Nyakati tatu za tawala tofauti kwenye familia, vijana jiandalieni mazingira bora wakati wa uzee wenu.

Nyakati tatu za tawala tofauti kwenye familia, vijana jiandalieni mazingira bora wakati wa uzee wenu.

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
1. Ukiwa kijana jiandalie mazingira na maokoto kwaajili ya uzee wako.

2. Usije ukawa na fikra za kutegemea mke ama watoto mara baada ya kustaafu.

3. Tambua kwamba kuna nyakati tatu za utawala ndani ya nyumba/familia

 A- Utawala wa baba:- Ni kipindi ambacho baba anakuwa mwenye nguvu na mamlaka zaidi ndani ya familia. Kipindi hiki ndicho baba hukitumia kuwekeza na kuwasomesha watoto wake tena wakati huo akiwa mkali sana.

 B- Utawala wa mama:- hiki ni kipindi ambacho mama hutumia muda muda mwingi kumtunza nyumba na kumtunza mume/baba akiwa ameanza kuzeeka. Na kipindi hiki maranyingi upendo huongezeka kwa mama na mama, pia hutumia muda mwingi kumtumukia Mungu na kulea wajukuu.

 C- Utawala wa watoto:- Hiki ni kipindi ambacho watoto wamekua wakubwa na wengu wana kazi zao na familia pamoja na watoto. Kipindi hiki watoto ndio hutoa maamuzi ya familia yaani baba na mama, na hapa watoto ndio hua na mamlaka ya kuamua (mfano mama anaumwa aende akatibiwe daslam) pasipo kujali kwamba baba anabaki pekeake na atapikiwa na nani. Hiki ndio kipindi ambacho kama mzee ulizingua kwenye malezi basi ndio wakati wa kutamani kufa na kujiona unanyanyasika. Wababa wengi hufa sana katika kipindi hiki.
 
1. Ukiwa kijana jiandalie mazingira na maokoto kwaajili ya uzee wako.

2. Usije ukawa na fikra za kutegemea mke ama watoto mara baada ya kustaafu.

3. Tambua kwamba kuna nyakati tatu za utawala ndani ya nyumba/familia

 A- Utawala wa baba:- Ni kipindi ambacho baba anakua mwenye nguvu na mamlaka zaidi ndani ya familia. Kipindi hiki ndicho baba hukitumia kuwekeza na kuwasomesha watoto wake tena wakati huo akiwa mkali sana.

 B- Utawala wa mama:- hiki ni kipindi ambacho mama hutumia muda muda mwingi kumtunza nyumba na kumtunza mume/baba akiwa ameanza kuzeeka. Na kipindi hiki maranyingi upendo huongezeka kwa mama na mama, pia hutumia muda mwingi kumtumukia Mungu na kulea wajukuu.

 B- Utawala wa watoto:- Hiki ni kipindi ambacho watoto wamekua wakubw ana wengu wana kazi zao na familia pamoja na watoto. Kipindi hiki watoto ndio hutoa maamuzi ya familia yaani baba na mama, na hapa watoto ndio hua na mamlaka ya kuamua (mfano mama anaumwa aende akatibiwe daslam) pasipo kujali kwamba baba anabaki pekeake na atapikiwa na nani. Hiki ndio kipindi ambacho kama mzee ulizingua kwenye malezi basi ndio wakati wa kutamani kufa na kujiona unanyanyasika. Wababa wengi hufa sana katika kipindi hiki.
Kustaafu vipi? Kwa hiyo Kila mtu ni Mtumishi au?
 
1. Ukiwa kijana jiandalie mazingira na maokoto kwaajili ya uzee wako.

2. Usije ukawa na fikra za kutegemea mke ama watoto mara baada ya kustaafu.

3. Tambua kwamba kuna nyakati tatu za utawala ndani ya nyumba/familia

 A- Utawala wa baba:- Ni kipindi ambacho baba anakua mwenye nguvu na mamlaka zaidi ndani ya familia. Kipindi hiki ndicho baba hukitumia kuwekeza na kuwasomesha watoto wake tena wakati huo akiwa mkali sana.

 B- Utawala wa mama:- hiki ni kipindi ambacho mama hutumia muda muda mwingi kumtunza nyumba na kumtunza mume/baba akiwa ameanza kuzeeka. Na kipindi hiki maranyingi upendo huongezeka kwa mama na mama, pia hutumia muda mwingi kumtumukia Mungu na kulea wajukuu.

