Nyama ya Nguruwe: Ni kweli ina vimelea hatari vinavyosababisha ugonjwa wa ini?

Ngurue anavijidudu ambavyo hata wanyama wa nyama nyekundu hana amabavyo hata uchemshe kwa mda gani havifi ndio ivyo vinavyosbabisha mafunza mwilini
 
we kijana acha promo kama matangazo ya kijasiliamali

Coca yenyewe inapigwa majungu kua ni unhealth, sasa utahitimishaje kua outcome ya hilo jaribio ni kutokana na madhaara yaliyopo kwenye pork na io coca yenyewe?
Sio majungu mkuu ni kweli
 
Hivi kwanini serikali haipigi marufuku watu wanaopotosha kuhusu kitoweo cha kitimoto?

Inamaana viongozi wa serikali hawajawahi kula kitimoto wakashushia na safari ya baridi?
 
Mbona picha umeweka ya moyo na utumbo. Kama ni wa mbuzi
huyo muongo

Naamini mbeya ndio kitovu kikuu kilicho jaa walaji wa pork, katika statistics za idadi ya wagonjwa wa moyo tungetegemea kuona mbeya ikiongoza kwa kua na idadi nyingi ya wagonjwa wengi wa moyo
 
Sidhani pia kama hata dini ya Cristo inakubali kuliwa kwa kiumbe hiki
 
Hujawai kula nguruwe mkuu?daaah
Bado hujaishi
 
Sio majungu mkuu ni kweli
Hiyo picha ya moyo uliyoiweka hapo ni conspiracy tu kuwatisha walaji, haiwezekani moyo uharibike vibaya hivyo kuliko muonekano wa mapafu ya mtu anayevuta sigara

Yani kiufupi ni kwamba picha yako inataka kutuaminisha kwamba ulaji wa pork ni hatari zaidi kuliko uvutaji wa sigara
 
Hivi kiimani imetumika kigezo gani kubatilisha?
 
Ngurue anavijidudu ambavyo hata wanyama wa nyama nyekundu hana amabavyo hata uchemshe kwa mda gani havifi ndio ivyo vinavyosbabisha mafunza mwilini
acha kupotosha

Hebu niambie vijidudu gani vilivyopo kwenye nguruwe ambavyo vinaweza kusurvive moto wa nyuzi joto 160?
 
kila kitu ni kizuri kwa kiasi na kibaya kikithiri

siamini kuna nyama yoyote ni healthy ukiitumia kupitiliza mfano mbuzi yenyewe ukicheza nayo vibaya inaweza kukusababishia gout
 
Ni kwasababu ya itikadi za kidini mkuu. Kuku na samaki hawana makandokando ya kidini ndio maana huwezi kuwasikia wakisemwa.
Mkuu lakini wengi wanaotubainishia madhara ya nyama ya nguruwe wengi ni wanasayansi wasiokua na dini kwao nguruwe ni kilaji kikubwa au wale wakikatoliki kwao nguruwe sio haramu.
 
Sidhani pia kama hata dini ya Cristo inakubali kuliwa kwa kiumbe hiki
Dini ya cristo kweli haikubali ila ya kikristo inaruhusiwa kabisa cha mhimu upate sehemu wanapojua kuitengeneza kweli kweli ule nusu na ndizi mbili zilizokauka vizur
 
Ni kwasababu ya itikadi za kidini mkuu. Kuku na samaki hawana makandokando ya kidini ndio maana huwezi kuwasikia wakisemwa.
Kambale na pweza hawana magamba
 
Nyama ya nguruwe ni tamu kwa wote jaribu uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…