Nyani Ngabu the JF Superstar

Status
Not open for further replies.
Mkuu usihofu tupo wote Liverpool na Simba najua haya mambo ya kunogesha jamvi lakini mambo mengi uko sahihi

Nashukuru kwa kunielewa Mkuu. Tubakie tu kuzungumzia Liverpool FC na Simba SC yetu tu humu hiyo kitu ingine tuwaachie Wahusika ambao kwa bahati wapo ama tunao wengi tu humu Jamvini na kila uchao tunatiririka na kuserereka nao.
 
Halafu una papa mkubwa yule ulinionyesha kwenye lile bwawa la Nyumba ya nyumba. Huyo papa anamzidi papa wa zari katika bwawa lake mbele ya nyumba.
Yaani ww[emoji4] lini ulikuja kwetu ukakuta bwawa LA samaki!?
 
Asipokuelewa hapa ana lake jambo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…