Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Msiseme dmkali kasema!

Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!

Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni pwaah! Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua, lazima apointi mmoja kati yenu amtwishe beseni hilo!

Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi! Ushauri wangu, msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!

Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue

NOTE: Siyo wote lakini ni baadhi yao
MIHOGO-3.jpg
 
Msiseme dmkali kasema!

Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!

Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni Pwaah!

Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua lazima Apointi mmoja kati yenu AMTWISHE BESENI HILO!

Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi!

Ushauri wangu! Msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!
Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue

NOTE! SIYO WOTE LAKINI BAADHI YAO
View attachment 2348007
Hii picha inatembea sana
 
Msiseme dmkali kasema!

Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!

Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni Pwaah!

Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua lazima Apointi mmoja kati yenu AMTWISHE BESENI HILO!

Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi!

Ushauri wangu! Msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!
Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue

NOTE! SIYO WOTE LAKINI BAADHI YAO
View attachment 2348007
hehee
 
Back
Top Bottom