Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

20230622_184709.jpg
 
Siku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic, ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.

Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho Alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.

Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.

Leo waokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.

View attachment 2664510
Na teknolojia zote zilizopo duniani bado matokeo ni hafifu tu ?, Kile kisa cha nyambizi ya Russia iliyopotea kinaelekea kulingana na hichi.

...bado 'field' ya teknolojia ya majini inahitaji ugunduzi mpya zaidi na akili kubwa.

T14 Armata
 
tayari washamuomba toka asubuh ya leo Tesla wako kazini...
Tesla na marine technology wapi na wapi wewe ?
Hicho kina ni kirefu mno na kama hicho chombo kimestuck huko chini ,ni ngumu hata kuwapata tena miili yao maana hata submarine za kawaida hizo za jeshi hazifiki kina hicho na pressure iliyopo huko chini ni ndoto kuingiza equipment za kuokoa
 
Na teknolojia zote zilizopo duniani bado matokeo ni hafifu tu ?, Kile kisa cha nyambizi ya Russia iliyopotea inalingana kinaelekea kulingana na hichi.

...bado 'field' ya teknolojia ya majini inahitaji ugunduzi mpya zaidi na akili kubwa.

T14 Armata
Kwenye maji kugumu sana kuliko ata kwenye space we angalia umbali chombo kilipopotea ni 4km tu wakati kwenda mwezini karibu kilometa 384.4k
 

Walinzi wa Pwani kutoa habari zaidi kuhusu eneo ambalo mabaki yamepatikana​

.

BBCCopyright: BBC
Kufuatia habari za hivi punde za mabaki yaliopatikanakatika utafutaji wa nyambizi ya Titan, walinzi wa pwani ya Marekani wametangaza kwamba wataandaa kikao na wanahabari mwendo wa saa tano usiku za za Afrika Mshariki.
Taarifa kutoka kwa walinzi wa pwaniinasema kwamba roboti aina ya ROVimepata mabakikatika sakafu ya bahari karibu na mabaki ya meli ya Titanic .
Admirali John Mauger anayeongoza utafutaji huopamoja na na kamanda Jamie Frederick watazungumza katika kikao hicho.
_______________
Tundikeni maturubai
 

Walinzi wa Pwani kutoa habari zaidi kuhusu eneo ambalo mabaki yamepatikana​

View attachment 2665601
BBCCopyright: BBC
Kufuatia habari za hivi punde za mabaki yaliopatikanakatika utafutaji wa nyambizi ya Titan, walinzi wa pwani ya Marekani wametangaza kwamba wataandaa kikao na wanahabari mwendo wa saa tano usiku za za Afrika Mshariki.
Taarifa kutoka kwa walinzi wa pwaniinasema kwamba roboti aina ya ROVimepata mabakikatika sakafu ya bahari karibu na mabaki ya meli ya Titanic .
Admirali John Mauger anayeongoza utafutaji huopamoja na na kamanda Jamie Frederick watazungumza katika kikao hicho.
_______________
Tundikeni maturubai

Inaonekana iligonga mahali toka muda ambao ilipoteza mawasiliano
 
Siku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic, ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.

Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho Alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.

Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.

Leo waokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.

View attachment 2664510

Naona ni mwendo wa 99 tu
 
Back
Top Bottom