Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

- Hakuna kwa kundi A

Sababu
- Items zote, (Tv set & Home theater ) huwa na uzito mkubwa, huwa ni zaidi ya 5kg
- Hivyo ni vigumu kupata Free shipping
- Ni vigumu kupata katika Soko kundi A

Utanunua USA au UK lakini ghalama ya kusafirisha itakuwa juu ya mnunuzi, kama ilivyo maelekezo kwenye Soko kundi B.
Mkuu uko vizuri sana kwenye kutoa ufafanuzi, mie pia nilipenda home theatre matata huko amazon ila wauzaji walinikatisha tamaa kuwa hawasafirishi kuja TZ, kwa hapa inakuwaje mkuu ikiwa bado nitahitaji niifikishe bongo?
 
Mkuu uko vizuri sana kwenye kutoa ufafanuzi, mie pia nilipenda home theatre matata huko amazon ila wauzaji walinikatisha tamaa kuwa hawasafirishi kuja TZ, kwa hapa inakuwaje mkuu ikiwa bado nitahitaji niifikishe bongo?
Futa hatua hizi.
1. Nipatie link ya item husika.
2. Nitakupa ghalama ya kusafirisha hadi TZ, sambamba na ghalama ya kununulia
3. Utafanya malipo kwa utaratibu nilio uweka hapo juu
4. Manunuzi yatafanyika na mzigo utasafirishwa kuja Tanzania - Utapewa tracking number ya mzigo wako.
 
upload_2017-1-18_6-33-25.png
Kwa huduma PAY4ME & BUY4ME
- Waweza kuwasilina nami kwa whatsap +255 784 496 856
- Ukiwa mahala popote pale Tanzania au Nje ya Tanzania
 
Tabs nzuli kwa wanachuo
Code:
 http://www.gearbest.com/promotion-january-tablet-deals-special-1144.html

upload_2017-1-18_7-5-5.png
 
Tabs nzuli kwa wanachuo
Code:
 http://www.gearbest.com/promotion-january-tablet-deals-special-1144.html

View attachment 461105
Kaka hiyo mambo pesa ngapi mpaka inanifikia hapa jijini dar es salaam, naomba kufahamu. Ili nijipange kuikamata inisaidie kusoma kwa wepesi hapa chuo.
 
Kaka hiyo mambo pesa ngapi mpaka inanifikia hapa jijini dar es salaam, naomba kufahamu. Ili nijipange kuikamata inisaidie kusoma kwa wepesi hapa chuo.
- Inategemea na model ya item uliyochagua. Fungua hiyo link kuna items nying tofauti
- Inategemea shipping uliyochagua - Njia ya haraka ni siku 3 - 7, njia ya kawaida ni siku 14 - 28

Nini cha kufanya
1. Fungua hii link:
The Best Tablet TECLAST TBOOK Flash Sale from Just $69.99 - GearBest.com

2. Chagua item utakayovutiwa nayo.
3. Nipe link na nitakupa ghalama ya kuifikisha hapa TZ

Mfano
- Mimi binafsi nimechukua Jumper Ezbook 2 Ultrabook Laptop
- Nimevutiwa na reviews zake na uwezo wa kutunza charge, ambapo kwa matumizi makubwa waweza fikisha masaa 8 na kwa matumizi ya kawaida hadi masaa 12
- Ina Display iliyo bora zaidi



Manunuzi na shipping nimetumia USD $239.80

upload_2017-1-18_8-47-7.png


upload_2017-1-18_8-49-17.png
 
Code:
>>https://www.amazon.com/Dell-Inspiron-i7559-2512BLK-Generation-GeForce/dp/B015PYZ0J6/ref=as_sl_pc_tf_til?tag=_&linkCode=w00&linkId=&creativeASIN=B015PYZ0J6<<
 
Habari ndugu Tombstone Piledrive

Link uliyoweka haionekani.

Ili link ionekane vyema tumiae NENO Code & hizi alama [ ] mwanzoni na mwishoni mwa link, Angalia hii picha
Code:
  >>WEKA LINK HAPA <<
View attachment 461933


Code:
https://www.amazon.com/Dell-Inspiron-i7559-2512BLK-Generation-GeForce/dp/B015PYZ0J6/ref=as_sl_pc_tf_til?tag=_&linkCode=w00&linkId=&creativeASIN=B015PYZ0J6
 
Code:
>>https://www.amazon.com/Dell-Inspiron-i7559-2512BLK-Generation-GeForce/dp/B015PYZ0J6/ref=as_sl_pc_tf_til?tag=_&linkCode=w00&linkId=&creativeASIN=B015PYZ0J6<<
upload_2017-1-20_14-29-5.png

Nipe muda ili nipate jibu toka kwa seller iwapo (a) Atatuma moja kwamoja kuja Tanzania au (b) Mzigo upokelewe kwanza katika ofisi ya New York - USA ndipo isafirishwe kuja Tanzania.

