Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaongea na sisi au unaongea na simu ?Nahisi harufu ya mtu kutaka kudandia PAPUCHI za miteremkoo ya humu Jf...
Watu wana mbinuu[emoji125] [emoji125]
Wa siku nyingi nahisi.labda wew pengine ndo uneza kuwa mgeniWewe ni Mgeni humu JF Mkuu?
Mbona sijawahi kusikia wala kuliona hilo jina NYANI NGABU!
1.Mkuu naomba listi ya vitabu vitano ambavyo kwako ni life changing
2.kama si wewe basi ni kiranga kuna aliyesema alifanya thesis fulani ya artwork fulani hivi ya artist fulani hivi skumbuki ni rembrart au nani, does it ring a bell?,if so how can I get it without compromising your anonymity,for academic purpose ofcourse.
3.mkuu samtaimz huwa comments na baadhi ya mabandiko yako huwa yamekaa kichokozichokozi,trolling of some kind na kutokana na uzoefu wako mitandaoni inaonyesha huwa unafahamu kuwa utapata backlash ama response ya aina fulani kutoka kwa wachangiaji. wengine,huwa inatokea tu au you do it for fun?
4.je umesomea ama una knowledge ya saikolojia ?
Wasalam
Unaonaje ukarudiana na mkeo?
Nataka nije kusoma afu pia nitafute kibarua cha kufanya huku nasoma ili kupunguza makali ya maisha je ninaweza kufanikisha lengo langu?
Upo za sikuWhat a joke!
Nyani ngabu hapo USA unaishi jimbo gani na mji gani,
Changamoto zake katika harakati za kutafuta ni zipi?
Hongera sana Nyani Ngabu. Huwa nasoma sana michango yako. Hufurahisha inapobid na kuleta uelewa Japo mimi si mchangiaji sana.
Je, ulishawahi kumchapa mwanao.? Iwe kofi ama fimbo.?
Same question kwa mama wa mwanao.
Swadaktaa ni wewe kumbe memory yangu bado iko sawa,hata hizo excerpts sio mbaya nitakutafuta baadaye.Kitabu hakiwezi kubadili mwelekeo wa maisha yangu. Kwa hiyo sina vitabu ambavyo vimewahi kubadili maisha yangu.
Ila naweza kusema vitabu alivyowahi kuandika mdingi kwangu vina sehemu yake maalumu kwenye moyo na maisha yangu.
Hivyo labda naweza kusema vitabu vyake...
Mimi nimewahi kuandika kuhusu The Starry Night ya Vincent Van Gogh...
Sasa nikikupa paper nzima nitakuwa nime blow cover yangu....labda nikupe excerpts tu.
Hahahaaa 9/10 huwa nafanya hivyo on purpose. Na ndo maana utakuta wale wanaonielewa wala huwa hawanaga shida na mimi kabisa.
It's just me...it's who I am. Kuna huyu mshikaji Raimundo huwa ananielewa sana na baadhi ya wakongwe.
Hapana, sijasomea saikolojia.
Darasa pekee la saikolojia ambalo nililichukua college ni Psychology 101.
Weeeee!!
Nimchape Kisura? Never ever.
Ila yeye keshawahi kunizaba kibao😀
Hapana.
Sipigagi wanawake mimi.