Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

mm naona tafuta mtu anayeweza kukufundisha kuliko kupoteza mda na ukatuni kama una mada nyingine lete kiukwel imeshindikana maanawote tunatoa ushauri tafakari ....................
 
Kwa level ya elimu uliyo mayo na course unayosoma kutokujua kandika CV ni tatzo ,ni mhimu tukatrace aina ya shule ulizopitia,lakn unatakiwa kutafuta MTU akusaidie kuliko kupost hum
 
waheshimiwa habari zenu?
eti mfano tangazo la kazi wanataka uambatanishe na referee letter,afu huyo referee wako mwenyewe labda yuko dar na wewe uko mwanza,ivi inawezekana hiyo barua ukaindika mwenyewe tu kwa niaba ya referee wako na ukapachika details zake then ukaituma?
kuuliza sio ujinga jamani so naomba nisionekane kilaza.
 
Hairuhusiwi, labda umwambie aandike ai-scan akutumie kwenye email yako alafu ww ui-print then unaendelea mbele, au unawasiliana naye kwanza, yeye ndiye akuruhusu uandike kwa niaba yake ikiwezekana akupe na maneno machache ya kuweka kwenye hiyo barua weka sahihi yako, weka na mawasiliano yake pale chini. Waajiri weng wanapiga kwa referee kuuliza km yeye ndio kaandika
 
Hairuhusiwi, labda umwambie aandike ai-scan akutumie kwenye email yako alafu ww ui-print then unaendelea mbele, au unawasiliana naye kwanza, yeye ndiye akuruhusu uandike kwa niaba yake ikiwezekana akupe na maneno machache ya kuweka kwenye hiyo barua weka sahihi yako, weka na mawasiliano yake pale chini. Waajiri weng wanapiga kwa referee kuuliza km yeye ndio kaandika

swali ni kwamba referee wangu akiniruhusu kuandika wao watajuaje?
 
waheshimiwa habari zenu?
eti mfano tangazo la kazi wanataka uambatanishe na referee letter,afu huyo referee wako mwenyewe labda yuko dar na wewe uko mwanza,ivi inawezekana hiyo barua ukaindika mwenyewe tu kwa niaba ya referee wako na ukapachika details zake then ukaituma?
kuuliza sio ujinga jamani so naomba nisionekane kilaza.

unaweza kuandika na ku saini, miandiko isifanane tu, mm nshafanyaga hvyo na kazi nkapata ni pm kwa maelezo zaidi
 
WAKUU HIVI HII ISHU YA KUWA BARUA YA KUOMBA KAZI YABIDI IANDIKWE KWA MKONO NA SIO KUICHAPA KWA MASHINE NI SAHIHi?
 
KUNa JAMAA ALIKUWA ANAMWAMBIA MWENZIE,
KWA KIGEZO KWAMBA EMPLOYERS NEED TO SEE APPLICANTS' HAND WRITINGS.
YULE ALIYEAMBIWA IKAMBIDI AACHE KUICHAPA, AKAIANDIKA KWA MKONO.

mara nyingi naonaga kazi za halmashauri ndio wanataka uandike kwa mkono.
 
Wakuu Salam Kwenu! Hili Kwangu Limekuwa Tatizo !.....Ndio Kwanza Nataka Nianze Kuomba Kazi, Ila sehemu Nyingi Wanahitaji Uambatanisho Wa CV, Nami Sina Uzoefu Wowote!Nifanyeje?
 
Back
Top Bottom