Kabila Moja ndio ukoo?Kwahiyo kungetokea u-ukoo, na lingekuwa jambo hatari? Sikubaliani na sababu yako. Maana hadi leo unaenda kwenye vijiji na hata wilaya nzima unakuta watu wa kabila moja, lakini ukabila ni kama haupo. Kutokuwa na ukabila(U-ukoo) hakuhusiani na kutengenezwa kwa vijiji vya ujamaa.
Zilienda wapi hizo zahanati? Vijiji vya ujamaa vilionyesha uzalishaji umekua sababu ya kupika data, na hilo lilifanyika kote vilikoanzishwa, China na Russia. Kote huko vijiji vya ujamaa vilikuwa ni disaster kubwa. Unafikiri hapa palikuwa special sana kwamba vilileta mafanikio?Wakumbuke pia hivyo Vijiji vingi vilipatiwa maji ,shule na zahanati.
Ningefurahi kupatuwa uthibitisho was anguko.la uzalishaji vs vijiji vya Ujamaa.
Kwa maeneo machache niliyokwenda Nimeona vijiji vya Ujamaa vilisukuma maendeleo !
Na hata umaskini wa mkulima leo umetokana na Nyerere. Bahati mbaya historia inayofundishwa ni ya uongo-uongo sana.
Unafananisha vitu tofauti. Kibutz vilikuwa ni kama kampuni au ushirika wa hiari. Mtu hakulazimishwa kujiunga. Hivi vinafanana sana na kampuni kuliko vijiji vya ujamaa.
Hilo nakubali kwa kiasi. Lakini hasara zake ni kubwa mno, ukiathiri uchumi unaathiri afya, elimu nk.upande wa pili ujamaa was a big success, naeza sema katika upande wa ethics na mshikamano kulikua na postive effect, tatizo lenu mnaangalia upande tu wa economics
Kabila Moja halina athari kuliko koo mojo kudominate kijiji.Swali lako halina mantiki kwa sababu majibu yako wazi unaweza ishi kijiji chenye kabila Moja kuliko kuwa kijiji chenye koo Moja.Yaani kijiji kizima wanatumia ubini mmoja.Nyerere aliona tatizo siku za usoni kwenda kuwa na serikali inayotoka koo moja.Kama mwanadamu alikuwa na mapungufu yake kwa hili Nampa Nobel.Kama kabila moja linaweza kuishi wilaya mzima, kuna tatizo gani ukoo mmoja ukiishi kijiji kimoja? Ndiyo maana nimekuuliza kuwa, bila vijiji vya ujamaa kungetokea U-Ukoo?
Koo hiyo itakuwaje hadi serikali itoke yote itoke ukoo mmoja? Ni serikali ya kifalme? Kwanza tunahangaika kujadili kitu ambacho hakipo. Kabla ya uhuru watanzania waliishi kimakabila, walioana kimakabila.Kabila Moja halina athari kuliko koo mojo kudominate kijiji.Swali lako halina mantiki kwa sababu majibu yako wazi unaweza ishi kijiji chenye kabila Moja kuliko kuwa kijiji chenye koo Moja.Yaani kijiji kizima wanatumia ubini mmoja.Nyerere aliona tatizo siku za usoni kwenda kuwa na serikali inayotoka koo moja.Kama mwanadamu alikuwa na mapungufu yake kwa hili Nampa Nobel.
Inasemwa na nani? Muache Mwalimu.
Inasemwa na nani? Pili elewa kwamba Mwalimu alikuwa anajenga taifa. Hakukuwa na Taifa zaidi ya koo za kikabila. Karagwe chiefdom, kina Marealle, Usambara, Unyenyembe nk. Hawa machifu na watemi walikuwa na Tawala ndogo za koo. Ilibidi Mwalimu azivunjilie mbali.
2. Hii nchi kubwa sana. Ilibidi kuweka watu karibu ili kupeleka huduma za kijamii. Vijiji vya Ujamaa vilikuwa na maendeleo makubwa mno. Miradi, ujenzi wa nchi pia ulikuwa kwa pamoja.
Ktk utekelezaji wa mipango mikubwa changamoto za hapa na pale ni kawaida. Kikubwa Mwalimu alijenga Taifa kwa maana ya Taifa kuliko kiongozi yeyote Afrika.
Pia utoaji wa huduma za kijamii umekuwa rahisi sana kuwafikishia watu kwa mkupuo kuliko kama tungekuwa tumetawanyika.Lakini kwa upande mwingine Kulikuwa na faida, Maana kabla watu hawajaamishwa kwenda kwenye vijiji vya ujamaa watu waliishi kulingana na koo zao hii ingetuletea shida Leo.Vijiji vimesaidia socialization.Unaenda kijiji chochote ndani ya Nchi hii unafanya maisha bila kuulizwa wewe ni koo gani.Tuangalie na upande wa pili wa shilingi.
Hilo nakubali kwa kiasi. Lakini hasara zake ni kubwa mno, ukiathiri uchumi unaathiri afya, elimu nk.
New Zealand.
Point yako nini? Kwamba hakuna wakulima matajiri?sasa new zealand agriculture yao ni kuuza mfano maziwa, nyama vitu kama hivi sio kuuza mazao, biashara ya mazao na chakula bado afrika inategemewa sana haswa katika vyakula vya binadamu ukiachana na wale wanaofanya kilimo cha kulisha wanyama
Inasemekana kuwa kuhamisha watu waishi kwenye vijiji vya ujamaa ndiyo uhamishaji wa watu mkubwa zaidi kuwahi kutokea Africa. Inasemwa kuwa katika miaka minne, toka 1974 hadi 1977 watu milioni 11 waliamishiwa kuishi kwenye vijiji vya ujamaa.
Inasemwa kuwa moja ya matokeo ya jambo hilo ni kugeuza nchi ambayo ilikuwa ni muuzaji mkubwa wa mazao nje ya nchi, hadi kuwa yenye njaa inayotegemea misaada.
Moja ya faida kubwa ni unification of ethinic and tribal groups hivyo kuleta umoja wa kitaifa, kukuza kiswahili na kuepusha vita vya kikabila na kidini hence amani tuliyonayo👏👏 japo ilivuruga mifumo ya uzalishaji mali ya awaliLakini kwa upande mwingine Kulikuwa na faida, Maana kabla watu hawajaamishwa kwenda kwenye vijiji vya ujamaa watu waliishi kulingana na koo zao hii ingetuletea shida Leo.Vijiji vimesaidia socialization.Unaenda kijiji chochote ndani ya Nchi hii unafanya maisha bila kuulizwa wewe ni koo gani.Tuangalie na upande wa pili wa shilingi.