Nusuru ndoa yangu

Nusuru ndoa yangu

Mimi ni muajiriwa katika sekta ya umma mke wangu sio mwajiriwa yaani ni mama wa nyumbani. Tuko kwenye ndoa ya kikristo kwa miaka 14 na tumejaaliwa watoto.

Ili kupunguza ukali wa maisha na kuondoa utegemezi kwa mambo madogo madogo, niliamua kufungua kibanda cha duka na kumkabidhi mke wangu ili kisaidie kwa baadhi ya mahitaji muhimu ya nyumbani huku Mimi nikitumia sehemu ya mshahara kuwekeza kwenye maeneo mengine ya maendeleo.

Ni mwaka mmoja na miezi kadhaa imepita tangu nimfungulie mke wangu biashara lakini jambo la kusikitisha ni kuwa sioni tena faida ya kibanda kile maana mke wangu anabadilisha aina za nguo na marashi huku nikimuuliza anadai kuwa ananiheshimisha kwa watu. Pia ananitangaza kwa ndg na jamaa zake kuwa sitoi matumizi yeye ndiye anayetoa matumizi.

Tumekaa vikao kadha wa kadha tukihusisha ndg zetu lakini haonekani kubadilika na kikao cha mwisho alitamka kuwa mtaji wangu umeishahivyo uliomo ni wa kwake.

Hali hii imesababisha migogoro ya mara kwa mara na sioni tena raha ya ndoa.

Pia hali hii imenijengea tabia ya kumchukia mke wangu mara kwa mara ninashikwa na hasira hata bila sababu ya msingi japo kiukweli Sina nia ya kuvunja ndoa yangu bali ninahitaji mke abadili tabia.

Ninaomba ushauri ili kunusuru ndoa yangu.

Ahsanteni.
Kama mazungumzo yake yalifikia sehemu ya kusema anayoyafanya ni kwa ajili ya kukuheshimisha waamgalie watoto fumba macho jipige kifua sema hawa watoto ni wangu kwa namna yoyote.
 
Mimi ni muajiriwa katika sekta ya umma mke wangu sio mwajiriwa yaani ni mama wa nyumbani. Tuko kwenye ndoa ya kikristo kwa miaka 14 na tumejaaliwa watoto.

Ili kupunguza ukali wa maisha na kuondoa utegemezi kwa mambo madogo madogo, niliamua kufungua kibanda cha duka na kumkabidhi mke wangu ili kisaidie kwa baadhi ya mahitaji muhimu ya nyumbani huku Mimi nikitumia sehemu ya mshahara kuwekeza kwenye maeneo mengine ya maendeleo.

Ni mwaka mmoja na miezi kadhaa imepita tangu nimfungulie mke wangu biashara lakini jambo la kusikitisha ni kuwa sioni tena faida ya kibanda kile maana mke wangu anabadilisha aina za nguo na marashi huku nikimuuliza anadai kuwa ananiheshimisha kwa watu. Pia ananitangaza kwa ndg na jamaa zake kuwa sitoi matumizi yeye ndiye anayetoa matumizi.

Tumekaa vikao kadha wa kadha tukihusisha ndg zetu lakini haonekani kubadilika na kikao cha mwisho alitamka kuwa mtaji wangu umeishahivyo uliomo ni wa kwake.

Hali hii imesababisha migogoro ya mara kwa mara na sioni tena raha ya ndoa.

Pia hali hii imenijengea tabia ya kumchukia mke wangu mara kwa mara ninashikwa na hasira hata bila sababu ya msingi japo kiukweli Sina nia ya kuvunja ndoa yangu bali ninahitaji mke abadili tabia.

Ninaomba ushauri ili kunusuru ndoa yangu.

Ahsanteni.
Matukio yote hayo bado unapambana kuinusuru hiyo ndoa badala ya kushukuru Mungu na ukakate hako kauzi kalikoishikilia???

