Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

Msiseme dmkali kasema!

Biashara ya wauza mihogo na vifurushi inasaidia sana! Lakini namna ya uuzaji hiyo mihogo ndiyo inaleta maswali!

Muuzaji anaweza toka na beseni lake kutoka huko aliko toka lakini akiona wanaume kikundi anakuja kulibwaga beseni pwaah! Halafu anaanza kuwaangalia usoni! Msiponunua au mkinunua, lazima apointi mmoja kati yenu amtwishe beseni hilo!

Imagine kalishusha mwenyewe pasipo kuomba, lakini kujitwisha anawaambia hawezi! Ushauri wangu, msiendekeze sana kuwatwisha hayo mabeseni wengine wanamaelekezo ya kuchota nyota zenu!

Ukimtwisha beseni unakuwa umemtwisha na nguvu hata baraka zako na ridhiki zako zote siku hiyo achukue

NOTE: Siyo wote lakini ni baadhi yao
View attachment 2348007
Kwanini baraka zako na siyo laana zako
 
Sasa wewe mtu mpk unakula mamihogo mitaani ya kwenye mabeseni una nyota gani mbaya hivyo,
Si bora umtwishe tu huyo dada aondoke nayo akutolee mikosi
 
Kwa nini isiwe pia unamtwisha shida zako,dhiki,mateso,njaa, na ugumu wa maisha ulio nao? Mwenye pesa hana muda wa kukaa kijiweni kula mihogo.
 
acha akili za kiwaki. yaan unadhani mtu kuchukua baraka zako ni rahis rahis hivyo
ukiona jitu linaandika hvi basi limekulia mbwinde likija town linaona mambo mapya
 
Kwa nini isiwe pia unamtwisha shida zako,dhiki,mateso,njaa, na ugumu wa maisha ulio nao? Mwenye pesa hana muda wa kukaa kijiweni kula mihogo.
Baraka zako zako ziko kwa mikono na miguu! Laana zako ziko kwa utupu wako hasa utupu wa nyuma!
Ukitaka aondoke na shida zako mgeuzie utupu!
 
Back
Top Bottom