Nitakujulisha ghalama kamili baada ya kupata jibu.

Ahsante
 
Code:
>>https://www.amazon.com/Dell-Inspiron-i7559-2512BLK-Generation-GeForce/dp/B015PYZ0J6/ref=as_sl_pc_tf_til?tag=_&linkCode=w00&linkId=&creativeASIN=B015PYZ0J6<<
Seller hatumi nje ya USA, hivyo
- Mzigo utapokelewa USA
- Ndipo utatumwa kuja Tanzania
- Ghalama ya kusafirisha hadi TZ ni USD $121.54 ( hii ni kutokana na uzito wake)
upload_2017-1-20_14-54-2.png


Hivyo manunuzi na Kuufikisha mzigo katika ofisi za USA ni USD $805.66

Kuusafirisha mzigo hadi TZ ni USD $121.54

Jumla USD $927.2
 
Seller hatumi nje ya USA, hivyo
- Mzigo utapokelewa USA
- Ndipo utatumwa kuja Tanzania
- Ghalama ya kusafirisha hadi TZ ni USD $121.54 ( hii ni kutokana na uzito wake)
View attachment 461936
View attachment 461937

Hivyo manunuzi na Kuufikisha mzigo katika ofisi za USA ni USD $805.66

Kuusafirisha mzigo hadi TZ ni USD $121.54


mkuu nauchukua mkononi mwako? na pia wewe ni middle man, je nikikuta si wenyewe inakuaje?
 
[emoji778]UTANGULIZI

Je Kuna bidhaa unataka kununua toka nje ya nchi kwa sababu hapa Tanzania umetafuta na umekosa kuipata?

Je kuna huduma unahitaji kulipiwa mtandaoni?

Kama jibu ni NDIO basi hii thread inakuhusu.

Thread hii ni maalumu kwa wanaohitaji kununua bidhaa yeyote toka nje ya nchi. Bidhaa ambazo
  1. Hazipatikani hapa nchini au
  2. Hata ukipata ghalama yake huwa ni kubwa mara mbili zaidi, ukilinganisha na ghalama ya Kununua nje + Ghalama ya usafirishaji + Kodi
Hivyo thread hii itajikita katika nyanja kuu mbili:

[emoji778]1. BUY4ME
: Manunuzi ya bidhaa mtandaoni toka mataifa 15: ITALY, UAE, CANADA, UK, USA, JAPAN, FRANCE, CHINA, INDIA, GERMAN, MALAYSIA, SINGAPORE, SPAIN & SOUTH AFRICA. Huduma hii nitaiita BUY4ME.

(a) Kupitia huduma hii ya Buy4me Utaweza kununua bidhaa kutoka katika masoko* yaliyo bora yasiyouza na kusafirisha bidhaa nje ya nchi zao.

(b) Pia ununuzi wa bidhaa toka masoko* ambayo yanaweza tuma bidhaa nje ya nchi zao, kuja huku Tanzania (Africa)

*Masoko = Online shopping site

Jukumu langu ni (i) KUKUNUNULIA (ii) KUKUSAFIRISHIA (iii) KUKUFIKISHIA mahala ulipo pindi bidhaa yako ifikapo hapa nchini.

[emoji778]2. PAY4ME
: Malipo ya dharula ya hapo kwa hapo kulipia huduma na bidhaa
Kutokana na kadi yako kuisha mda wake au kadi yako inashidwa kufanya miamala kwa wakati huo ambao unashida.
Yamkini upo safarini na unahitaji ufanyiwe malipo kwa haraka.
Na iwapo pia huna kabisa access na online payment system yeyote.
Huduma hii itajulikana kwa jina la PAY4ME .

Mfano:
Kulipiwa domain name, webhosting , licence keys kwa software au program yeyote uitakayo mtandaoni , Kulipiwa huduma au uanachma katika tovuti mbalimbali mfano Netflix au HBO n.k

[emoji778]UTARATIBU WA KUNUNUA BIDHAA - BUY4ME

Utafuata hizi hatua

1. Tafuta bidhaa unayoihitaji toka tovuti tofauti tofauti.

2. Chagua bidhaa husika unayohitaji katika tovuti uliyo chagua mfano kama ni ALIEXPRESS, SOUQ, AMAZON (.com, .in, .uk ) au EBAY (.in, .com, .uk)