Kadili unavyopambana kuinusuru ndiyo chuki uake jui yako inapozidi, je upo tayari kumpenda kimapenzi yule anayekuchukia the most? Upo tayari ku kiss lips zinazokutukana na kukulaani kila sekunde? Upo tayati kuegemea yule anayetaka udondoke?
 
Pole sana Man!

Amekusaliti secondary stage baada ya kujipata!!

Huyo unaemuona ndio halisi,hakua type Yako na wewe hukua type yake tangu zamani!!

Alikubali kuishi na wewe baada ya kukosa mstakabali wa maisha yake ndipo akaona wewe unafaa kuwa grader la kumsafishia njia na sasa imenyooka unatakiwa ukae pembeni!!

MWAMBIE AENDELEE NA MAISHA YAKE,MLIPOFIKA PANATOSHA,KUHUSU WATOTO TAFUTA WA KUWALEA MUISHIE HAPO ,USING'ANG'ANIE KE ANAPOTAKA KU MOVE ON ,MSIJE KUUANA"!!!!
 
Mimi ni muajiriwa katika sekta ya umma mke wangu sio mwajiriwa yaani ni mama wa nyumbani. Tuko kwenye ndoa ya kikristo kwa miaka 14 na tumejaaliwa watoto.

Ili kupunguza ukali wa maisha na kuondoa utegemezi kwa mambo madogo madogo, niliamua kufungua kibanda cha duka na kumkabidhi mke wangu ili kisaidie kwa baadhi ya mahitaji muhimu ya nyumbani huku Mimi nikitumia sehemu ya mshahara kuwekeza kwenye maeneo mengine ya maendeleo.

Ni mwaka mmoja na miezi kadhaa imepita tangu nimfungulie mke wangu biashara lakini jambo la kusikitisha ni kuwa sioni tena faida ya kibanda kile maana mke wangu anabadilisha aina za nguo na marashi huku nikimuuliza anadai kuwa ananiheshimisha kwa watu. Pia ananitangaza kwa ndg na jamaa zake kuwa sitoi matumizi yeye ndiye anayetoa matumizi.

Tumekaa vikao kadha wa kadha tukihusisha ndg zetu lakini haonekani kubadilika na kikao cha mwisho alitamka kuwa mtaji wangu umeishahivyo uliomo ni wa kwake.

Hali hii imesababisha migogoro ya mara kwa mara na sioni tena raha ya ndoa.

Pia hali hii imenijengea tabia ya kumchukia mke wangu mara kwa mara ninashikwa na hasira hata bila sababu ya msingi japo kiukweli Sina nia ya kuvunja ndoa yangu bali ninahitaji mke abadili tabia.

Ninaomba ushauri ili kunusuru ndoa yangu.

Ahsanteni.


Migogoro hiyo sio duka wala nini, tayari umemwachia uhuru kupitia dukani ana mahusiano na wanaume, na kuna mtu anampa mapenzi, chunguza vizuri
 
ni kweli,,coz ukifatilia comments za watu humu unajua tu
ndo nimekuambia mm, nipo site najua kinachoendelea.

Angalia mwamba alifanya kitu kwa nia njema kabisa ila leo anajuta, na wapo wengi wa namna hyo sema hawasemi tu. Mm nilishashuudia mwanamke anamwambia mumewe. "kama ni kile kimtaji ulichonipa ndo unaninyanyasa nacho sema nikurudishie tuachane" hii ni baada ya mume kulalamika mabadiliko ya mke baada ya biashara kukua
 
ndo nimekuambia mm, nipo site najua kinachoendelea.

Angalia mwamba alifanya kitu kwa nia njema kabisa ila leo anajuta, na wapo wengi wa namna hyo sema hawasemi tu. Mm nilishashuudia mwanamke anamwambia mumewe. "kama ni kile kimtaji ulichonipa ndo unaninyanyasa nacho sema nikurudishie tuachane" hii ni baada ya mume kulalamika mabadiliko ya mke baada ya biashara kukua
ivi ni hua tunarogwa au hatujawah shika hela za namna io
 
Back
Top Bottom