Mi Corazon
Senior Member
- Oct 16, 2018
- 162
- 253
Duuh hatari....then naiona hii sub kama haina vioo vya kuchungulia nje....je hayo mabaki ya Titanic wangeyaonea kwa wapi?
Kwa mbele kuna kioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh hatari....then naiona hii sub kama haina vioo vya kuchungulia nje....je hayo mabaki ya Titanic wangeyaonea kwa wapi?
Na teknolojia zote zilizopo duniani bado matokeo ni hafifu tu ?, Kile kisa cha nyambizi ya Russia iliyopotea kinaelekea kulingana na hichi.
...bado 'field' ya teknolojia ya majini inahitaji ugunduzi mpya zaidi na akili kubwa.
T14 Armata
Kioo kiko eneo la mbele kwenye uso/pua ya hiyo subDuuh hatari....then naiona hii sub kama haina vioo vya kuchungulia nje....je hayo mabaki ya Titanic wangeyaonea kwa wapi?
Ushawahi kuwemo ndani ya submarine?Wabongo kwa ujuaji hata kwa tusiyoyajua tuko vizuri!Nani kakwambia submarine huwa zinapanda kwa surface kupata hewa?Oxygen inatengenezwa kwenye submarine kwa process inayoitwa electrolysis!Wanatumia maji ya bahari kubreak H20 molecules kupata Oxygen!Kama hizi nuclear submarine,zinaweza kaa huko majini muda mrefu sana,changamoto huwa ni chakula ndio inabidi waje surface kuchukua stock!Wakiwa na stock ya kutosha mwaka,basi wanaweza kukaa huko mwaka!
Hiyo sub ya Ocean gate ilikuwa inatumia tanks kuhifadhi oxygen!Nimeona wataalamu wanasema changamoto ni pressure kubwa kwenye kina kile dhidi ya uimara wa sub yenyewe kuhimili hiyo pressure!Ndio ikatokea implosion!
Nani kakuambia hakijafanyiwa test za kutosha ?Sikujua kama kuna wazungu wapumbavu, how could you risk your life kufanya risky tour kwa kutumia chombo ambacho hakijafanyiwa test za kutosha kuelekea huko?upumbavu wacha wafe
Hahahahaaaa,acha ujuaji usio na msingi!Ushawahi kuwemo ndani ya submarine?
Nishakuwemo mle ndani so naongea kitu nnachojua we Hujui lolote.
Kaa kimya.
Meli ya Titanic haikuzama kwa sababu za hasira ya Mwenyezi MUNGU, ile ilikua ni inside job, iliyofanywa kwa lengo maalumu.
Wewe unakijua? Acha uongo bwana.As far as umeandika hapa basi haukijui.acha basi, tufunge na kuomba.. hata nafsi zao zipone.. kifo kigumu sana hasa kama hicho chao.. unajua kifo cha kukosa pumzi kilivyo na tafrani ?
Nakijua bana 😅😅😅Wewe unakijua? Acha uongo bwana.As far as umeandika hapa basi haukijui.
Nani kakuambia hakijafanyiwa test za kutosha ?
Ooh ok okKwa mbele kuna kioo
Sawa mkuu...sema huwa kifo kinatafuta sababuKioo kiko eneo la mbele kwenye uso/pua ya hiyo sub
Kumbe ni ada ya kwenda mawinguni kwa muumba.Ni utalii tu wazungu wadadisi na ukiwa na pesa hasa wazungu wanataka kuona vitu ambavyo masikini hatapata ona. Hiyo safari kila kichwa kimelipa zaidi ya $250000 hiyo ni sawa na milion 600 za kitanzania.
Kuna ile space tourism seat moja ni sawa $200,000 na ni safari ambayo hata angani mtu hakai hata nusu saa. Lakini matajiri wa kizungu wanalipa seat zimeisha ili mradi mtu aone space tu
Kwa sababu watasaka chanzo, inasababisha huo usiwe uzembe nadhani.Na kwasababu wanasakaga chanzo bila shaka wao ni smart sana.Tumetofautiana kufikiri.Ndiyo hawa kila ajali eti ajali haina kinga. Oooh eti mapenzi ya Mungu! Mungu gani Anapenda watu wake waangamie? Huku kwetu Mungu Anasingiziwa kwenye vitu vingi tu ambavyo ni matokeo ya uzembe, ujuaji na ujinga wa binadamu.
Uzuri wenzetu wameshavuka huko. Kila ajali chanzo kitasakwa mpaka kijulikane na kinarekebishwa. Ndiyo maana leo usafiri wa ndege unaaminika maana kila ajali jamaa wanajikunja kutafuta sababu na wanarekebisha. Hakuna ajali inayopita hivi hivi na kupoteza maisha ya watu bure.
Utaambiwa wana akili sana, ila kwa kipimo cha uendawazimu hiki ni mojawapo.Wazungu hatuwajui pengine walichokuwa wanatafuta wala sio tuelezwacho.Mtu anahatarisha maisha yake na huku akitumia karibu mil 600 kwenda kuangalia screpa la titanic,aisee wazungu[emoji1373]
Wameziboresha hawana uzembe🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama ndege zilivyokuwa hazipati ajali tena?
Mwana kulifaind, mwanakuligetiSiku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic, ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.
Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho Alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.
Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.
Leo waokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.
View attachment 2664510
Pengine wana siri wanaificha.Hatuwezi ambiwa kila kitu.Wenye dini watasema Mungu hachunguziki.Sasa mbona hajatoa msaada wa kuipata ile ndege ya malysia halafu kuna submarine ya russia ikiwa na wanajeshi iliwahi kunasa chini russia akashindwa itoa. Fuatilia Kursk disaster. US wakasema wanaweza kuipa msaada wa kuiibua akagoma hao wajeda wakafia humo humo.
So, sio jambo la kitoto. Halafu serikali ya US jana iliwachukua muda kuclear raia wa ufaransa ambao ni wa taalam wa hizo mission jambo ambalo lili ifanya nifikirie kuwa labda serikali haikupa uzito.
Hata kwa wazungu kumbe kuna wahehe.Si wange search Youtube tu video ziko kibao wangeona mabaki ya iyo meli Titanic mpk waende kujiua bila kukusudia kweli
Walikuwa na jingine, nasisitiza.Mkuu sina maelezo zaidi, hii kitu haihitaji intelligent kubwa kung’amua.
Just imaging tu hata kama ni wewe ungeenda ? [emoji23]