3. Nipe link ya hiyo bidhaa unayohitaji na uliyochagua.
Utanipa link kupitia email au whatsapp au PM

4. Nitaikagua link husika na Nitakujulisha gharama kwa TSH inayotakiwa kulipwa.

5. Utafanya malipo kwa utaratibu wa malipo uliowekwa.

6. Ndani ya dakika 5 - 45 tangu ufanye malipo nitakuwa nimelipia bidhaa yako na kukupa ushahidi wa:
- Payment Invoice,
- Picha (Screen shot) ya Bidhaa yako baada ya malipo kufanyika.
- Uthibitisho wa email niliyopokea baada ya muamala kukamilika.
- Hatua hii nitahitaji email yako au namba ya whatsapp ili kukutumia hivi vielelezo.

7. Utasubiri ndani ya saa 24 – 72 ili kupata tracking number ya mzigo wako kwa mizigo yenye tracking number.

8. Mzigo wako utachukua kati ya siku 9 – 21 kukufikia mahala ulipo.
TRACKING.png

TIME_TAKEN.png


[emoji778]GHALAMA UTAKAZONILIPA

- Kwa huduma ya BUY4ME utanilipa kwa makubalino baina yako wewe na mimi kutegemea thamani ya mzigo wako. Kiwango utakacholipa ni kati ya USD 2.5(Minimum) hadi USD 25 (maximum)

- Kwa huduma ya PAY4ME hii utalipia kiasi cha USD 2.5 hadi USD 5 Tu.

- Viwango kwa TSH vitakokotolewa kulingana na EXCHANGE rate ya US dola kwa siku husika malipo yanafanyika.

[emoji778]MAKUNDI MAWILI YA TOVUTI MASOKO

[emoji778]KUNDI A
– Wauzaji wanatuma moja kwa moja bidhaa kuja Tanzania (East Africa) -
Ambapo ghalama ya usafirishaji inajumuishwa wakati wa manunuzi ya bidhaa husika. (Napendekeza masoko ya kundi A yatumike Zaidi ili kupunguza ghalama.)

[emoji778]KUNDI B - Wauzaji wake hawatumi bidhaa kuja Africa, Nitawajibika kupokea mzigo wako katika nchi husika (viz UAE, USA, CHINA, JAPAN etl) .
Na mzigo ukishapokelewa ndipo unatumwa kuja Tanzania (Africa)
  1. Ambapo ghalama ya kutuma Mzigo Tanzania (Africa) itatokana na uzito wa mzigo. Gharama HAZIKADIRI kwa mujibu wa mita za ujazo (Volumetric Weight W*L*H) (Angalia kipengele cha ghalama ya usafirishaji hapo chini)

  2. Tracking number utapewa mpya ambapo utaweza ku_track mzigo wako ukiwa Njiani kuja TZ (Africa).

  3. Waweza kutrack mzigo kwa njia Mbili (a) Kwa kutumia mfumo wa SMS katika simu yako, au (b) kwa kutumia tovuti kwa njia ya simu au computer.

[emoji778]GHALAMA ZA USAFIRISHAJI MZIGO – TOKA MASOKO KUNDI B

1. Iwapo umenunua bidhaa kutoka katika soko la kundi A. Ghalama ya usafirishaji hulipwa wakati wa ununuzi.
Pia kwa baadhi ya masoko kwa bidhaa zote au baadhi ya bidhaa wauzaji, hutoa FREE SHIPING, hivyo kunakuwa hakuna ghalama ya ziada baada ya ununuzi wa bidhaa yako.

2. Iwapo umenunua bidhaa toka soko kundi B – Ghalama ya kusafirishia hutegemea UZITO wa bidhaa husika katika KILO (Kg) au katika POUND (LB) na kiwango cha fedha hutokana na kila 0.5kg ya bidhaa yako. kwa huu utaratibu

[emoji778]Mfano
:
a) 0.1 - 0.5kg Gharama ya kusafirisha ni USD 15
b) 0.6 – 1kg Ghalama ya kusafirisha ni 27.14 USD
c) 1.1kg – 1.5kg Gharama ya kusafirisha ni 38.94 USD
d) 1.6kg – 2kg Gharama ya kusafirisha ni 50.74 USD

Hivyo pindi ununuapo bidhaa kwenye Soko kundi B – Hakikisha unaangalia uzito halisi wa bidhaa yako. Ili kujua kiasi cha fedha kitakacho hitajika kusafirishia mzigo.

Na gharama hii ya usafirishaji italipwa Pindi mzigo uondokapo kwenye nchi husika kuja nchini Tanzania.

[emoji778]NB:
1. Gharama ya usafirishaji yaweza kulipwa ndani ya SIKU 1 hadi 5 Tangu upewe taarifa ya ghalama ya usafirishaji, kutoka nchi husika KUJA TANZANIA. ( Ni vyema ukalipa mapema).

2. Tracking number utakuwa nayo tayari hivyo utajua wazi mzigo wako umefika wapi au hatua ipi ya usafirishwaji.

[emoji778]KODI UTAKAYOLIPIA PINDI MZIGO UKIFIKA
  1. Pindi ununuapo bidhaa toka nje kumbuka kuna swala la kodi pindi bidhaa ifikapo nchini. (Kuna baadhi ya bidhaa huwa hazina nakodi – Mamlaka husika ndio huainisha bidhaa zipi zisizotozwa kodi)
  2. Utawajibika kwa malipo yote yatakayohitajika na Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa bidhaa uliyonunua na iwapo utatakiwa kuilipia kodi.
  3. Gharama ya kodi hujulikana baada ya kuwa mzigo umekaguliwa na maafisa ushuru wa forodha hapa nchini.
  4. Iwapo kutakuwa na charges zingine Toka kwa shipping agent baada ya mzigo kufika utajulishwa na utawajibika kulipia.
  5. Malipo yote utakayofanya utapewa stakabadhi husika.
[emoji778]NJIA YA MALIPO (KUTUMA FEDHA)

[emoji778]MALIPO YOTE NI KWA NJIA YA MPESA / TIGO PESA KWA HUU UTARATIBU

1. Piga *150*00# AU *150*01# (kwa Tigo PESA)
2. Chagua 4. LIPA kwa M-Pesa na 4 kwa Tigo Pesa
3. Mpesa Chagua 4. Weka namba ya kampuni au Chagua 3 kwa Tigo Pesa
4. Tafadhali weka namba ya kampuni No. 261122
5. Weka namba ya kumbukumbu ya malipo No. (Nitakupa Baada ya kuwasiliana nami)
6. Weka kiasi (mfano: 50,000/=)
7. Weka namba ya siri.
8. Bonyeza 1 kuthibitisha:
** (BAADA YA MUAMALA KUKAMILIKA, TUMA KWANGU UJUMBE UTAKAOPOKEA- KAMA UTHIBITISHO)

[emoji778]NJIA ZA MAWASILIANO

Wasiliana nami kwa moja ya hizi njia
1. Kupiga simu/ Kutuma ujumbe: +255 (0) 625 955 137 au 0784 496 856
2. Barua Pepe (Email): mw1rct @ outlook.com
3. Whatsapp: +255 784 496 856
4. Skype: mw1rct
5. Telegram: @mw1rct

[emoji778]MUDA WA KUWASILIANA NAMI
1. 06:00 – 19:30hr (Saa 12:00 asubuhi HADI Saa 1:30 Usiku)– Simu/sms/whatsapp/telegram – utajibiwa hapo kwa hapo kwa hapo.
2. 19:30 – 06:00hr (Saa 1:30 usiku HADI Saa 12:00 asubuhi)– Niachie ujumbe wa simu (sms)/whatsapp/telegram/email, Na utajibiwa au kupigiwa simu kabla ya 08:00hr Kila siku.

Iwapo unamazungumzo marefu na unahitaji kupigiwa niandikie kwenye ujumbe “CALL PAY4ME” au “CALL BUY4ME” na nitakupigia bila gharama yeyote.

307m693.gif
Nitakutafuta ukiwa na ofisi maalumu kwa sasa naogopa Mimi


stop wishing start doing
 
mkuu nauchukua mkononi mwako?
Ndio utachukua mikononi mwangu. Baada ya kukagua na kuhakiki kuwa mzigo ni wenyewe
je nikikuta si wenyewe inakuaje?
Iwapo muuzaji ametuma mzigo ambao si wenyewe au mzigo unakasoro
  • Hautopaswa kuuchukua, Mzigo utabaki kwangu na nitashughulikia hili swala kwa ukaribu
  • Kumbuka muuzaji hupewa fedha baada ya kuthibitisha kuwa mzigo nimepokea na uko sawa.
Kwa kila manunuzi yafanyikayo baada ya mzigo kutumwa huwa kuna hizi option pichani
upload_2017-1-20_15-1-32.png

Option ya pili kutoka juu, Ndicho kipengele kinachotuhusu, na sababu zetu ni moja kati ya hizi (nimezungushia kwa blue)
upload_2017-1-20_15-3-58.png


Hivyo ondoa shaka. Katika hili uko salama
 

Attachments

  • upload_2017-1-20_15-3-35.png
    upload_2017-1-20_15-3-35.png
    3.6 KB · Views: 108
Back
Top Bottom