Nyani Ngabu Mjengoni! Interview: Mapenzi, Utajiri&Mali, Marafiki na Maisha ya ugenini.

Ebu tupe UZOEFU kidogo....
Kitendo cha kufukuzwa na Mbwa kilikujenga vipi Kisaikolojia....leo hii na wewe unafuga Bobby ama ndio kama hutaki kuwaona kabisa MACHONI mwako..!?

Na tunaomba ujaribu kutueleza tofauti kati ya Bobby wa USA na Bongo...ni kweli wanavyo sema WAJINGA wachache kuwa ni BORA kuzaliwa BOBBY USA kuliko kuishi katika nchi inayosafirisha Dhahabu kwa kibali cha MAKINIKIA...!!?
 
Nyani Ngabu, hapa Tz inabeba sehem ya garama ktk elimu, je, marekani hali ikoje ya elimu, kuna kiasi serkali inachangia au mzigo wote unabebwa na wazazi?
 

bila shaka wewe ni nyota ya Kenge,i mean cancer zodiac. june to july?
 
JF ya sasa ikoje kwani?

Maana kila nikiingia najiona kama mgeni watu siwatambui, naishia kusepa tu...
Naweza kusema wanachama wamekuwa wengi wa kila aina hasa teenagers kuheshimiana kumekwisha.

Wewe mwenyewe wakikuona hawakujui. Kama mtu kajiunga 2017 January hawezi kukufahamu.
 
STUNTER siku ukimuinterview Shunie nistue nikuje na maswali ya kizushi Hahahaahhahaha [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Cc Smart911
Unaonaje Mahondaw ikifuata intervew yako..!!
Nina mengi sana nataka kujua juu yako na mimi nitakuwa miongoni mwa/wa watakao uliza maswali...

Ngoja nijaribu kuwasiliana na RALLY KING jr (Stunter)...

Kumbuka nina maswali mengi ya UFUKUNYUKU .......unatakiwa unipange
 
Mie napenda kingereza chako japo vingine sielewi, natamani kujua hata robo yake aisee...
 
Tehtehteh Nitakimbiaje hio interview heeeeeeeee hamtaamini kwa hio speed [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Cc Smart911
 
1. Kwanini unapenda kuongea american slang?
2. Una hofu ya nini katika maisha?
 
STUNTER fanya program ya interview kila specific day buana iwe kama ratiba fulani hivi kila wiki kwa kubadilisha wakaangwa

Naona Lara 1 alishastaafu kitambo Kiwatengu nae sijui ilikuaje nowdays na naa naa yule nanilihiu nae sijui namna gani tena

[HASHTAG]#Nimaonitu[/HASHTAG]

Cc Smart911
 
brain drain : the movement of better educated to be prepared to fit in other countries than of their origins.
Shule kama St. Laulete Mbezi Beach, Academic Mikocheni, IST Upang etc etc
 
Hahahahaaaaaaa mkuu umenikumbusha Yule jamaa aliyeenda ukweni akaumwa na Tumbo la kuharisha .
 
Ila kale ka movie ka 'Coming to America' nako kalikupa mshawasha wa kwenda US Kwingwa....Hahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…