Nyani Ngabu Mjengoni! Interview: Mapenzi, Utajiri&Mali, Marafiki na Maisha ya ugenini.

Asante saana NN, JF imebadilika saana ni kweli.

Mara nyingi nimekuwa msomaji saana jukwaa la siasa sio mchangiaji kivile lakini nimekunona mnavyorushiana maneno na baadhi ya member n.k.

je Yanaishia hapo au kuna hatrage zaidi ikitegemea xxx alishalalamika kufuatwa pm na kutukanwa.
 
Hahahahah
Hivi Nyani Ngabu katika kuishi kwako kote huko ughaibuni, kuanzia college hadi kazini,
ulishawahi kukutana na wazungu wenye tabia za kiswazi /kiswahili?
Mfano wanawake kutupiana maneno ya mafumbo n.k...
Hebi nijibu hili please

Ngoja nikwambie kitu kimoja...tabia haina rangi ya ngozi.

Tabia zote unazoziona uswazi hata kwa wazungu zipo.

Ona hao

 
Unajua kuna baadhi ya majibu yeye anayaona yako sawa kwa upande wake, ila kwa upande mwingine yanaweza sababisha ukosefu wa utulivu wa nafsi kwa baadhi ha member.
Kabisa.
Ila naamini moyo wa madame B hautikisiki kwa mirindimo ya majibu ya hivyo.
 

Hapana.

Hayo maneno kwa upande wangu yaliishia na huwa yanaishia hapa hapa.

Mimi huyo jamaa hata simjui kabisa.

Kama aliwahi kufuatwa na kutukanwa na mtu PM basi mtu huyo hakuwa mimi.

Kama yeye alidhani mimi ndiye niliyemfuata huko PM na kumtukana basi alidhani kimakosa.

Na uzuri ni kwamba angeweza tu kuwaambia mods kuwa katukanwa huko PM na mods wana uwezo wa kuangalia IP address ya mtu na nina uhakika wa 100% kuwa kama waliangalia ili kuona nani ndiye kamtukana hayo matusi huko PM basi waligundua kuwa haikuwa mimi.

As simple as that.
 
Unajua kuna baadhi ya majibu yeye anayaona yako sawa kwa upande wake, ila kwa upande mwingine yanaweza sababisha ukosefu wa utulivu wa nafsi kwa baadhi ha member.

Kivipi yakoseshe ukosefu wa utulivu wa nafsi kwa baadhi ya member?

Kwani kuna mtu nimemtaja humu au kumfunulia faragha yake?

Hebu dadavua kidogo hapo, tafadhali kama hutajali...
 
nimecheka hapa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kabisa.
Ila naamini moyo wa madame B hautikisiki kwa mirindimo ya majibu ya hivyo.
Gari bovu linavutwa na gari zima.....siku zote gari bovu halikokoti bovu mwenzie.
Hahahha....kwakweli wala hautikisiki aisee.
 
Kivipi yakoseshe ukosefu wa utulivu wa nafsi kwa baadhi ya member?

Kwani kuna mtu nimemtaja humu au kumfunulia faragha yake?

Hebu dadavua kidogo hapo, tafadhali kama hutajali...
Nikuulize swalii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…