilizokuwa zimekwama au kuchelewa. Kila mtu atapewa utaratibu wa kupokea mzigo wake
 
anzisha uzi wako acha kuharibu uzi wa mtu mwingine.....
 
Kuhusu utapeli kwa huyu Bwana hapana usimchafulie jina..amenihudumia zaidi ya Mara tatu na mizigo yote ilifika salama..Mara ya mwisho ameninunulia mzigo wa mil.1.5.

Wewe si ajabu ni yeye kwa kwa acc ingine mjini hapa
 
Kweli amepotea Mungu amssidie arejee tena. Jamaa ni mwaminifu sana nimeshamtumia kuagizw bidhaa mara tatu .

Mkuu mwl CRT rudi tafadhali.
 
Ni nani mwingine mwaminifu awezaye kuaminika kwa kuagiza bidhaa nje ya nchi ?
mwenye uzoefu tafadhali ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…