Ilikuwa tuwapige 5G sema neno LA mchungaji lilituingia kwamba tusiruhusu huo ntandao kuingia nchini
mbona kama nimeanza kukupendaUsisahau kwamba ni makombe mawili tofauti Mtani.
Ile VPL
Hii ASFC.
Sikumbuki hata niliishia dakika ya ngapi. πππUliangalia mpira kwanza? [emoji3][emoji3]
Hawakukosea waliosema kuimba kupokezana.Acha tutambe mtani. Mlitukosesha sana amani nyie na goli la adui yenu mpya Morrison[emoji3][emoji3].
Natumai zile Birthday zenu za kila tarehe 8 zimeshafikia mwisho.
Baada ya hapa mtani tutaganga yajayo
Wewe tuite utakavyo ila kwa ile 4g ya jana inafuta majina yote na kubaki Simba chama kubwa[emoji3][emoji3]Hawakukosea waliosema kuimba kupokezana.
Now it's Mbumbumbu time. Teh teh
Kisa ni nini?mbona kama nimeanza kukupenda
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzio alikua anasikiliza kwa redio akatext "Nahisi kufa kufa" .. nikamwambia zima tu hiyo redio , manake kila mda tuko kwenu usijekufa kweliSikumbuki hata niliishia dakika ya ngapi. [emoji41][emoji41][emoji41]
unavyojibu hoja bila papara wala hasira kama ingelikuwa kuna chaguzi yoyote humu na ukagombea kura yangu ungelipata tuKisa ni nini?
Unakielewa ulichokiandika Mkuu? [emoji15][emoji15]
Hahahahaaaaaa Waaaaaaaape Salaaaaaaaaaaam.π
πWewe tuite utakavyo ila kwa ile 4g ya jana inafuta majina yote na kubaki Simba chama kubwa[emoji3][emoji3]
Haya basi Shadeeya sitakuwa mchawi tena.πKama nakuona. πππ Ila Mtani we ni kachawi bana.
Mana ndo ulinipa ugumu kwenda Uwanjani jana. πππ
πππ ilikuwa hatari Mtani.[emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzio alikua anasikiliza kwa redio akatext "Nahisi kufa kufa" .. nikamwambia zima tu hiyo redio , manake kila mda tuko kwenu usijekufa kweli
Ipo siku yenu.Haya basi Shadeeya sitakuwa mchawi tena.π
Oooh! Sawa Mkuu. πunavyojibu hoja bila papara wala hasira kama ingelikuwa kuna chaguzi yoyote humu na ukagombea kura yangu ungelipata tu
Watu kama nyie wenye fikra pevu inabidi mpate nafasi ya kuongoza clab kwa kuungwa mkono na wanachama wa Yanga.Kwa kifupi sisi timu ya Yanga Kwa sasa kujifananisha na simba ni kuwakosea adabu wenzetu walishatoka kwenye siasa za mpira na sasa wanawekeza na kuucheza mpira sisi bado tunaendeleza siasa majungu na migogoro isiyo na tija kama sio wachezaji na uongozi basi ni wanachama na viongozi ay viongozi kwa viongozi kitu ambacho upande wa pili wa mikia huwezi kukisikia, hata ile tarehe nane tuliwafunga kwa kubahatisha tu kama norwich alivyomfunga man City, kwakhe sasa simba wanatuacha mbali, wanatengeneza Fan base kubwa sana na brand ya timu yao inakuwa kwa kasi, sasa hivi tanzania katika watoto 200 walio na umri Chini ya miaka 12 basi watoto 180 wanaishangilia simba 15 Azam na 5 ndo wanashangilia yanga, hii inatokana na timu yao kufanya vizuri kwa hii misimu mitano na wanakuwa na ushabiki wao. Sawa hivi sisi tumebaki kujiita timu kubwa kutokana na uzee wetu katika soccer la tanzania lakini sio Kwa mpira sasa hivi simba sio size yetu, rejea kwa liverpool ilikuwa ni timu kubwa sana uingereza na ulaya kwa ujumla barca chalsea man city zilikuwa sio kitu lakini walivyojiaminisha kwamba wao wakubwa na kuanza kuzarau misingi ya soccer walipotea na kupoteza fans pia sasa hivi si ajabu kukuta barca man city na chalsea wana fansi wengi kuliko liver. Liver imebaki na washabiki wale wazee walioipenda miaka hiyo na vijana wachache walioipenda kuanzia mwaka 2005- 2007. Yanga tunaelekea shimoni zaidi
Ahsante mkuu lakini jana ni kipigo kama cha Maneno ya RPC wa dodomaWatu kama nyie wenye fikra pevu inabidi mpate nafasi ya kuongoza clab kwa kuungwa mkono na wanachama wa Yanga.
Pamoja na kuwa shabiki Lialia ila mawazo yako ni zaidi ya ushabiki,, hakuna kipindi kigumu ktk ushabiki pale unapoona mambo hayaendi vzuri,, management iko udhaifu ktk maauzi,, poleni sana,,
Kila la kheri ktk kuiboresha timu yenu
Shadeeya unanifurahisha sana [emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3]kufungwa kufungwa tuUsisahau kwamba ni makombe mawili tofauti Mtani.
Ile VPL
Hii ASFC.