Nusu ya wasanii wa Bongo fleva ni mashoga asema Chidy Benzi

Nusu ya wasanii wa Bongo fleva ni mashoga asema Chidy Benzi

Huyo kusah ni GAY, na uliza nani alimuunganisha kwa Aunt,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lol
Kusah sio shoga. Wala hafanyi shughuli hzo.
Uhuni pekee kusah anafanya ni kitaulo way back hata kbla hajawa na ruby, na nyie kumfahamu mitandaoni kma sana. Kusah ni very humble dogo. Not talkative na hukaa eneo moja muda mrefu. Ukiona anaondoka basi anarudi nyumbani.
Kusah ukisikia kamtupa mtu ujue huyo mtu ndio mwenye matatizo sio yeye kusah.
Tulimlea na bado tunamlea.
Vijana wa kisasa mnapaka sana hovyo mitandaoni vijana wengine. Mtoeni kusah kwenye mapenzi ya jinsia moja.
 
Lazima tujiulize mashoga wanazalishwa na nani,Mashoga wanazalishwa na wanaume marijali,ina maana kama hakutakuwa na wanaume wanaotaka kuingilia wanaume wenzao,tatizo la ushoga linaisha kabisa.Tunahitaji kampeni ya nguvu kubadilisha mindset ya hawa watu wanaoona uzuri na urembo kwa wanaume wenzao badala ya wanawake
 
Kasema nusu na robo, means robo tatu...

Maana yake ni katika kila wasanii 4, wasanii 3 wanagawa uwemba...
Juzi nilikua naangalia clouds sherehe za kilele cha malkia wa nguvu
Ben pol alitumbuiza, Nilisikitika sana anaweka mapozi ya kisichana nilikua namuangalia huku natafakari anavyotia aibu
 
Juzi nilikua naangalia clouds sherehe za kilele cha malkia wa nguvu
Ben pol alitumbuiza, Nilisikitika sana anaweka mapozi ya kisichana nilikua namuangalia huku natafakari anavyotia aibu

Wanachezea pipe tu, sababu wameshauza souls zao to the devil wapate umaarufu...
 
Back
Top Bottom