 B- Utawala wa watoto:- Hiki ni kipindi ambacho watoto wamekua wakubw ana wengu wana kazi zao na familia pamoja na watoto. Kipindi hiki watoto ndio hutoa maamuzi ya familia yaani baba na mama, na hapa watoto ndio hua na mamlaka ya kuamua (mfano mama anaumwa aende akatibiwe daslam) pasipo kujali kwamba baba anabaki pekeake na atapikiwa na nani. Hiki ndio kipindi ambacho kama mzee ulizingua kwenye malezi basi ndio wakati wa kutamani kufa na kujiona unanyanyasika. Wababa wengi hufa sana katika kipindi hiki.
 
WhatsApp Image 2023-08-14 at 7.13.11 AM.jpeg
 
1. Ukiwa kijana jiandalie mazingira na maokoto kwaajili ya uzee wako.

2. Usije ukawa na fikra za kutegemea mke ama watoto mara baada ya kustaafu.

3. Tambua kwamba kuna nyakati tatu za utawala ndani ya nyumba/familia

 A- Utawala wa baba:- Ni kipindi ambacho baba anakuwa mwenye nguvu na mamlaka zaidi ndani ya familia. Kipindi hiki ndicho baba hukitumia kuwekeza na kuwasomesha watoto wake tena wakati huo akiwa mkali sana.

 B- Utawala wa mama:- hiki ni kipindi ambacho mama hutumia muda muda mwingi kumtunza nyumba na kumtunza mume/baba akiwa ameanza kuzeeka. Na kipindi hiki maranyingi upendo huongezeka kwa mama na mama, pia hutumia muda mwingi kumtumukia Mungu na kulea wajukuu.

 B- Utawala wa watoto:- Hiki ni kipindi ambacho watoto wamekua wakubwa na wengu wana kazi zao na familia pamoja na watoto. Kipindi hiki watoto ndio hutoa maamuzi ya familia yaani baba na mama, na hapa watoto ndio hua na mamlaka ya kuamua (mfano mama anaumwa aende akatibiwe daslam) pasipo kujali kwamba baba anabaki pekeake na atapikiwa na nani. Hiki ndio kipindi ambacho kama mzee ulizingua kwenye malezi basi ndio wakati wa kutamani kufa na kujiona unanyanyasika. Wababa wengi hufa sana katika kipindi hiki.
Sawa kabisa ndo kama nilivyoeleza kwenye mada ya Jana ya vijana wezeni Fainali Umri Mkubwa.Hii ni kweli kabisa Nina miaka 53nayaona kwa sana.Nina mjomba wangu anaumwa Kansa alikuwa mbishi sana enzi zake! Kwa Sasa anapelekwa tuu kutibiwa Wala habishi ila hakuzingua kusomesha watoto hata sisi wapwa zake tulifaidi matunda yake.Huu Uzi mtamu na wa uhakika sio mambo ya mbususu,mamanzi yatapita,ila uzeeni utapita kwa taabu kama hukuwekeza kwa ardhi, watoto na jamii kwa ujumla.Mungu kwanza.
 
1. Ukiwa kijana jiandalie mazingira na maokoto kwaajili ya uzee wako.

2. Usije ukawa na fikra za kutegemea mke ama watoto mara baada ya kustaafu.

3. Tambua kwamba kuna nyakati tatu za utawala ndani ya nyumba/familia

 A- Utawala wa baba:- Ni kipindi ambacho baba anakuwa mwenye nguvu na mamlaka zaidi ndani ya familia. Kipindi hiki ndicho baba hukitumia kuwekeza na kuwasomesha watoto wake tena wakati huo akiwa mkali sana.

 B- Utawala wa mama:- hiki ni kipindi ambacho mama hutumia muda muda mwingi kumtunza nyumba na kumtunza mume/baba akiwa ameanza kuzeeka. Na kipindi hiki maranyingi upendo huongezeka kwa mama na mama, pia hutumia muda mwingi kumtumukia Mungu na kulea wajukuu.

 B- Utawala wa watoto:- Hiki ni kipindi ambacho watoto wamekua wakubwa na wengu wana kazi zao na familia pamoja na watoto. Kipindi hiki watoto ndio hutoa maamuzi ya familia yaani baba na mama, na hapa watoto ndio hua na mamlaka ya kuamua (mfano mama anaumwa aende akatibiwe daslam) pasipo kujali kwamba baba anabaki pekeake na atapikiwa na nani. Hiki ndio kipindi ambacho kama mzee ulizingua kwenye malezi basi ndio wakati wa kutamani kufa na kujiona unanyanyasika. Wababa wengi hufa sana katika kipindi hiki.
Hiyo C,duh
 
Mtoto hawezi beba majukumu ya baba utatafuta bure lawama ooh niliwasomesha sijui international,we kamata pori nje ya mji panda miti ukiwa Mzee litakufaa utauza ujenge frem,au uwekeze fix ule pension.
Kutegemea mke au watoto hizo ni probability.
 
Back
Top Bottom