Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

Sasa mbona hajatoa msaada wa kuipata ile ndege ya malysia halafu kuna submarine ya russia ikiwa na wanajeshi iliwahi kunasa chini russia akashindwa itoa. Fuatilia Kursk disaster. US wakasema wanaweza kuipa msaada wa kuiibua akagoma hao wajeda wakafia humo humo.
So, sio jambo la kitoto. Halafu serikali ya US jana iliwachukua muda kuclear raia wa ufaransa ambao ni wa taalam wa hizo mission jambo ambalo lili ifanya nifikirie kuwa labda serikali haikupa uzito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…