sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Yeye ndie alieanzisha kitu hiki ambacho hakipo duniani nchi yoyote ile zaidi ya hapa kwetu.
Haiingii akilini vya upande A ni vya upande B lakini vya upande B si vya upande A, Very bitter.
Tukiendelea na huu mfumo, basi mateso haya tinayopitia yatakuwa mara 10 zaidi ya hapa miaka ijayo na ndio itakuwa case study kwamba haraka haraka ya akujaribu vitu ambavyo havijafanyiwa uchunguzi wala kuwahi kujaribiwa haina baraka.
Nchi fulani iwe huru lakini hapo hapo iingilie uhuru wa nchi nyingine huku yenyewe haitaki kuingiliwa mambo yake, aiseee!!
Hakuna binadamu Mkamilifu, wote huwa tunakosea, Nyerere ni baba wa taifa na ninamuheshimu mno lakini kwenye hili nae alikuwa na mapungufu kama binadamu wengine, Nashangaa sasa naposikia mtu akipinga muungano anaambiwa si mzalendo, akili za wapi hizi?
Mkamilifu pekee ni Mwenyezi Mungu tu na ndie tunaepaswa kufata sheria zake bila kuzibadili wala kuzikosoa.
hakikisha unapotoa comment ujibu swali muhimu, "MUUNGANO UNA FAIDA GANI KWA NCHI YAKO ?? "
Haiingii akilini vya upande A ni vya upande B lakini vya upande B si vya upande A, Very bitter.
Tukiendelea na huu mfumo, basi mateso haya tinayopitia yatakuwa mara 10 zaidi ya hapa miaka ijayo na ndio itakuwa case study kwamba haraka haraka ya akujaribu vitu ambavyo havijafanyiwa uchunguzi wala kuwahi kujaribiwa haina baraka.
Nchi fulani iwe huru lakini hapo hapo iingilie uhuru wa nchi nyingine huku yenyewe haitaki kuingiliwa mambo yake, aiseee!!
Hakuna binadamu Mkamilifu, wote huwa tunakosea, Nyerere ni baba wa taifa na ninamuheshimu mno lakini kwenye hili nae alikuwa na mapungufu kama binadamu wengine, Nashangaa sasa naposikia mtu akipinga muungano anaambiwa si mzalendo, akili za wapi hizi?
Mkamilifu pekee ni Mwenyezi Mungu tu na ndie tunaepaswa kufata sheria zake bila kuzibadili wala kuzikosoa.
hakikisha unapotoa comment ujibu swali muhimu, "MUUNGANO UNA FAIDA GANI KWA NCHI YAKO ?? "