Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Msiotaka muungano mnasubiri Nyerere afufuke aje avunje muungano?Kinachotakiwa ni kuvunjwa kwa huu muungano fake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiotaka muungano mnasubiri Nyerere afufuke aje avunje muungano?Kinachotakiwa ni kuvunjwa kwa huu muungano fake
Hii ngombe imeandika uharo..unasema ni inshu ndogo hizo..bure kabisa wewe..zenji tunaitaka sana na hatuwezi iachia maisha..ila tunaenda kubadili mfumo wa utawara soon.Zanzibar ana "privileges" nyingi kwanye muungano kwa sababu "Tanganyika" ndiye "anayeuhitaji zaidi" huu muungano. Ni simple logic.
Na "hadi tunakwenda mitamboni" ni kwamba mtu yeyote hawezi kuaminiwa "kupewa" madaraka ya Urais (wa upande huu au upande ule) bila "wenye nchi" kujiridhisha juu ya "nia na uwezo" wake wa "kuuenzi na kuudumisha" muungano...
Hatulalamiki lakini ndo ukweli, tafakari sana huu msemo' Samaki Mkunje Angalia Mbichi.Basi tusubiri Nyerere aje ku "fix" katiba.
Sisi tuendelee kulalamika kwa sasa.
Tena sio ccm bara ni ccm zenji ndio wananufaika zaidi na huu muungano feki..hawataki kabisa uvunjike mana ndio ulaji wao ulipo.Mkuu 'sky', unamlalamikia Mwalimu Nyerere bure.
Mwalimu hakusemamuungano udumu katika hali hii hii iliyouanzisha. Hii ilikuwa ni hatua ya mwanzo, ikitegemewa kuwa utaendelea kuboreshwa kadri watu watakavyozidi kuelewa na kuona manufaa ya muungano wenyewe...
Tuaiuvunje ila tuweke sawa..ardhi iwe sawa..mamlaka ya nchi iwe moja rais wa huko awe makamu JMT..pia iwepo equal opportunities kwa wote mana serikali iwe moja.Kinachotakiwa ni kuvunjwa kwa huu muungano fake
Basi sisi tuendelee kumsubiri aje kutubadilishia.Rudi nyuma aliposema ....katiba yetu inatoa mwanya wa rais kuwa Mungu mtu.... bado hakujishighulisha kuchochea ibadililishwe hajaja huyo rais kichaa aliyemhisi! Hakuziba ufa. Wenzake wanautumia had leo.
Ni nani aliomba kuungana na mwenxake kati ya Zanzibar na Tanganyika?Mkuu Mwanamaji , ukisikia uzalendo, huu ndio uzalendo.
Huu ndio ukweli wa mambo, Watanzania wazalendo wa kweli wa nchi hii, wataulinda huu muungano wetu adhimu kwa gharama yoyote.
P
Kuita watu ng'ombe katika mijadala inaweza kukuletea picha mbaya sana mahala pengine.Hii ngombe imeandika uharo..unasema ni inshu ndogo hizo..bure kabisa wewe..zenji tunaitaka sana na hatuwezi iachia maisha..ila tunaenda kubadili mfumo wa utawara soon.
#MaendeleoHayanaChama
Hilo takwa la huo uzalendo mbona ni very divisive??Mkuu Mwanamaji , ukisikia uzalendo, huu ndio uzalendo.
Huu ndio ukweli wa mambo, Watanzania wazalendo wa kweli wa nchi hii, wataulinda huu muungano wetu adhimu kwa gharama yoyote.
P
Watu hawawezi kuishi kwa kutegemea bahari na bandari tu ni ufinyu wa akili . Nchi ngapi hazina bahari wala madini na zimeendelea kuliko tanzania!? Kuna sababu zaidi ya hizi tunazoambiwa. Ila tunapoenda watatakiwa kuwa wawazi zaidi kama ni sababu za kiusalama watatakiwa waseme tu. Nyerere aliogopa ujio wa waarabu. Wazanzibari wanajiona wao ni kama waarabu ndivyo wanavyopenda kujidanganya kwahiyo kwao ni rahisi kushirikiana na mwarabu kuliko mzungu.Zanzibar ana "privileges" nyingi kwanye muungano kwa sababu "Tanganyika" ndiye "anayeuhitaji zaidi" huu muungano. Ni simple logic.
Na "hadi tunakwenda mitamboni" ni kwamba mtu yeyote hawezi kuaminiwa "kupewa" madaraka ya Urais (wa upande huu au upande ule) bila "wenye nchi" kujiridhisha juu ya "nia na uwezo" wake wa "kuuenzi na kuudumisha" muungano.
In short, ni hivi, kwa sheria za kimataifa za mipaka ya bahari, kama Zanzibar akiondoka, ataondoka na "a significant share" ya bahari ya Hindi.
Na hiyo siku ambayo atakamilisha "makaratasi ya talaka" na Tanganyika ndio siku ambayo atafuatwa na WANAOJUA NINI MAANA YA BAHARI.
Unapozungumzia bahari, unazungumzia biashara ya usafirishaji na bandari (shipping), unazungumzia mafuta na gesi, unazungumzia nishati endelevu (renewable energy), unazungumzia utalii, unazungumzia uvuvi pamoja na "madude" mengine kibao.
