Tetesi: Nyambizi za Urusi zenye makombora ya nyuklia zapelekwa kwenye eneo la maji karibu na Marekani

Tetesi: Nyambizi za Urusi zenye makombora ya nyuklia zapelekwa kwenye eneo la maji karibu na Marekani

Chanzo chako cha habari ni hii link hapa chini na hakuna chanzo kingine...na hiyo ni site ya warusi, hivyo bila shaka ni propaganda tu hizo

Sawa kwa hiyo habari za kuaminika zote hutokea nchi za magharibi,ambazo huwa sio propaganda.
 
jamani muelewe kwamba kuna bahari ya kimataifa(bahari huru),mtu yeyote anaweza peleka meli zake,hata USA ana meli zake huko china ukanda wa bahari huru,hata urusi ana nyambizi huko USA,katika ukanda wa bahari huru,miaka mingi tu huwa zina survey huko..na sio siri,zinapishana na za USA huko bahari kuu(international water.)
View attachment 2104106
 
jamani muelewe kwamba kuna bahari ya kimataifa(bahari huru),mtu yeyote anaweza peleka meli zake,hata USA ana meli zake huko china ukanda wa bahari huru,hata urusi ana nyambizi huko USA,katika ukanda wa bahari huru,miaka mingi tu huwa zina survey huko..
Shihi kabisa
 
Sawa kwa hiyo habari za kuaminika zote hutokea nchi za magharibi,ambazo huwa sio propaganda.

Wewe unavyoona habari nzito kama hiyo, mtandaoni unapata source ni moja tu?

Pia hakuna coverage yoyote toka vyombo vya habari vikubwa kama BBC, CNN, SkyNews,Rai,CCTV etc
 
Hali ya usalama wa dunia iko hatarini kwani baada ya Marekani kuwahimiza NATO waunganishe nguvu dhidi ya Urusi kama ataivamia Ukraine, nao Urusi wamepeleka sub mbili za nyukilia karibu kabisa na eneo la Marekani.

Lengo la nyambizi hizo ni kujibu hatua yoyote Marekani atakayochukua dhidi ya Urusi juu ya mzozo wa Ukraine na Urusi.

Russian nuclear submarines already on duty off US coasts against the backdrop of the US's outrageously aggressive attitude towards Russia, it was reported that at least two Russian nuclear submarines with nuclear weapons on board could already be deployed off the coast of the United States.

View attachment 2103113

According to unconfirmed reports, one of the Russian submarines is located near the east coast of the United States, while the second one is off the west coast.

Presumably, another Russian submarine could be staying in Arctic waters.
Tensions in the relationship between the United States and Russia are reaching a climax. Russia took measures to try to solve the crisis through diplomacy, but the United States prefers to turn to increasingly aggressive measures instead by building up NATO troops in Eastern Europe, closer to the Russian borders.

The Russian nuclear submarines on duty off the coasts of the United States will thus be able to respond to any act of aggression immediately.

"The Russian submarines can presumably be located off both the western and the eastern coasts of the United States. Given their stealthiness, the Pentagon may not even be aware of their whereabouts. It is more than likely that another Russian submarine is staying in the Arctic, deep under the ice,” Sina Military publication said.

It is impossible to either confirm or deny these reports today. Russian nuclear-powered submarines with nuclear weapons on board are indeed on duty both in the Pacific and in the Atlantic Ocean. They are probably located a thousand kilometers off the US coast, Avia propublication reports.

Russia's nuclear submarine with 160 nukes on board off US coast
Kumbu kuwa hai maanishi marekeani hawajaweka nyambizi stand by lazma na marekani atafanya hivyo kwenye eneo lake la maji na hivyo hivyo kila hatua yeyote atakae chukua na mwenzake hivyo, hizi ni military tactics n procedures.TUSUBIRI NANI ATATUNGULIWA WA KWANZA KATI TA UKRAIN, AMERICA NA URUSI, HII NDO HABARI mengine ni nyimbo za kawaida
 
Wewe unavyoona habari mzito kama hiyo, mtandaoni unapata source ni moja tu?

Pia hakuna coverage yoyote toka vyombo vya habari vikubwa kama BBC, CNN, SkyNews,Rai,CCTV etc
Unadhani Urusi kama kweli wamepeleka hizo nyambizi huko America wangependa dunia ijue au ingekua ni siri yao?
 
Wewe unavyoona habari mzito kama hiyo, mtandaoni unapata source ni moja tu?

