Nyaraka inayothibitisha kwa Mangi Marealle alimuunga mkono Julius Nyerere UN hii hapa. Uongo kwamba Marealle alipinga uhuru ni kwa maslahi ya nani?

Tungekuwa uko uko walipotufikisha hawa wanaotutawala Sasa
 
Ilikuwa Lazima kijana Mwenye maadili Ndio ashike usukani hata kama angekuwepo Mwingine asingepewa sifa NZURI kwa kufifishwa kama wengine waliokuwepo!!

Kashfa hutafutwa Ili kupika wanachataka tukile!

Usijichoshe mkuu;-

"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…