Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

Mkuu unaongea kama hujui maana ya ajali.hata ujipange vip ikiamua kutokea inatokea tuh.hicho chombo kilichozama unazan kimeanza fanya kazi leo?
Kitambo kinapeleka watalii huko chini ila ndio mipango ya mola hio

Kifaa kilikuwa kwenye majaribio bado(hao wote waliokufa walikuwa explorers) Yaani wavumbuzi , fuatilia vizuri. Hii haikuwa ajari ya kawaida bali ilikuwa katika phase ya Majaribio na watu wakafa.
 
Kifaa kilikuwa kwenye majaribio bado(hao wote waliokufa walikuwa explorers) Yaani wavumbuzi , fuatilia vizuri. Hii haikuwa ajari ya kawaida bali ilikuwa katika phase ya Majaribio na watu wakafa.
Siyo majaribio mkuu. Ni chombo ambacho kimeshafanya safari nyingi za aina hiyo. Wanakiita experimental kwa sababu
kilikuwa bado hakijathibitishwa na mamlaka zinazohusika lakini kimefanya hizi safari mara nyingi sana. Waliowahi kusafiri nacho wapo wamehojiwa na wameeleza mambo mengi - mema na mabaya. Mojawapo baya ni kwamba kilikuwa na tabia ya kupoteza mawasiliano na meli-mama ambayo huwa inabaki juu ya maji ikikisubiri; na teknolojia yake ilikuwa ni very cheap na ilionekana ni kama vile kilitengenezwa kwa kuunga unga tu japo mmiliki wake alisema ile chamber yenyewe wanamokaa watu ilikuwa imefanyiwa uchunguzi na NASA pamoja na MIT; na kuthibitishwa. Mbele na nyuma kilikuwa kimekuwa reinforced na Titanium - one of the strongest materials known...

Kwenye expeditions zilizopita watu walipendekeza kuhusu kukiwekea beacons kama zile ambazo huwa zinawekwa kwenye black boxes za kwenye ndege. Hizi hutoa pings ambazo huwasaidia waokoaji kujua zilipo na kama kingekuwa na hizo beacons wangekuwa wameshajua kilichotokea mapema.

Sasa wanasema kwa sababu ambazo hawajazijua bado inaonekana kimepasuka tu ghafla pengine kwa kuelemewa na presha kubwa iliyoko kule chini au pengine, kutokana na tabia yake ya kupotea potea, kimejibamiza chini na kupasuka kisha kuripuka.

Waliokufa explorer alikuwa mmoja tu ambaye ni mtaalamu wa mabaki ya Titanic kutoka Uingereza. Ukiondoa nahodha ambaye pia ndiye mmiliki wake waliobaki walikuwa ni watalii tu wa kawaida akiwemo bilionea wa Pakistan na mwanaye...Titanic enthusiasts.....

Screenshot_20230622_201713_US Newspapers.jpg
Screenshot_20230622_201733_US Newspapers.jpg
Screenshot_20230623_002533_US Newspapers.jpg
 
kwanini Kiko bolted au ni sharti mkuu?

Nimemuonea huruma huyo mtoto[emoji24]
Kile chombo kimetengenezwa mahususi kwa design ya gharama nafuu. Chini ft 12000 kwenye kina cha maji kuna pressure kubwa sana, so the cheapest way for the design ilikuwa wakishaingia kinakuwa bolted kwa nje ili kufanya kiwe intact pressure ya maji isiweze kupenya.
Ndio washa RIP mkuu kila kitu kina risk wapo wengi walikufa kwenye space shuttle missions pia
 
kwanini Kiko bolted au ni sharti mkuu?

Nimemuonea huruma huyo mtoto[emoji24]
Wapo wengine tayari wanahoji kwamba hii habari imevuma kwa sababu inahusu mabilionea. Wangekuwa ni watu wa kawaida, habari ingepata uzito ule ule?

Dogo kaenda na baba yake kwenye adventure kumbe masikini ndiyo wanakwenda kupata full Titanic experience. Inasikitisha!

20230622_184709 (1) (1).jpg
 
Wapo wengine tayari wanahoji kwamba hii habari imevuma kwa sababu inahusu mabilionea. Wangekuwa ni watu wa kawaida, habari ingepata uzito ule ule?

Dogo kaenda na baba yake kwenye adventure kumbe masikini ndiyo wanakwenda kupata full Titanic experience. Inasikitisha!

View attachment 2666202
Hawa 750 missing migrants mostly ni kutokana na ujinga wao wenyewe kwa kuwachekea watawala wao wash.enzi. Hao hasa ni waafrika na watu wachache kutoka sehemu za mabara mengine ya Asia na Ametika ya kusini.
Zaidi sana ni majanga ya kujitakia
 
Hawa 750 missing migrants mostly ni kutokana na ujinga wao wenyewe kwa kuwachekea watawala wao wash.enzi. Hao hasa ni waafrika na watu wachache kutoka sehemu za mabara mengine ya Asia na Ametika ya kusini.
Zaidi sana ni majanga ya kujitakia
Kwa hiyo wafe tu?

Juzi pale pwani ya Italia chombo kimezama na mamia wakafa huku Coast Guard wa Italia wapo tu wakiangalia bila kutoa msaada wo wote.
 
Kile chombo kimetengenezwa mahususi kwa design ya gharama nafuu. Chini ft 12000 kwenye kina cha maji kuna pressure kubwa sana, so the cheapest way for the design ilikuwa wakishaingia kinakuwa bolted kwa nje ili kufanya kiwe intact pressure ya maji isiweze kupenya.
Ndio washa RIP mkuu kila kitu kina risk wapo wengi walikufa kwenye space shuttle missions pia
Duuh hatari....then naiona hii sub kama haina vioo vya kuchungulia nje....je hayo mabaki ya Titanic wangeyaonea kwa wapi?
 
Back
Top Bottom