Unajua sasa ni muda gani? Amka sasa kumekucha mkuu maana ndoto zako ni za hatari kwako!Ipo haja ya kupima akili wagombea wetu wa ngazi ya ubunge na urais, la sivyo nchi itakuja kuingizwa kwenye matatizo makubwa kuliko ambayo yameshatokea
Unayefikiri kuna usawa pole sana, Lissu mwenyewe anajua usawa hakuna kikatiba, na kwa hiyo kampeni za Lissu ni za kutimiza mkakati wa kivuli cha demokrasia nchini na kwa kujua hilo Lissu anapungua gharama za kampeni kwa kuwachangisha michango wananchi!Sasa kwaakili za kawaida (usifikiri kiccm) unaona kuna uwanja sawa wa kushindana na vyama vingine vya siasa?
Hii ni rushwaNchi inaendeshwa kama kuku aliyekatwa shingo.
HasikiiHapa ndipo umuhimu wa katiba mpya unapoonekana, kuwa Rais wa nchi halafu hapo hapo kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ni tatizo.
Hapo Magufuli anaamua kutumia kofia yake ya Urais kujinufaisha kisiasa kwenye kampeni zake, hiIi sio sawa.
Hizi bajeti siku zote zinatakiwa kupitishwa na bunge, sio mtu mmoja anajiamulia tu, hii nchi ina sheria na taratibu zake Magufuli akumbushwe kuzifuata.
DKT. Magufuli akiwa anaendelea na kampeni za uchaguzi 2020, amepita kijiji cha Nyehunge akiwa anaelekea Geita ambapo kutoka Sengerema mpaka Nyehunge ni kilomita 46. Alisimama kuongea na wananchi waliokuwa wakimsubiri barabarani, wakati anaielezea barabara hiyo ghafla aliomba simu yake na kumpigia mtu ambae baadae alijulikana ni mkurugenzi mkuu wa TANROADS, Injinia Mfugale na mazungumzo yao yalikuwa hivi.
Magufuli: Hallo, Chief executive
Mfugale: Naam mheshimiwa Rais
Magufuli: Hujambo
Mfugale: Sijambo mheshimiwa
Magufuli: Uko wapi?
Mfugale: Niko Dar es Salaam TANESCO tunazungumzia habari ya Nyerere dam.
Magufuli: Haya, sasa mimi niko Nyehunge, kutoka Sengerema mpaka Nyehunge ni kilomita 46, hii barabara tumeshaifanyizia feasibility study na detail design, nimesimama hapa na wananchi, nataka hii barabara, mimi si ndio Rais?
Mfugale: Ndio mheshimiwa(Wananchi kicheko cha furaha)
Magufuli: Nyehunge Oyee, Unanielewa Chief? Basi hii barabara uitangaze kwa ajili ya kuijenga kwa kiwango cha lami. Huu ni mwezi wa ngapi? (Mfugale: Mwezi wa tisa). Haya uandae document zote kabla ya mwezi wa 12 haujafika na kandarasi apatikane, niulize hela nitazitoa wapi. Sawa Mfugale?
Mfugale: Nimekuelewa mheshimiwa Rais
Magufuli: Umenielewa, mueleze na Waziri kwamba hayo ni maagizo yangu wala yasibadilike, Asante sana.
MWISHO WA MAONGEZI
Utanyooka tu awamu hii na ijayo ya sita!Nchi inaendeshwa kama kuku aliyekatwa shingo.
Anaendelea kwa mujibu wa nani?Sanduku la kura ndio mwamuzi!Mhh mkuu mwananchi yeye anataka barabara, hajalishi ni uchaguzi au hapana.
Sisi wananchi tunataka haki ya kuwa na barabara na sio sheria ya kuwa na barabara wakati usio wa uchaguzi.Afterall yanini kutumia hesabu mbovu wakati fika yule Magu ataendelea,tunamdanya nani.
Huyo alishasema kuwa yeye ni jiwe na jiwe tangu lini likayumbishwa kwa makelele ya watu?Hivi Mheshimiwa anajua nini maana ya kampeni za uchaguzi wa Rais? Na pia anatambua nini kinachopaswa kufanyika wakati wa shughuli za kampeni? Na kweli alisoma kwa kina na kuzielewa kanuni na maadili ya wagombea kutokana na tume ya uchaguzi?
Mnapinga had maendeleo..!! Dah!!Nchi inaendeshwa kama kuku aliyekatwa shingo.
Jaman kuna rushwa had ya barabara!Ameanza kutoa rushwa za Barabara?
Jk Nyerere alisema "Tuogope kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamkaje au atashauriwa nini na mkewe"
Aliyaona haya ya kuwa na Rais kikurupushi.
Hujuw kwamba magufuri ni Rais?? Unakwama wapHivi Mheshimiwa anajua nini maana ya kampeni za uchaguzi wa Rais? Na pia anatambua nini kinachopaswa kufanyika wakati wa shughuli za kampeni? Na kweli alisoma kwa kina na kuzielewa kanuni na maadili ya wagombea kutokana na tume ya uchaguzi?
Tumwogope mungu kupinga had maendeleiHapo watahamisha mafungu kutekeleza hilo agizo haramu huku wakiathiri mipango mingine.
Swali la kujiuliza ni je, kama anaagiza hivi hadharani, nyuma ya pazia huwa anaagiza mangapi?
Ni wazi hata Chato Airport imejengwa kwa style hii.
Jambo lingeni la hatari ni kuwa,yeye ana kinga, ila anaowapa maagizo hawana kinga, hivyo wawe makini kwani tawala zinabadilika.
Dah!!!Huyo alishasema kuwa yeye ni jiwe na jiwe tangu lini likayumbishwa kwa makelele ya watu?
Mwenye nacho ataongezewa asiekuwa nacho atazidi kunyanganywa.
Endelea kula vinono ila mwisho unakaribiaa. JiandaeeUtanyooka tu awamu hii na ijayo ya sita!
Ndio maana tunahitaji katiba mpya.itakayoweka mazingira sawa kwa wagombea wote wa nafasi za uongozi .ugombea hauindoi status ya Urais
Nchi inaendeshwa kama kuku aliyekatwa shingo.