Pia hakuna coverage yoyote toka vyombo vya habari vikubwa kama BBC, CNN, SkyNews,Rai,CCTV etc
hao unaotaka watoe covarage ndio walosema saddam anasilaha za sumu ulishawahi kuziona
 
Taarifa za uongo, US siyo Somalia uwapelekee nyambizi afu wakuangalie tu, kichekisho nyingine ni ati US hawawezi kuziona.
Yap, wanaweza wasizione, hata crisis ya wakati hule Russia wameweka makombora ya nyukilia Cuba, kulikuwa na nyambizi za kirusi zilikuwa chini kabisa ya bahari, wakisubiri order wapige marekani, kipindi hicho ndo kungetokea Vita kuu ya tatu ya dunia, na hiyo ndo ilipelekea hata John Kennedy raisi ya America kupigwa risasi kichwani na watu wake ndani ya system ya CIA. Aliyemupiga risasi naye alipigwa risasi asitoe Siri mpaka leo imebaki conspiracy theories za kuuwawa kwake.
 
Hali ya usalama wa dunia iko hatarini kwani baada ya Marekani kuwahimiza NATO waunganishe nguvu dhidi ya Urusi kama ataivamia Ukraine, nao Urusi wamepeleka sub mbili za nyukilia karibu kabisa na eneo la Marekani.

Lengo la nyambizi hizo ni kujibu hatua yoyote Marekani atakayochukua dhidi ya Urusi juu ya mzozo wa Ukraine na Urusi.

Russian nuclear submarines already on duty off US coasts against the backdrop of the US's outrageously aggressive attitude towards Russia, it was reported that at least two Russian nuclear submarines with nuclear weapons on board could already be deployed off the coast of the United States.

View attachment 2103113

According to unconfirmed reports, one of the Russian submarines is located near the east coast of the United States, while the second one is off the west coast.

Presumably, another Russian submarine could be staying in Arctic waters.
Tensions in the relationship between the United States and Russia are reaching a climax. Russia took measures to try to solve the crisis through diplomacy, but the United States prefers to turn to increasingly aggressive measures instead by building up NATO troops in Eastern Europe, closer to the Russian borders.

The Russian nuclear submarines on duty off the coasts of the United States will thus be able to respond to any act of aggression immediately.

"The Russian submarines can presumably be located off both the western and the eastern coasts of the United States. Given their stealthiness, the Pentagon may not even be aware of their whereabouts. It is more than likely that another Russian submarine is staying in the Arctic, deep under the ice,” Sina Military publication said.

It is impossible to either confirm or deny these reports today. Russian nuclear-powered submarines with nuclear weapons on board are indeed on duty both in the Pacific and in the Atlantic Ocean. They are probably located a thousand kilometers off the US coast, Avia propublication reports.

Russia's nuclear submarine with 160 nukes on board off US coast
Ili kuwe na heshima ni bora US na washirika wake wafanye ambush kwa kumtoa Putin na kumshambulia silaha zake maeneo yote Duniani Ili kuzuia kuweza kujibu, vinginevyo watakuwa too late.

Sifagilii vita by the way.
 
Hali ya usalama wa dunia iko hatarini kwani baada ya Marekani kuwahimiza NATO waunganishe nguvu dhidi ya Urusi kama ataivamia Ukraine, nao Urusi wamepeleka sub mbili za nyukilia karibu kabisa na eneo la Marekani.

Lengo la nyambizi hizo ni kujibu hatua yoyote Marekani atakayochukua dhidi ya Urusi juu ya mzozo wa Ukraine na Urusi.

Russian nuclear submarines already on duty off US coasts against the backdrop of the US's outrageously aggressive attitude towards Russia, it was reported that at least two Russian nuclear submarines with nuclear weapons on board could already be deployed off the coast of the United States.

View attachment 2103113

According to unconfirmed reports, one of the Russian submarines is located near the east coast of the United States, while the second one is off the west coast.

Presumably, another Russian submarine could be staying in Arctic waters.
Tensions in the relationship between the United States and Russia are reaching a climax. Russia took measures to try to solve the crisis through diplomacy, but the United States prefers to turn to increasingly aggressive measures instead by building up NATO troops in Eastern Europe, closer to the Russian borders.

The Russian nuclear submarines on duty off the coasts of the United States will thus be able to respond to any act of aggression immediately.

"The Russian submarines can presumably be located off both the western and the eastern coasts of the United States. Given their stealthiness, the Pentagon may not even be aware of their whereabouts. It is more than likely that another Russian submarine is staying in the Arctic, deep under the ice,” Sina Military publication said.

It is impossible to either confirm or deny these reports today. Russian nuclear-powered submarines with nuclear weapons on board are indeed on duty both in the Pacific and in the Atlantic Ocean. They are probably located a thousand kilometers off the US coast, Avia propublication reports.

Russia's nuclear submarine with 160 nukes on board off US coast
Eti hali ya usalama wa dunia! Kwan America na Urusi ndo dunia? Hicho ni kipande tu cha dunia ndo hakiko ktk usalama
 
Back
Top Bottom