Nyanda za Juu Kusini: Uwekezaji kwenye Kusafirisha abiria (Niliyojionea)

Hali ni ngumu wasafiri wenyewe wako wapi..Kuna majamaa wamekuja na TIKETI ZA KIDIJITALI NDO KABISAA BIASHARA ITAZIDI KUWA NGUMU
 
Huko Mbeya kuna wapigaji afu unasingizia sijui awamu
Angalia barabara za mradi wa TSCP na ULGSP kwa mbeya barabara za lami walizojenga zote zimeharibika chini ya miaka 3
Sumbawanga/Rukwa na Katavi kwa mfano pamoja na vibajeti viduchu lakini wanafanya miradi inaonekana Huko Mbeya kuna watu wanajifanya wajuaji Sana sasa wanawaacha tuu
 
Hawaelewi wanapiga makelele ya kijinga,ni juzi tu hapa tumemuona Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Chalamila akisimamia kubomoa nyumba ya jamaa fulan kupisha ujenzi wa barabara ya lami km 23 tena Mbeya Vijijiji .

Kuna mikoa ikiongea uduni utaelewa Rukwa,Katavi,Kigoma,Lindi ,Ruvuma na Tabora labda wanaweza Lia ukawaelewa
 
Siku nyingne usipande kyela express
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…