Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

"Hivi karibuni" inaanzia lini?

huwezi kuelewa mazingira sababu unaonekanwa hujawahi kuishi Zanzibar, kwa miaka 20 sasa population ya watu kutoka Tanganyika imekuwa iki grow kadri siku zinavyokwenda ndani ya Zanzibar, na tatizo linakuja ni kuwa huwa wanaji involve kwenye politics, kwa kifupi tu mbara akishafika Zanzibar wengi wao wanaanza kuitumikia CCM, mda mwengine CCM hutumia hata vitisho kwao, na ndio sababu kubwa ya ugomvi mkubwa baina ya Wazanzibari na wabara kule Zanzibar.
 
Sio kweli labda humuelewi Museveni. Kwanini Tanzania isiivamie Kenya au Malawi?. Kwanini iamue kupambana na Uganda ya Idi Amin peke yake?. Jiulize hilo swali.

Napokwambia wewe ni mtoto mdogo namaanisha huna kumbukumbu za Uganda kupiga kule Mutukula na sehemu ya Mkoa wa Mwanza. Amin alituletea dharau na tukamshughulikia yeye na wanajeshi wake wa kukodi kutoka Libya ya Ghadhafi.
Umeanza vizuri sana,kwa nini Idd Amini apige Mutukula na wala sio Busia au Bunagana?savabu Tanzania ilikuwa inalea waasi wa Uganda wakina M7 pale Karagwe
 
Sema marais karibu wote baada ya uhuru ilibidi wawe madikteta kwasababu kulikuwa na ishu za kupinduana. Nikisoma historia mwaka 1964 yaani miaka mitatu tu baada ya uhuru kuna wahuni walitaka kumpindua Nyerere kwa sababu ya kipuuzi sana kwamba wazungu waondoke wabaki waafrika tu kwenye vitengo bila kujali uhaba wa wasomi wakati huo. Baada ya hayo mapinduzi yaliyoshindikana ndo Nyerere akaamua kuwa roho ngumu.
 
huwezi kuelewa mazingira sababu unaonekanwa hujawahi kuishi Zanzibar, kwa miaka 20 sasa population ya watu kutoka Tanganyika imekuwa iki grow kadri siku zinavyokwenda ndani ya Zanzibar, na tatizo linakuja ni kuwa huwa wanaji involve kwenye politics, kwa kifupi tu mbara akishafika Zanzibar wengi wao wanaanza kuitumikia CCM, mda mwengine CCM hutumia hata vitisho kwao, na ndio sababu kubwa ya ugomvi mkubwa baina ya Wazanzibari na wabara kule Zanzibar.
Hujajibu swali.

"Hivi karibuni" inaanzia lini?

Ndiyo hiyo miaka 20?
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Ndio maana alianzisha jela za wazi,akaziita vijiji vya ujamaa na kujitegemea
 
Kama haijawahi kushinda uchaguzi, that's even worse.

Kwa nini hao CUF na ACT wanaingia kwenye serikali za umoja wa kitaifa na hao wezi wa CCM?

Huoni kwamba hili tatizo ni zaidi ya Nyerere na CCM?

Unaelewa sababu ya kuletwa ile serikali ya Umoja wa kitaifa?
 
naona umevaa jezi ya ubishani mkuu, kwanini unakua mkali hivyo? bora endelea tu
Kwa nini unaona mimi mkali wakati nauliza swali la timeline tu?

Tunawezaje kujadili suala la historia bila timeline?
 
Unaelewa sababu ya kuletwa ile serikali ya Umoja wa kitaifa?
Sababu iwe A au B si jambo la msingi.

Jambo la msingi ni kwamba CUF na ACT wamekubali kuingia kwenye hizo serikali.

Au hawakukubali?
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Hii sio kweli. Hakuna binadamu asiye na makosa. Makosa ya baba wa Taifa yanamezwa na mazuri yake.
Nenda Rwanda 1964 uone baada ya uhuru kutokea nini kilifuata, Nenda Congo, Burundi, Uganda na kwengineko uone.

Nyerere aliweza kuleta muungano kwa wakati ule na uliopelekea mpaka sasa kuwe kulivyo bila historia. Angekua anapenda ukoloni asingengatuka angebaki madarakani mpaka 1999.

Fikra zake zilikua kumuinua mtanzania.

Haikuezekana kwa kiwango alichodhamiria.

Kupigana na IMF, world bank, imperialism na akili ya muafrika yahitaji moyo na nguvu kubwa hasa katika hilo jambo la nne.
 
Kwa nini unaona mimi mkali wakati naukiza swali la timeline tu?

