Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Inasemekana kuwa kuhamisha watu waishi kwenye vijiji vya ujamaa ndiyo uhamishaji wa watu mkubwa zaidi kuwahi kutokea Africa. Inasemwa kuwa katika miaka minne, toka 1974 hadi 1977 watu milioni 11 walihamishiwa kuishi kwenye vijiji vya ujamaa.
Inasemwa kuwa moja ya matokeo ya jambo hilo ni kugeuza nchi ambayo ilikuwa ni muuzaji mkubwa wa mazao nje ya nchi, hadi kuwa yenye njaa inayotegemea misaada.
Inasemwa kuwa moja ya matokeo ya jambo hilo ni kugeuza nchi ambayo ilikuwa ni muuzaji mkubwa wa mazao nje ya nchi, hadi kuwa yenye njaa inayotegemea misaada.