Nyama ya Nguruwe: Ni kweli ina vimelea hatari vinavyosababisha ugonjwa wa ini?

Nyama ya Nguruwe: Ni kweli ina vimelea hatari vinavyosababisha ugonjwa wa ini?

Nyama ya nguruwe ni tamu kwa wote jaribu uone
Kweli KITIMOTO ni tamu, sawa na ASALI yenye sumu.
FB_IMG_1628275860166.jpg
 
Unasema nyama ya nguruwe nj tamu kuliko zote umeshawahi kula mtu au nyani su sokwe. Ila hiyo nyama haina madhara
 
Iman yangu hainiruhusu kumla huyu kiumbe ,mi sio mfia dini ila naliheshimu ilo .
 
Kisayansi sijui kama imethibitishwa ya kwamba mnyama asiye cheua ana madhara na yule ambaye hajapasuka kwato uharamu au unajisi wake unasababishwaje na kutokupasuka kwato. Wala samaki asiye ma magamba/mapezi hiyo inamsababishiaje yeye kuwa haramu

Japo nguruwe sijawahi kula wala bata sijawahi kumtia mdomoni.

Ni hayo tu kwa sasa
Wayahudi na waarabu walikua na stress tuu
 
Hayo madhara uliyoyasema, yapo kwenye karibu kila aina ya nyama! Infact, white meat (kama ya nguruwe, kuku na samaki) inatajwa kua afadhali kiafya kuliko red meat (kama ya ng'ombe na mbuzi) na ndio maana nchi zilizoendelea wanakula sana nguruwe kuliko ng'ombe. Mengine ni kutishana tu, na ndio maana ili kukwepa kabisa hayo madhara kuna watu wameamua kutokula kabisa nyama (vegeterians) .
Nchi zilizoendelea wanakula zote sema nguruwe ni cheap zaidi
 
Aise mdomo umejaa mate wacha niwahi kijiweni kwa kimario chap😋😋
 
Hivi kwanini serikali haipigi marufuku watu wanaopotosha kuhusu kitoweo cha kitimoto?

Inamaana viongozi wa serikali hawajawahi kula kitimoto wakashushia na safari ya baridi?
wao wanakula kitimoto na kushushia na viywaji baridi, lakini hawawezi kupiga marufuku sababu wanaopinga ulaji wa kitimoto wanapinga kwa hoja za kisayansi na kusibitisha.
View attachment 1883823
 
Kweli kabisa mkuu, raha sana kula ukiwa na wana

Hapana mzee, hapo namaanisha kula siku za weekend
Acha kabisa.
Kitimoto ina ladha yake ya kipekee ambayo hutaiona kwa ng'ombe au kwa kuku mpwa.
Ule utamu sijui huwa unatokana na nini!
Yaani mifupa yake hata kama imeungua, inatafunika kiurahisi....
Pembeni kuna kachumbari na pilipili na ndizi za kuzugia...aloooooo.
Nina uwezo wa kumaliza kilo moja na nusu ya kitimoto, ila nusu ya ng'ombe simalizi, sijui kwa nini.
Tena ngoja niamke nikaisake pale Waswanu....
 
Acha kabisa.
Kitimoto ina ladha yake ya kipekee ambayo hutaiona kwa ng'ombe au kwa kuku mpwa.
Ule utamu sijui huwa unatokana na nini!
Yaani mifupa yake hata kama imeungua, inatafunika kiurahisi....
Pembeni kuna kachumbari na pilipili na ndizi za kuzugia...aloooooo.
Nina uwezo wa kumaliza kilo moja na nusu ya kitimoto, ila nusu ya ng'ombe simalizi, sijui kwa nini.
Tena ngoja niamke nikaisake pale Waswanu....
Utamu wa kitimoto unaweza kula hata vidole vyako 😂😂😂
 
Chakula chochote hakitomfaa mtu kwa afya yake kama hatokiandaa vizuri kwa usalama wake..nyama ya kitimoto aka MKUU WA MEZA ni nyama nzuri sana kwa ladha lakini inahitaji kuifahamu zaidi au utaalamu katika maanadalizi ili na imfae mtu . Hayo mengine ya haramu me nadhani ibakie kuwa ni utamaduni wa dini au dhehebu fulani. Dini zenyewe tuliletewa na hakuna dini isiyokosa udhaifu fulani juu ya dini nyingine
 
Chakula chochote hakitomfaa mtu kwa afya yake kama hatokiandaa vizuri kwa usalama wake..nyama ya kitimoto aka MKUU WA MEZA ni nyama nzuri sana kwa ladha lakini inahitaji kuifahamu zaidi au utaalamu katika maanadalizi ili na imfae mtu . Hayo mengine ya haramu me nadhani ibakie kuwa ni utamaduni wa dini au dhehebu fulani. Dini zenyewe tuliletewa na hakuna dini isiyokosa udhaifu fulani juu ya dini nyingine
Cha msingi ni tule kitimoto tuu hayo mengine tutajua hukooooooo mbele
 
Back
Top Bottom