Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Habari.

Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.

Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.

Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.

Mfano wako wa cv ni mzuri lakini hauko ki professional kabisa kwa upandde wangu
 
Mfano wako wa cv ni mzuri lakini hauko ki professional kabisa kwa upandde wangu

For starters, Entry level 0-3 years experience it is an ideal Resume. It is not for Mid level 4+ years.
The one who started this thread is about to finish college and that format for me is appropriate.
You can post your Resume which you believe its professional so you can help the Need.
 
Habari.

Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.

Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.

Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.

Hizo hapo waeza ku download.
 
Mpaka umefikia kiwango hicho cha elimu Kuandika CV huwezi? My organization inatoa elimu kwa mpunga mdogo kufundisha uandikaji wa Cv. Tuwasiliane.
 
hivi uki itwa ktk interview si ina maana...Mwajiri aliridhika na CV..kilicho baki ni kukuona wewe appearance na confidence?
Je...ikitokea ume sailiwa dakika nyingi say saa1 na wengine dkk chache...ina maana gani? BUSARA ZENU WAKUU
 
Wadau, hivi barua ya maombi (application letter) inatakiwa kuandikwa kwa mkono (hand-writen) au kuchapwa(printed), msaada wenu wadau
 
Back
Top Bottom