Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Hauko sahihi hapa mkuu, Alibaba ni kwaajili ya large order pekee, au niseme ji vitu vya jumla tu , ile jumla yenyewe haswa .. Ukiagiza kitu utakuta min order labda ni items 1000
wakati Ali Express ni kwaajili ya akina sie, hata kitu kimoja ukitaka unapata , hiyo ndio tofauti tu mkuu na sii vinginevyo
Hakuna kilichoharibika. Alibaba ni app au website inayodeal na mauziano ya jumla na kwa kiwango kikubwa cha mzigo yaani Business to Business.Sitaki kuharibu biashara ya mtu lakini kulinishinda kule ...hata hivyo haya maduka mawili ya mtandaoni inaelekea mmiliki ni mmoja
Ilianza Alibaba ilipoharibu akaja na Aliexpress nadhani....kwakuwa icloud inasoma Alibaba
By the way ulikuwa unahitaji vitu gani?
Sahihi kabisa nitatoa elimu kama ile ya uganga tuuHaya ndo mambo..
Ila wakumbushe kabla hawajanunua wawe wanasoma maelezo ya kitu vizuri mtu asijenunua kitu used akaanza lalamika.. Tena wakumbushe wawe wanachat na muuzaji akiona hajaelewa au anahitaji maelezo ya kutosha..
Maana unaweza agiza kava la simu badala ya simu..[emoji28]
Kiaje mkuu it means ata simu ikija nalipia TRAKuna mizigo ya aina mbili
Ukiwa ni register hulipii kama sio register unalipia..mimi sijawahi kulipia zaidi ya elfu 5
Nimeshanunua retail na Alibaba mwanzoni labda kama wamebadili ni sasaHauko sahihi hapa mkuu, Alibaba ni kwaajili ya large order pekee, au niseme ji vitu vya jumla tu , ile jumla yenyewe haswa .. Ukiagiza kitu utakuta min order labda ni items 1000
wakati Ali Express ni kwaajili ya akina sie, hata kitu kimoja ukitaka unapata , hiyo ndio tofauti tu mkuu na sii vinginevyo
Samahani mkuu hapo utofauti ni nn?Kuna mizigo ya aina mbili
Ukiwa ni register hulipii kama sio register unalipia..mimi sijawahi kulipia zaidi ya elfu 5
MKUU MSHANA JR HEBU NIDOKEZE KIDUCHU KUHUSU QNETWee kichwa kibovu kweli ..nitakuwekea unachotaka
Wanapokea kupitia smart card yako
NAKUAMINI NDIO MAANA NIKATAKA UNITOE TONGOTONGO NDUGU YANGU 🛐Huko mimi sigusi kabisa..
Mkuu samahani tena kwaiyo bidhaa kama nguo,viatu,simu,laptop,saa ukiagiza hutatozwa gharama nyingine tena ya kulipia TRA au mzigo ukishaulipia cost zote zinakua zimejumlishwa moja kwa mojaUna bahati
Mbona mzigo wako umewahi? Mi niliagiza mwezi wa 12 tarehe 4 , mzigo umeingia jumatatu hii tarehe 27!!!Mimi nahitaji msaada wa kuship kwa haraka kutoka AliExpress, last time niliagiza mzigo March umefika Dar July hii na bado mmoja haujafika.