NYAMBAFU:;UONGO WA YANGA KWAMBA NABI KESHASHINDA KOMBE LA AFRICA

NYAMBAFU:;UONGO WA YANGA KWAMBA NABI KESHASHINDA KOMBE LA AFRICA

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kama majitu yanaweza kuhesabia ngao ya hisani kwamba ni kombe na wanasema wameshinda treble watshindwa nini kuongea uongo mkubwa zaidi?

NYIE WAJINGA, JOSEPH OMOG KOCHA WA ZAMANI WA SIMBA, AZAM NA MTIBWA NDIYE ALIIPA AC LEOPARDS UBINGWA WA AFRIKA 2012 WALIPOIFUNGA DJOLIBA HUYO MWARABU WENU ALIKUWA MKURUGENZI WA UFUNDI

NDIYO MAANA MWAKA 2013 KWENYE TUZO ZA CAF OMOG ALIKUWEPO KATIKA NOMINEES WATATU WA KUSHINDANIA KOCHA BORA WA AFRIKA

omog.JPG
 
Kwani kombe maana yake Nini? Kaangalie ujerumani mshindi wa mechi ya ufunguzi anapewa Nini?
 
Kwani kombe maana yake Nini? Kaangalie ujerumani mshindi wa mechi ya ufunguzi anapewa Nini?
mechi ya dakika 90 inaunganishwa na kombe la FA zaidi ya mechi 7 na ligi zaidi ya mechi 30? jamani nyie watu, heee na huyo NAbi wenu mnampa utukufu wa uongo na kumchukulia utukufu wake Joseph Omog aliyeshinda kombe la shirikisho, why lakini?

shield.JPG
 
We jamaa ni chizi, na huna unalojua zaidi ya ushabiki wa kipumbavu. Kombe uchukue 2012 afu uingie kuwa kocha bora mwaka 2013?? Una akili sawasawa wewe.

Haya soma hapo kwenye kundi la makocha bora wa mwaka 2012.
Screenshot_20220808-111934_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom