Mi sinaga uchoyo mwayaaMzigua hanaga hiari wewe tu ndio unakuaga unasitasita!
Hahahahaaa.Asi si unanisifia kiaina. Mfano unaanzisha "Asprin... Member mstaarabu kuliko wote JF" hapo Sky ataleta kizaazaa kwa lipi hasa?
Babu utafia kiunoni shauri ako.Nimestaafu vingi isipokuwa tendo la ndoa. Hilo hata kama nawekewa dripu kama ya Wastara wallah siezi liacha...
hahaaaa kwahiyo umemuita malcom aje amwage nondo zakuhusu sifa za nyani ngabu aiseee JF kuna visaWasalaam wanabodi..
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kadha wa kadhaa, Hivi kuna ambaye hamfahamu Nyani Ngabu humu JF? Ni kwanini Nyani ni maarufu sana humu JF? Hili swali ningeomba Nyani wenyewe anijibu..
Lakini pia, hivi kuna mrembo yeyote humu JF ambaye hamfagilii Nyani na swagg zake za kimtoni mtoni? Kuna mrembo asiyependa kuishi US Atlanta, tena ukizingatia Nyani alishawahi kusema anakaa neighbourhood moja na Usher Raymonds, yani kila asubuhi Nyani akiwa anaenda kazini huwa anamuona Usher akiwa jogging.. Kwa hayo tu naamini hakuna binti yeyote humu JF mwenye kiburi cha kumkataa Nyani.. Kama yupo basi aseme hapa na mimi nitampa Nyani kazi ya kumprove wrong huyo binti..
Nyani Ngabu nimekuja kuamini wewe ndiye mnyamwezi wa kweli humu JF, na naamini lazima PM yako inasumbuliwa sana na mabinti wanaotaka kuishi US..
Malcom Lumumba kuja hapa umwage sifa kwa Msukuma Ngabu
Ila bure nimemtaniaMpe tu kama anafaa kupewa. Uchoyo kwetu mwiko. Anaestahili apate.
Mtoto wa kiume kumpapatikia wa kiume mwenzako hii si dalili njema, Vaseline inahusika.Wasalaam wanabodi..
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kadha wa kadhaa, Hivi kuna ambaye hamfahamu Nyani Ngabu humu JF? Ni kwanini Nyani ni maarufu sana humu JF? Hili swali ningeomba Nyani wenyewe anijibu..
Lakini pia, hivi kuna mrembo yeyote humu JF ambaye hamfagilii Nyani na swagg zake za kimtoni mtoni? Kuna mrembo asiyependa kuishi US Atlanta, tena ukizingatia Nyani alishawahi kusema anakaa neighbourhood moja na Usher Raymonds, yani kila asubuhi Nyani akiwa anaenda kazini huwa anamuona Usher akiwa jogging.. Kwa hayo tu naamini hakuna binti yeyote humu JF mwenye kiburi cha kumkataa Nyani.. Kama yupo basi aseme hapa na mimi nitampa Nyani kazi ya kumprove wrong huyo binti..
Nyani Ngabu nimekuja kuamini wewe ndiye mnyamwezi wa kweli humu JF, na naamini lazima PM yako inasumbuliwa sana na mabinti wanaotaka kuishi US..
Malcom Lumumba kuja hapa umwage sifa kwa Msukuma Ngabu
Nzi kufia kwenye kidonda ni ushujaaBabu utafia kiunoni shauri ako.
Si unaona uzi tunafata protocalEti huyu superstar [emoji23][emoji23]
Bure tulishakataa.Ila bure nimemtania
MarufukuBure tulishakataa.
NaongezeaNonsense...