Sijui kama unajua, hizo nafasi za masomo ng'ambo sio kwa ajili ya Watanganyika wowote bali watoto wa machifu. Nimebahatika kusoma primary na Mjukuu wa Mangi Mkuu, mwenzetu toka sekondari kaenda London!. Nilipokwenda London, akanikaribisha kwake, kumbe Mangi Mkuu wana a big family house in London!.
Tuweke siasa pembeni, ni jimbo gani in Tanzania lilikuwa tayari kujitawala kwa kujitegemea zaidi ya Northern Province?.
Can you imagine kama uhuru ungetolewa kwa Mangi Mkuu badala ya kwa Nyerere saa hizi Tanzania tungekuwa wapi?.
P