Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Huyo atakuwa na walakini.Daah sitaki kuamini kwamba kuna binadamu aliye hai hataki kula vitu vizuri kama hizi
Hatari na nusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo atakuwa na walakini.Daah sitaki kuamini kwamba kuna binadamu aliye hai hataki kula vitu vizuri kama hizi
Kigezo kwa upande wa imani ya Dini ya kiislam cha kuharamisha nyama ya nguruwe, ni kigezo kilekile walichotumia wanasayansi na kugundua kuwa nyama ya nguruwe ni hatari kwa afya ya mlaji.Hivi kiimani imetumika kigezo gani kubatilisha?
sayansi inakataza ulaji wa kitimoto unauhakika?Kigezo kwa upande wa imani ya Dini ya kiislam cha kuharamisha nyama ya nguruwe, ni kigezo kilekile walichotumia wanasayansi na kugundua kuwa nyama ya nguruwe ni hatari kwa afya ya mlaji.
Mbona mimi nakula zaidi ya miaka 50 bado niko vizuri. Achana na primitive mythologyWana JF nawasalimu,
Wakuu nikiachana kwa upande wa dini zetu ISLAMIC na SABATO-CHRISTIAN uhalali na haramu wa NGURUWE, kuna mambo mengine yanayosemwa kuhusu nyama ya nguruwe.
Mimi sijui kama ni uzushi au ni kweli kwa hivyo nawaomba wana jamvi watufafanulie sifa hizi nzuri na mbaya zinazo bebeshwa nyama ya nguruwe.
Nyama ya nguruwe inasemekana ni tamu kuliko nyama zozote zile duniani. Ni kweli?
Nyama ya nguruwe inasemekana ina vimelea khatari vinavoweza kumsababishia mlaji ugonjwa wa ini. Ni kweli?
View attachment 1883744View attachment 1883745View attachment 1883747
Baadhi ya imani za dini Ng'ombe kwao ni haramu hivyohivyo wengine nyoka ni bei kali kuliko mbuzi na nguruwe kule iringa Bei ni Chee Ila dar nguruwe bei juu, inathamani kwa watumiaji swala la madhara watu hawalitambui.
Katika mambo ya jumla sababu ni kuwa mtihani kwetu (majaribio).Hivi kiimani imetumika kigezo gani kubatilisha?
Kwa nini isichukuliwe nyama ambayo imechoma alafu ikatiwa kokacola tuone kama hayo mambo yatatokea ?Ngurue anavijidudu ambavyo hata wanyama wa nyama nyekundu hana amabavyo hata uchemshe kwa mda gani havifi ndio ivyo vinavyosbabisha mafunza mwilini
Ukitaka kujua huyu ni mdudu chukua nyama yake weka kwenye bakuli changanya na Coca-Cola original baada ya nusu saa au saa 1 utakuja kunishkuru utakachokikuta humo View attachment 1883754View attachment 1883755View attachment 1883757
Itakuwa usumbufu kwa wengine, Baibo yenyewe inasema 75,mi nani nipingane nayoKwani hutaki kuishi 100+ ?=.....?
Endeleeni kula mafunzaUngekuwa umesoma Chemistry vizuri wala usingethubutu kuandika hiki ulichoadika hapa
Duuuuuu, hatari hiyoUkitaka kujua huyu ni mdudu chukua nyama yake weka kwenye bakuli changanya na Coca-Cola original baada ya nusu saa au saa 1 utakuja kunishkuru utakachokikuta humo View attachment 1883754View attachment 1883755View attachment 1883757
Mkuu kula hata mavi hamna wa kukuzuia tumbo ni lakoNyama ya nguruwe taam sana hasa ukila siku ya Ijumaa
Ina madhara mwiliniWana JF nawasalimu,
Wakuu nikiachana kwa upande wa dini zetu ISLAMIC na SABATO-CHRISTIAN uhalali na haramu wa NGURUWE, kuna mambo mengine yanayosemwa kuhusu nyama ya nguruwe.
Mimi sijui kama ni uzushi au ni kweli kwa hivyo nawaomba wana jamvi watufafanulie sifa hizi nzuri na mbaya zinazo bebeshwa nyama ya nguruwe.
Nyama ya nguruwe inasemekana ni tamu kuliko nyama zozote zile duniani. Ni kweli?
Nyama ya nguruwe inasemekana ina vimelea khatari vinavoweza kumsababishia mlaji ugonjwa wa ini. Ni kweli?
View attachment 1883744View attachment 1883745View attachment 1883747
Nguruwe ni red meat boss.white meat (kama ya nguruwe
Endeleeni kula mafunza
Nyama Ya Kondoo vipi?Hayo madhara uliyoyasema, yapo kwenye karibu kila aina ya nyama! Infact, white meat (kama ya nguruwe, kuku na samaki) inatajwa kua afadhali kiafya kuliko red meat (kama ya ng'ombe na mbuzi) na ndio maana nchi zilizoendelea wanakula sana nguruwe kuliko ng'ombe. Mengine ni kutishana tu, na ndio maana ili kukwepa kabisa hayo madhara kuna watu wameamua kutokula kabisa nyama (vegeterians) .
Bata vipi?Mkuu lakini kwanini katika white meats zote, aandamwe kitimoto tu na msururu wa madhara yake, lakini nyama nyingine(white meats) hazisemwi lolote?