Nyanda za Juu Kusini: Uwekezaji kwenye Kusafirisha abiria (Niliyojionea)

Nyanda za Juu Kusini: Uwekezaji kwenye Kusafirisha abiria (Niliyojionea)

Hali ni ngumu wasafiri wenyewe wako wapi..Kuna majamaa wamekuja na TIKETI ZA KIDIJITALI NDO KABISAA BIASHARA ITAZIDI KUWA NGUMU
 
Mkuu wewe umeona mabasi tu.

Hakuna uwekezaji wowote toka awamu ya Kikwete hadi hii ya Magufuli katika mikoa tajwa(miaka 20 tunaenda).

Tatizo lazima lisemwe wazi.

Hii ni kutokana na kutaka kumpunguzia umaarufu hasa Mwandosya aliyediriki kugombea urais.

Ukiacha barabara ambazo tusiwe wanafiki zimetengenezwa hasa Mafinga-Igawa, uwekezaji mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini ni kama hakuna.

Mkoani Mbeya barabara bado ni mbovu sana Igawa Tunduma ni mbya na inamaliza maisha ya watu kila siku.#Huko Mawilayani hasa Mbeya kuna kasi ndogo sana ya mendeleo ya kimsingi, barabara.
Huko Mbeya kuna wapigaji afu unasingizia sijui awamu
Angalia barabara za mradi wa TSCP na ULGSP kwa mbeya barabara za lami walizojenga zote zimeharibika chini ya miaka 3
Sumbawanga/Rukwa na Katavi kwa mfano pamoja na vibajeti viduchu lakini wanafanya miradi inaonekana Huko Mbeya kuna watu wanajifanya wajuaji Sana sasa wanawaacha tuu
 
Mkuu wewe ni mkweli? Mbeya linejengwa soko kubwa jabla ya mikoa mingi, mbeya ilijengwa stand nzuri ya uyole kabla ya mikia mingi, njombe wamejenga solo la kisasa, stand ya kisasa Iringa kina stand ya kisasa kabusa.Nyanda za juu kusini vijiji Vinci sana vimewekewa umeme wa REA, unataka uwekezaji gani mkuu?

Uwe unazunguka na mikoa mingine ujionee hali duni bora ya mbeya njombe na iringa.

Mkia ambayo unauwekezaju mkubwa hapa TZ in Dar na Dom kwingine hali ni moja.
Hawaelewi wanapiga makelele ya kijinga,ni juzi tu hapa tumemuona Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Chalamila akisimamia kubomoa nyumba ya jamaa fulan kupisha ujenzi wa barabara ya lami km 23 tena Mbeya Vijijiji .

Kuna mikoa ikiongea uduni utaelewa Rukwa,Katavi,Kigoma,Lindi ,Ruvuma na Tabora labda wanaweza Lia ukawaelewa
 
Siku nyingne usipande kyela express
 
Back
Top Bottom