Urusi anaililia Crimea, China anaililia Taiwan, halafu kuna "mtanganyika" anataka "Zanzibar iende zake" ?
Hivi hizi zitakua ni akili kweli ?
Ukiuliza kwanini muungano uondoke, utasikia ooh sababu "wao" wanapata nafasi za uwaziri, Urais, u DC, Ubunge, n.k lakini "sisi" hatupati nafasi hizo kule "upande wa pili" na haturuhusiwi kumiliki ardhi pamoja na blahblah zingine kibao...
Trust me, hayo ni mambo madogo madogo sana (petty internal issues).
Katika picha kubwa, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, we are better together.
Huyo Nyerere unayemlaumu, nadhani ungemlaumu kwa mambo mengine (tena yapo kibao kama kweli uko serious kutaka kumalalamikia huwezi kukosa) lakini sio hili la Muungano, tafadhali sana.
You have no idea to whose hands Zanzibar (with her share) may fall, whoever the new sheriff might be, consequences to "Tanganyika" are nearly unthinkable.
Kama huu muungano unakukera, nadhani unatakiwa kujifunza kuuvumilia. Bado upo sana.
NB: Kwanini muungano "kama huu" haujawahi kuigwa na watu wengine duniani, sijui hii inawezaje kuwa ni hoja ya msingi.
Anyways, niseme tu kwamba "situations do differ", sio kila kisichoigwa hakikuigwa kwa sababu ni kibaya.
View attachment 2135774
nimependa hapaUrusi anaililia Crimea, China anaililia Taiwan, halafu kuna "mtanganyika" anataka "Zanzibar iende zake" ?
Andiko la huyo P linasisitiza kuwa uzalendo ni kuukubali na kuulinda muungano jinsi ulivyo.Ni nani aliomba kuungana na mwenxake kati ya Zanzibar na Tanganyika?
Samahani lakini mkuu P!
Naomba utuelezee jambo moja hapa wewe uko Well informed kuhusu hu muungano hivi:Asante kwa maoni yako juu ya nilichoandika (ujinga).
Kwahiyo unachotaka kusema ni kwamba kila anayetaka kutwaa mapande ya hii nchi na apewe ?
1. Unajua ni kwanini Tanzania na Uganda ya Iddi Amini ziliingia vitani mwaka 1978 ?
2. Unajua kwanini Tanzania na Malawi zilitaka kuingia kwenye "military negotiations" juu ya mipaka ya Ziwa Nyasa miaka kadhaa iliyopita ?
3. Unajua kwanini Kenya na Somalia miezi kadhaa iliyopita walitaka kuchukuliana hatua za kijeshi baada ya ICJ kutoa hukumu "iliyoipendelea" Somalia juu ya mzozo wa mgogoro wa mpaka wa baharini ?
It's all about territories.
Hata kilomita tano zinatosha kabisa kuleta mzozo, suala la mipaka halina mzaha.
Samahani kwa kukuandikia "ujinga" mwingine, nivumilie nduguyo, ndivyo nilivyo.
Kwa bahati mbaya ni kwamba katika jamii hamuwezi kuwa werevu wote, ni lazima mchanganyike na "akina sisi" (wajinga wajinga). It's nature.
Ukitaka kujua kuvunja muungano ilivyo ngumu.Hatulalamiki lakini ndo ukweli, tafakari sana huu msemo' Samaki Mkunje Angalia Mbichi.
Kwenye ukweli lazima tuseme, kuwa haya mambo yametuletea shida sana ambapo kila anayejaribu kuyarekebisha alijikuta kwenye pipa la moto.
Kwa nini mtu aje na mfumo wa muungano ambao haupo mahali popote pale duniani na wakati ana akili timamu? Je, ni kwa bahati mbaya tu alifanya hivyo au ni kwa makusudi? Na kama alifanya kwa makusudi ni kwa nini?Yeye ndie alieanzisha kitu hiki ambacho hakipo duniani nchi yoyote ile zaidi ya hapa kwetu.
Haiingii akilini vya upande A ni vya upande B lakini vya upande B si vya upande A, Very bitter.
Tukiendelea na huu mfumo, basi mateso haya tinayopitia yatakuwa mara 10 zaidi ya hapa miaka ijayo na ndio itakuwa case study.
Nchi fulani iwe huru lakini hapo hapo iingilie uhuru wa nchi nyingine huku yenyewe haitaki kuingiliwa mambo yake, aiseee!!
Hakuna binadamu Mkamilifu, wote huwa tunakosea, Nyerere ni baba wa taifa na ninamuheshimu mno lakini kwenye hili nae alikuwa na mapungufu kama binadamu wengine.
Mkamilifu ni Mwenyezi Mungu pekee na ndie tunaepaswa kufata sheria zake bila kuzibadili wala kuzikosoa.
Hilo ni suala la imotional sio reality kila mtu hapendi kuonewa tuUkitaka kujua kuvunja muungano ilivyo ngumu.
Hebu nenda kwenye mipaka ya Jirani yako, halafu jiongezee hata Inches 10 kutoka kwenye Kiwanja Cha jirani.
Kama damu haijamwagika, then ndio utaona Ni rahisi kuachia ardhi hiyo ya Zanzibar kirahisi tu.