antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
HAKUNA 🙄hakikisha unapotoa comment ujibu swali muhimu, "MUUNGANO UNA FAIDA GANI KWA NCHI YAKO ?? "
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKUNA 🙄hakikisha unapotoa comment ujibu swali muhimu, "MUUNGANO UNA FAIDA GANI KWA NCHI YAKO ?? "
Huko ndiko tunakokwenda.Hilo takwa la huo uzalendo mbona ni very divisive??
Mbona kila muungano huo unapoguswa kunaibuka makelele mengi?
Muundo uliopo wa muungano ni chaka lenye makandokando lukuki.
Wito kwenu "wazalendo" boresheni muundo. Nchi iwe moja. Serikali moja!
Tofauti ni hapo tunaandaa time bombs 💣💣
Hatakama ni muhimu kwani bara hakuna hiyo bahari katika ukubwa wake!? Tanga , bagamoyo, dar, mafia kote huko hapatoshi ila zanzibar tu ndo patamu!?Kama bahari sio rasilimali muhimu, basi mimi naishia hapa mkuu.
Hakuna aliyeomba, Ila kuna kabinti fulani, baada ya kumfurusha mvamizi fulani kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kakahofia aliyepinduliwa atarejea, hivyo kakakimbilia bara na kuja kujibebisha kwa jibaba Tanganyika kakiomba ulinzi, ndipo Mwalimu akamshauri, ili tusionekane tumepeleka majeshi yetu kuvamia nchi nyingine, akashauri kabinti kakubali kuolewa, kakakubali hapo hapo, ndoa ikafungwa April 26, 1964, tukawa kitu kimoja, wamoja.Ni nani aliomba kuungana na mwenxake kati ya Zanzibar na Tanganyika?
Samahani lakini mkuu P!
Ha ha ha!Sasa Nyerere si alishafariki?
Omk
O
Nyie mmeshidnwa nini kubadili pkkkili kuweka mfumo mnaouona bora?
Kinachowasumbua ni ukosefu wa akili tu, amueni mnachoona kinafaa kama kweli mna akili. Nyerere alimaliza muda wake mbona aliyoyaanzisha mengi mmeyafuta, hili linawashinda nini?
Mshachukua muda mrefu sana kiasi kwamba mtaishia kuijenga ccm badala ya kuujenga muungano.Huko ndiko tunakokwenda.
P