Tunawezaje kujadili suala la historia bila timeline?

kwa kifupi tu, Mtanganyika akifika Zanzibar hata leo hii, akifika katika mtaa atakaoamua kuishi taratibu zinamtaka ni lazima akajitambulishe kwenye serekali ya mtaa, huko serekali ya mtaa ndiko anapo orodheshwa kwa matumizi ya CCM, kwa kifupi unakua CCM by default, na ukiwa mbishi wanatumia hata vitisho na propaganda uchwara kukutisha. Kwa vile wengi huwa ni watu wanaootoka mikoani wanatoka vijijini au uswahilini wanatishika. kwahiyo wanaanza kufuata maelekezo wanayoelekezwa. Ni wachache wanaojielewa wanaowapotezea.
Huo mfumo umeanza kwa miaka mingi sana toka vyama vingi viliporejea nchini 90's.
Nahilo ndio moja ya bifu kubwa ya wabara na wazanzibar kule zanzibar, ya kuwa wabara wanaohamia Zanzibar wanakuwa ni pro CCM.
 
kwa kifupi tu, Mtanganyika akifika Zanzibar hata leo hii, akifika katika mtaa atakaoamua kuishi taratibu zinamtaka ni lazima akajitambulishe kwenye serekali ya mtaa, huko serekali ya mtaa ndiko anapo orodheshwa kwa matumizi ya CCM, kwa kifupi unakua CCM by default, na ukiwa mbishi wanatumia hata vitisho na propaganda uchwara kukutisha. Kwa vile wengi huwa ni watu wanaootoka mikoani wanatoka vijijini au uswahilini wanatishika. kwahiyo wanaanza kufuata maelekezo wanayoelekezwa. Ni wachache wanaojielewa wanaowapotezea.
Huo mfumo umeanza kwa miaka mingi sana toka vyama vingi viliporejea nchini 90's.
Nahilo ndio moja ya bifu kubwa ya wabara na wazanzibar kule zanzibar, ya kuwa wabara wanaohamia Zanzibar wanakuwa ni pro CCM.
Hujajibu swali.

"Hivi karibuni" inaanzia lini?

Ndiyo hiyo miaka ya 90?
 
Sababu iwe A au B si jambo la msingi.

Jambo la msingi ni kwamba CUF na ACT wamekubali kuingia kwenye hizo serikali.

Au hawakukubali?

Lengo la ile serikali ni kuondoa tofauti baina yao na kuwa kitu kimoja wapambane na maslahi yao, Tatizo bado CCM bara wamewadhibiti CCM Zanzibar na ndio mana wanaendelea kuwa influence.

Unaweza nambia nilini mgombea uraisi wa CCM Zanzibar anaetakiwa na wanaccm Zanzibar aliwahi kugombea na kuwa raisi? Maraisi wote wa Zanzibar wanaekwa na Tanganyika kwa ajili ya Maslahi yao.
 
Lengo la ile serikali ni kuondoa tofauti baina yao na kuwa kitu kimoja wapambane na maslahi yao, Tatizo bado CCM bara wamewadhibiti CCM Zanzibar na ndio mana wanaendelea kuwa influence.

Unaweza nambia nilini mgombea uraisi wa CCM Zanzibar anaetakiwa na wanaccm Zanzibar aliwahi kugombea na kuwa raisi? Maraisi wote wa Zanzibar wanaekwa na Tanganyika kwa ajili ya Maslahi yao.
Nimekuuliza swali umeliruka.

CUF na ACT walikubali kuingia kwenye hizo serikali za umoja wa kitaifa, au walikataa?
 
yameanza miaka ya 90 na yanaendelea
Basi wewe ndiye hujui historia ya Zanzibar.

Zanzibar hata uchaguzi wa 1985 Idris Abdul Wakil hakushinda urais Zanzibar.

Katika uchaguzi wa chama kimoja wa "Ndiyo" au "Hapana", Abdul Wakil alishindwa.

Matokeo yaliletwa mpaka Daily News yachapishwe. Waandishi wakaambiwa wasiyachapishe. Yakabadilishwa.

Idris Abdul Wakil akawa rais. Na kwa aibu baba yule alikataa kugombea tenanurais Zanzibar mwaka 1990.

Na waliosaidia kubadili matokeo ni Wazanzibari. Bila Wazanzibari kushiriki mchezo ule usingewezekana kufanyika.
 
Basi wewe ndiye hujui historia ya Zanzibar.

Zanzibar hata uchaguzi wa 1985 Idris Abdul Wakil hakushinda urais Zanzibar.

Katika uchaguzi wa chama kimoja wa "Ndiyo" au "Hapana", Abdul Wakil alishindwa.

Matokeo yaliletwa mpaka Daily News yachapishwe. Waandishi wakaambiwa wasiyachapishe. Yakabadilishwa.

Idris Abdul Wakil akawa rais. Na kwa aibu baba yule alikataa kugombea tenanurais Zanzibar mwaka 1990.

Na waliosaidia kubadili matokeo ni Wazanzibari. Bila Wazanzibari kushiriki mchezo ule usingewezekana kufanyika.

hayo unayoyazangumza mimi nayaelewa vizuri tu, Mimi hoja yangu ilizungumza kuwa 90% ya wazanzibari wameikataa CCM. wapo wachache waliobaki ndio waliouza utu wao na kukubali kuwa vibaraka wa Tanganyika kwa maslahi binafsi ndio hao unaowazungumza wewe.
 
hayo unayoyazangumza mimi nayaelewa vizuri tu, Mimi hoja yangu ilizungumza kuwa 90% ya wazanzibari wameikataa CCM. wapo wachache waliobaki ndio waliouza utu wao na kukubali kuwa vibaraka wa Tanganyika kwa maslahi binafsi ndio hao unaowazungumza wewe.
Kama 90% ya Wazanzibari wangeikataa CCM, CCM isingeweza kuwachezea hivyo.

Unataka kutuaminisha kuwa Wazanzibari ni watu wajinga na dhalili kiasi hicho?
 
Back
Top Bottom