Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Tena bila kuomba hata kupunguziwa bei 📌📌📌Hao wadada au wamama wanajitafutia hela ya kula na hata haitoshi mboga saba wasaidieni na mnunue hiyo mihogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena bila kuomba hata kupunguziwa bei 📌📌📌Hao wadada au wamama wanajitafutia hela ya kula na hata haitoshi mboga saba wasaidieni na mnunue hiyo mihogo
Yaani bado unaamini mambo haya tu katika karne hii?Ushauri wangu! Msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!
Kula mihogo acha hujuma😂Msiseme dmkali kasema!
Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!
Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni Pwaah!
Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua lazima Apointi mmoja kati yenu AMTWISHE BESENI HILO!
Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi!
Ushauri wangu! Msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!
Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue
NOTE! SIYO WOTE LAKINI BAADHI YAO
View attachment 2348007
Aliyekwambia usipoamini mambo ya uchawi yanafutika nan?Yaani bado unaamini mambo haya tu katika karne hii?
KabisaTena bila kuomba hata kupunguziwa bei 📌📌📌
Namshangaa anasema mambo ya nyotaUmeamua kumrudisha kwenye physics ya form 2😀😀
Gamboshi kuna mwendokasi kabisa full taa usiku ukipitana usiku utasikia na sauti "kituo kinachofuata ni Mwanalumango! Harafu paap ukisogea unapishana na fisi kasima anatembea na miguu miwili unaweza salimia shikamoo babu! Halafu Akung'ateUkiijaza akili yako na mambo kama hayo utapata tabu sana! Jamii zetu za kiafrika hakuna isichotafsiri kwa uelekeo wa ushirikina, hata uomba maji ya kunywa kuna wenye mashaka nao.....
kwamba ukimpa basi umempa na riziki yako.
Ukisimama kwenye waliokaa ni shida, unawaachia magonjwa.
Usiitikie hodi mpaka ahodishe mara tatu n.k
Yaani tabu tupuuuuu!!!!
Mrudie Mungu hutaona uchawiUnafaham uchawi upo?
Kwani washirikina wote mabilionea?Huu ni UPUMBAVU kama UPUMBAVU mwingine?,kwahiyo kwasiku moja wakitwishwa beseni na watu 40 wanaondoka na NYOTA za watu 40?,na kesho yake hivyo hivyo?,na Kwa miezi 6 wanakuwa wamechukua NYOTA za watu wangapi!?,. Na mbona wanabaki na hali ileile hata miaka 2,nyota zinawasaidia nini?!?,Mimi Kwa upande wangu washikaji zangu wote walioonyesha akili kama za mleta mada niliwapiga chini mapema sana, hata Sasa hivi nikipata rafiki mpya mwenye akili za kipumbavu kama hizi kama Sina faida nae ya moja Kwa moja hata namba yake nikishamgundua naifuta. Binadamu yeyote asiyetumia LOGIC kufikiri sio binadamu kamili. Imani potofu ndo zinazochelewesha jamii ya watu weusi. Hizi ni akili za kimaskini sana, ndo maana jamii ya kutoana mapepo hata makanisani ni Kwa watu wa chini tu. Ni kama matajiri hawanaga mapepo sababu hawaendekezi huu UPUMBAVU.
Huko kwenyewe wanamwaga mafutaMrudie Mungu hutaona uchawi
Sasa Wakale Wapi? Kazi yenyewe Ngumu Hiyo Kuzunguka Na beseni Mimi Nashauri Sio Kuiba Baraka Tu Wanatakiwa Kutafuta Na dawa Ya Kuroga Wale Ambao Wanaomba Muogo WA Kuonja Halafu Hawanunui ..Msiseme dmkali kasema!
Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!
Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni Pwaah!
Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua lazima Apointi mmoja kati yenu AMTWISHE BESENI HILO!
Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi!
Ushauri wangu! Msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!
Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue
NOTE! SIYO WOTE LAKINI BAADHI YAO
View attachment 2348007
Shetani hawezi ogopa mafuta anayowapa watumishi wake.Shetani anaogopa maombi ya mtu mwenye HakiHuko kwenyewe wanamwaga mafuta
Acha kamba mkuu. Darasa la 4-6 nimesomea Gamboshi primary. Hata majuzi tu nilikuwa huko. Hakuna kitu kama hicho 😁Gamboshi kuna mwendokasi kabisa full taa usiku ukipitana usiku utasikia na sauti "kituo kinachofuata ni Mwanalumango! Harafu paap ukisogea unapishana na fisi kasima anatembea na miguu miwili unaweza salimia shikamoo babu! Halafu Akung'ate
Wengi wao Wana familia ndizo zinawasukuma kuingia barabarani kubeba hayo mabeseni ukiwa kwenye Ist huwezi elewa.Hao wadada au wamama wanajitafutia hela ya kula na hata haitoshi mboga saba wasaidieni na mnunue hiyo mihogo