Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

Msiseme dmkali kasema!

Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!

Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni Pwaah!

Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua lazima Apointi mmoja kati yenu AMTWISHE BESENI HILO!

Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi!

Ushauri wangu! Msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!
Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue

NOTE! SIYO WOTE LAKINI BAADHI YAO
View attachment 2348007
Kula mihogo acha hujuma😂
 
jamani naomba mnishtue Mshana Jr atakapocomment kwenye huu Uzi!
 
Ukiijaza akili yako na mambo kama hayo utapata tabu sana! Jamii zetu za kiafrika hakuna isichotafsiri kwa uelekeo wa ushirikina, hata uomba maji ya kunywa kuna wenye mashaka nao.....
kwamba ukimpa basi umempa na riziki yako.
Ukisimama kwenye waliokaa ni shida, unawaachia magonjwa.
Usiitikie hodi mpaka ahodishe mara tatu n.k
Yaani tabu tupuuuuu!!!!
 
Huu ni UPUMBAVU kama UPUMBAVU mwingine?,kwahiyo kwasiku moja wakitwishwa beseni na watu 40 wanaondoka na NYOTA za watu 40?,na kesho yake hivyo hivyo?,na Kwa miezi 6 wanakuwa wamechukua NYOTA za watu wangapi!?,. Na mbona wanabaki na hali ileile hata miaka 2,nyota zinawasaidia nini?!?,Mimi Kwa upande wangu washikaji zangu wote walioonyesha akili kama za mleta mada niliwapiga chini mapema sana, hata Sasa hivi nikipata rafiki mpya mwenye akili za kipumbavu kama hizi kama Sina faida nae ya moja Kwa moja hata namba yake nikishamgundua naifuta. Binadamu yeyote asiyetumia LOGIC kufikiri sio binadamu kamili. Imani potofu ndo zinazochelewesha jamii ya watu weusi. Hizi ni akili za kimaskini sana, ndo maana jamii ya kutoana mapepo hata makanisani ni Kwa watu wa chini tu. Ni kama matajiri hawanaga mapepo sababu hawaendekezi huu UPUMBAVU.
 
Ukiijaza akili yako na mambo kama hayo utapata tabu sana! Jamii zetu za kiafrika hakuna isichotafsiri kwa uelekeo wa ushirikina, hata uomba maji ya kunywa kuna wenye mashaka nao.....
kwamba ukimpa basi umempa na riziki yako.
Ukisimama kwenye waliokaa ni shida, unawaachia magonjwa.
Usiitikie hodi mpaka ahodishe mara tatu n.k
Yaani tabu tupuuuuu!!!!
Gamboshi kuna mwendokasi kabisa full taa usiku ukipitana usiku utasikia na sauti "kituo kinachofuata ni Mwanalumango! Harafu paap ukisogea unapishana na fisi kasima anatembea na miguu miwili unaweza salimia shikamoo babu! Halafu Akung'ate
 
Huu ni UPUMBAVU kama UPUMBAVU mwingine?,kwahiyo kwasiku moja wakitwishwa beseni na watu 40 wanaondoka na NYOTA za watu 40?,na kesho yake hivyo hivyo?,na Kwa miezi 6 wanakuwa wamechukua NYOTA za watu wangapi!?,. Na mbona wanabaki na hali ileile hata miaka 2,nyota zinawasaidia nini?!?,Mimi Kwa upande wangu washikaji zangu wote walioonyesha akili kama za mleta mada niliwapiga chini mapema sana, hata Sasa hivi nikipata rafiki mpya mwenye akili za kipumbavu kama hizi kama Sina faida nae ya moja Kwa moja hata namba yake nikishamgundua naifuta. Binadamu yeyote asiyetumia LOGIC kufikiri sio binadamu kamili. Imani potofu ndo zinazochelewesha jamii ya watu weusi. Hizi ni akili za kimaskini sana, ndo maana jamii ya kutoana mapepo hata makanisani ni Kwa watu wa chini tu. Ni kama matajiri hawanaga mapepo sababu hawaendekezi huu UPUMBAVU.
Kwani washirikina wote mabilionea?
 
Msiseme dmkali kasema!

Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!

Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni Pwaah!

Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua lazima Apointi mmoja kati yenu AMTWISHE BESENI HILO!

Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi!

Ushauri wangu! Msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!
Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue

NOTE! SIYO WOTE LAKINI BAADHI YAO
View attachment 2348007
Sasa Wakale Wapi? Kazi yenyewe Ngumu Hiyo Kuzunguka Na beseni Mimi Nashauri Sio Kuiba Baraka Tu Wanatakiwa Kutafuta Na dawa Ya Kuroga Wale Ambao Wanaomba Muogo WA Kuonja Halafu Hawanunui ..

#Maendeleo_Hayana_chama

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Inaweza ikawa SAwa au si SAwa, naamini kama umetoa msaada kwa moyo Mungu atailinda hio nyota yako.
Nilisikia ushuhuda wa mtu mmoja aliyewahi kuwa mtumishi wa shetani zamani kabla ajawahi mtumishi wa Mungu anasema alijigeuza omba omba lengo Ili aibe nyota za watu.
 
Gamboshi kuna mwendokasi kabisa full taa usiku ukipitana usiku utasikia na sauti "kituo kinachofuata ni Mwanalumango! Harafu paap ukisogea unapishana na fisi kasima anatembea na miguu miwili unaweza salimia shikamoo babu! Halafu Akung'ate
Acha kamba mkuu. Darasa la 4-6 nimesomea Gamboshi primary. Hata majuzi tu nilikuwa huko. Hakuna kitu kama hicho 😁
 
Back
Top Bottom