Nyama ya kenge

Nyama ya kenge

Na ule ugumu? Anaivaga kweli? Labda kama ulikula kitoto chake
Wakati nilishawai kula Punda bila kujua, kijij kinaitwa Pwaga kipo njia ya Kilosa Kuelekea Mpwapwa......

Njaa ya mchana kutwa ilifanya tusigundue ila tulipoanza kushiba tukawa na wasiwasi mbona nyama imepoa ni ya Ng'ombe kweli? Asubui kuuliza wakatuambia kijiji hicho ni maarufu kwakula Punda.....
 
Kijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka,mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
Mbona wengine mnakula pweza(octopus) anavyotisha hiyo mdudu

Screenshot_20231202_164257_Chrome.jpg

Screenshot_20231202_164236_Chrome.jpg
Screenshot_20231202_164228_Chrome.jpg
Screenshot_20231202_164222_Chrome.jpg
Screenshot_20231202_164202_Chrome.jpg

Mwendo wa pweza
 
Mkuu ndege JOHN hakuna mnyama ambaye haliwi. Suala ni mnyama yupi analiwa na nani. Ukifika Nigeria au kwa wanaopakana na mbuga/misitu ndiyo utathibitisha ninachokwambia.

Kenge hata uzaramoni analiwa vizuri tu. Anajulikana kama mburu. Huko Mtwara wanaliwa panyapori, vyura wakubwa wanjano na kadhalika. Mbwa huliwa kimila uheheni, ubenani na uluguruni.

Sisi wangoni tunakula panyapori tunaowaita mbewa na wadudu wa aina mbalimbali. Upareni wanakula kobe na mayai yake; kilombero huko na kwawahadzabe wanaliwa ngedere na nyani na kadhalika na kadhalika.
Mimi ni mnyalu,

Kwetu tunakula sana panya pori tunawaita mbeva, pia nyani na ngedere tumawala sana ila mbwa sijawahi kuona labda maeneo na maeneo.

Ila kumla nyani au ngedere hapana aisee naona kama nakula mtu.
 
Kijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka,mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
Mkuu mbn apo sioni kitu cha kushangaa,
 
zamani nilikuwa namshangaa sana mtu ninayesikia anakula nyoka,chatu nk.

hahaa kama kuna video mliiona wanajeshi wa bongo wanamchuna chatu,ile.show haikuishia kwenye kuchukua ngozi,watu waliishi naye mpaka mifupa wakavyonza.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
kijiji kinaitwa mtakilachawa kwa nn wasile kenge? ni sawa tu wakila kenge..[emoji855][emoji855]
 
Kijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka, mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge.

Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
Kila mnyama aliwa yakhe
 
Back
Top Bottom