Nyani Ngabu the JF Superstar

Nyani Ngabu the JF Superstar

Status
Not open for further replies.
Wasalaam wanabodi..

Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kadha wa kadhaa, Hivi kuna ambaye hamfahamu Nyani Ngabu humu JF? Ni kwanini Nyani ni maarufu sana humu JF? Hili swali ningeomba Nyani wenyewe anijibu..

Lakini pia, hivi kuna mrembo yeyote humu JF ambaye hamfagilii Nyani na swagg zake za kimtoni mtoni? Kuna mrembo asiyependa kuishi US Atlanta, tena ukizingatia Nyani alishawahi kusema anakaa neighbourhood moja na Usher Raymonds, yani kila asubuhi Nyani akiwa anaenda kazini huwa anamuona Usher akiwa jogging.. Kwa hayo tu naamini hakuna binti yeyote humu JF mwenye kiburi cha kumkataa Nyani.. Kama yupo basi aseme hapa na mimi nitampa Nyani kazi ya kumprove wrong huyo binti..

Nyani Ngabu nimekuja kuamini wewe ndiye mnyamwezi wa kweli humu JF, na naamini lazima PM yako inasumbuliwa sana na mabinti wanaotaka kuishi US..

Malcom Lumumba kuja hapa umwage sifa kwa Msukuma Ngabu
hahaaaa kwahiyo umemuita malcom aje amwage nondo zakuhusu sifa za nyani ngabu aiseee JF kuna visa
 
Wasalaam wanabodi..

Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kadha wa kadhaa, Hivi kuna ambaye hamfahamu Nyani Ngabu humu JF? Ni kwanini Nyani ni maarufu sana humu JF? Hili swali ningeomba Nyani wenyewe anijibu..

Lakini pia, hivi kuna mrembo yeyote humu JF ambaye hamfagilii Nyani na swagg zake za kimtoni mtoni? Kuna mrembo asiyependa kuishi US Atlanta, tena ukizingatia Nyani alishawahi kusema anakaa neighbourhood moja na Usher Raymonds, yani kila asubuhi Nyani akiwa anaenda kazini huwa anamuona Usher akiwa jogging.. Kwa hayo tu naamini hakuna binti yeyote humu JF mwenye kiburi cha kumkataa Nyani.. Kama yupo basi aseme hapa na mimi nitampa Nyani kazi ya kumprove wrong huyo binti..

Nyani Ngabu nimekuja kuamini wewe ndiye mnyamwezi wa kweli humu JF, na naamini lazima PM yako inasumbuliwa sana na mabinti wanaotaka kuishi US..

Malcom Lumumba kuja hapa umwage sifa kwa Msukuma Ngabu
Mtoto wa kiume kumpapatikia wa kiume mwenzako hii si dalili njema, Vaseline inahusika.
 
Kwanza mtoa uzi jina lako na mambo uloyafanya huku kumsifia mwanaume mwenzio umenisikitisha.
Halafu sisi huku hamna mtoto ataeshoboka kisa kukaa nje blah blah. Kuna mtu anakua anapendwa tu ila sio hayo uloyasema bwana. Designer clothes sijui mavitu ulomsifia nayo kweli uanze kuyashobokea wakati hata mtu humjui. Tutake radhi hatuna ushamba huo.
 
Mtoto wa kiume kumpapatikia wa kiume mwenzako hii si dalili njema, Vaseline inahusika.
Mkuu Nyani ni role model.. Wewe mbona ulikuwa unampapatikia sana Ally Kiba mpaka ukaprint t-shirts, ina maana ally kiba sio kidume?
 
WE NAEEE KAMA UNAMTAKA SI UMWENDEE TU PM UMWAMBIE HAJA ZA MOYO WAKO!
yani kwa kuwa unafantacy zako za kiwehu ndo uone kila mwanamke akktakwa na NN hatakataa!

KWA KUWA?
psyuuuuuu!
AKIKUBALIWA NI KWA KUWA MTU KAVUTIWA NAE!ILA SIO US SIJUI NN!US NI NINI?
AND MBONA SIJAWAHI HATA KUWAZA TU ANAFANANAJE LET ALONE KUMTAMANI!

nia yako unataka mwenzio awekwe tu ubaoni watu wanange!
wakikujibu wewe kumbe tunajikuta tunamuoffend bila sababu!

ACHA KUSHOBOKEA WATU NYUMA YA KEYBOARDS!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom