NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

Acha hasira bwanamdogo itakugharimu.....

Kwa akili yako fupi watu karibu 500 walioketi chini kutuletea rasimu wewe unawazidi ufahamu??

Hebu kaoge huko usilete kikwapa hapa
Ndioshida ya kusoma na kutokuelimika hajatumia hasira ila alijaribu kueleza mtazamo wake kuhusu katiba mpya acha kupaniki Kila mtu anatoa mtazamo wake hta kukaa chini watu elfu Moja uwezekano wa kuandikaa pumba Ni mkubwa Kwan huwa na kauli Moja kwa kifupi katiba haina uzur wowote mabadiliko yanatakiwa
 
I still have to go through this is z you tell us what we have had a step back and

Sent using Jamii Forums mobile app
 
suala la katiba ni mjadala mpana unaotakiwa kuhusisha Watanzania wote kwanza wanaotaka uanzishwe wawe ni watu wenye uadilifu wa hali ya juu wanaowakilisha makundi yoote

lkn pia wanasiasa wenye Kashifa za wizi hawana uhalali wa kuongoza zoezi hili

Wanasiasa wenye Chuki wanaoshangilia vifo vya watanzania Wazalendo hawana uhalali wa kusimamia zoezi hili

kingine tunawataka woote ambao vyama vyao vina mfumo wa kidikteta kwanza waanze kuboresha mifumo ya katiba ndani ya vyama vyao kwa mfano CHADEMA hawana uhalali wowote wa kuthubutu kuongoza zoezi la kudai katiba mpya kwa sababu Chama cha Chadema kimehodhiwa na mwenyekiti mmoja kwa miaka 20 sasa hawa hawana mandate hata siku moja wakae watulie zoezi hili ni la watanzania
 
Kwani anayedaiwa hiyo katiba ndiyo mwenye katiba?

Watu watachukuwa haki zao watakapoamua kufanya hivyo.
 
Nchi iko World Trade Centre sasa hivi, mabeberu yatapishana sana angani kuleta posa, halafu Mulamula anafuraaahi.
Hiyo katiba bora isubirie tu kwanza maana muda huu tutapata katiba mbovu tu sana. Muda ukifika tutajadiri hilo na iwe ajenda ya uchaguzi kabisa.
 
Kwahiyo MATAGA mmeamua kujitenga na PUSH GANG completely?
 

Mkuu, hapa chini ni mabandiko yako:










Msimamo wako uko pale pale au umebadilika?

Ufafanuzi wako tafadhali.
 
Umesahau na wale walevi ni marufuku kukanyage bunge la katiba
 
Tuliona tulipokosea mchakato wa Katiba Mpya ulipoanzishwa na wanasiasa.
Bahati mbaya ni kuwa makundi muhimu kama Vijana, akina mama hawana habari na Katiba Mpya! Wapo bize wanapigana vikumbo kutafuta teuzi!
 
V+tccJ! (●´з)♡[emoji379] to his [emoji537] at all ╭∩╮(︶︿︶)╭∩╮~[emoji813]~╭∩╮(︶︿︶)╭∩╮┌∩┐(◣_◢)┌∩┐:;(∩´﹏∩);:┌∩┐(◣_◢)┌∩┐hhbfgch -mh]u5
 
Wakati mwingine tutakapoamua kuandika katiba mpya tume ya katiba iundwe na wataalamu tu wa katiba na sheria wenye umri kuanzia miaka 45 kutoka ndani na nchi za mbali zilizo na demokrasia ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…