Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
Imagine you pay $ 250k to see Titanic and you get full experienceUtalii mwingine ni kukitafuta kifo kwa tochi na kwa hiari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine you pay $ 250k to see Titanic and you get full experienceUtalii mwingine ni kukitafuta kifo kwa tochi na kwa hiari.
Updates:
Hatimaye wamepatikana wakiwa wazima.
Familia zao wamewapokea wanamwaga machozi kishenzi
Ha ha haWAPI MAJALIWA AKAFUNGUE MLANGO?
R.i.P Classmates....😥Mabaki yamepatikana sehemu ambayo sub ilipotelea
Hakuna uhai tena
Classmates....😥
Mpaka muda huu watu waliokuwepo ni Rest in peace maana masaa ya oxygen yameisha.
Inaweza ikapatikana hiyo nyambizi/chombo kilichopotea, lakini juu ya yote ni ishara ya hasira ambayo anayo M/Mungu mtukufu anayo mpaka leo juu ya meli ya titanic na maovu yaliyokuwa yanafanywa humo na laana
Hadi yameonekana mabaki ya nyambizi hao watu watapatikana vipi?Mkuu, wakiipata hiyo nyambizi na watu wangali hai naomba unitag.
Umewasikia waliosafiri nacho mwaka jana??Sio mara ya kwanza kwa chombo hicho kufanya safari
Kitu kimoja nilichokishika kwa msimuliaji mmoja lazima usaini karatasi ya kifo 🚮🚮🚮Umewasikia waliosafiri nacho mwaka jana??
Meli ya Titanic haikuzama kwa sababu za hasira ya Mwenyezi MUNGU, ile ilikua ni inside job, iliyofanywa kwa lengo maalumu.Jamaa walijilaani Kwa kusema meli yao ni zaidi ya Mungu alivyoviumba vyote kuwa haiwezi zuiliwa na chochote kwenye bahari yaani kina cha Bahari si chochote Kwa meli hiyo
Pengine wakiokolewa hao waliopotea watasema chochote juu ya hasira ya Mungu
Pale ndo muone watu wa afrika hawana akiliBadala ya kuwaza tumekwama wapi,
Tunaanza kukemea pepo kwa mwamposa[emoji4]
Migrants ni waharifu
Mkuu hebu tupe maelezo ya ziada hapa tufaidike.Meli ya Titanic haikuzama kwa sababu za hasira ya Mwenyezi MUNGU, ile ilikua ni inside job, iliyofanywa kwa lengo maalumu.
Uwezekano wa hao watu watano kutoka siuoni hata kwa kujilazimisha. At such depth, bahari ina joto la juu kidogo kuliko la binadamu, unaweza zirai ukizidiwa ila sio kufa ni kama 34 °C. Tatizo ni pressure kubwa hapo chini, zaidi ya tani 2.6 kwa square inch moja. Na matatizo yanaanza kukiwa na leakage nje hapo maji yanaingia kwa kasi kama leak ni ya katobo kadogo mfano wa msumari yale maji yakiingia yanaweza kukuchubua ngozi yakikutana na wewe. Kasi yake kubwa na ukizingatia kile ni chombo kidogo hakina compartments hivyo kinajaa mapema.Na teknolojia zote zilizopo duniani bado matokeo ni hafifu tu ?, Kile kisa cha nyambizi ya Russia iliyopotea kinaelekea kulingana na hichi.
...bado 'field' ya teknolojia ya majini inahitaji ugunduzi mpya zaidi na akili kubwa.
T14 Armata