Nyerere alikurupuka kuleta mfumo wa Muungano ambao haupo sehemu yoyote Duniani, na hakuna nchi itakayojaribu kuiga

Huko ndiko tunakokwenda.
P
 
Kama bahari sio rasilimali muhimu, basi mimi naishia hapa mkuu.
Hatakama ni muhimu kwani bara hakuna hiyo bahari katika ukubwa wake!? Tanga , bagamoyo, dar, mafia kote huko hapatoshi ila zanzibar tu ndo patamu!?
 
Ni nani aliomba kuungana na mwenxake kati ya Zanzibar na Tanganyika?

Samahani lakini mkuu P!
Hakuna aliyeomba, Ila kuna kabinti fulani, baada ya kumfurusha mvamizi fulani kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kakahofia aliyepinduliwa atarejea, hivyo kakakimbilia bara na kuja kujibebisha kwa jibaba Tanganyika kakiomba ulinzi, ndipo Mwalimu akamshauri, ili tusionekane tumepeleka majeshi yetu kuvamia nchi nyingine, akashauri kabinti kakubali kuolewa, kakakubali hapo hapo, ndoa ikafungwa April 26, 1964, tukawa kitu kimoja, wamoja.
P
 
Ha ha ha!
Mkuu watu wana ujuzi wa kulaumu tu, kujenga umoja hata na majirani wa kuombana chumvi hawajui kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…