Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Zanzibar wakiamua kuukataa muungano CCM haitaweza kutawala huko wewe.

Hao Wazanzibari wenyewe wengi tu ni CCM, sasa utasemaje Tanganyika inaendelea kuitawala Zanzibar kwa kupitia CCM kama vile hakuna Wazanzibari kwenye CCM.

You are contradicting yourself.

People get the leadership they deserve, unaelewa maana ya huo msemo?

waafuasi wa CCM Zanzibar hawafiki hata 10% ya wazanzibari. CCM Zanzibar inategemea kura za wabara wanaoishi kule, na ndio moja ugomvi mkubwa wa wazanzibari na wabara kule visiwani.
 
waafuasi wa CCM Zanzibar hawafiki hata 10% ya wazanzibari. CCM Zanzibar inategemea kura za wabara wanaoishi kule, na ndio moja ugomvi mkubwa wa wazanzibari na wabara kule visiwani.
10% ni significant minority, usiiseme hiyo kama ndogo.

Na kama ni ndogo hivyo, Wazanzibari wanashindwa vipi kuitoa?

Wabara ni nani na Wazanzibari ni nani? Kuna Mzanzibari asiye na mizizi bara?
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Umoja wa Africa Umeamua kujenga sanamu ya Nyerere na kuiweka pale makao makuu ya Umoja wa Nchi za Afrika !!

Nani mwenye kumjua zaidi Nyerere sisi akina Kalimanzila au Wao ???!!
😅😅🙏🙏🙏
 
10% ni significant minority, usiiseme hiyo kama ndogo.

Na kama ni ndogo hivyo, Wazanzibari wanashindwa vipi kuitoa?

Wabara ni nani na Wazanzibari ni nani? Kuna Mzanzibari asiye na mizizi bara?
ni lini CCM iliwahi shinda uchaguzi Zanzibar?
 
10% ni significant minority, usiiseme hiyo kama ndogo.

Na kama ni ndogo hivyo, Wazanzibari wanashindwa vipi kuitoa?

Wabara ni nani na Wazanzibari ni nani? Kuna Mzanzibari asiye na mizizi bara?

wabara ni kwa maana waliohamia visiwani miaka ya hivi karibuni.

Na Kwa tafsiri yako wabantu wote wanatoka west Africa, vipi unaweza kwenda Gambia ukatamba?
 
Ukute masikini na wewe ni msomi. Hii nchi Ina vichaa wengi jamani. Kuna mtanzania aliyepewa heshima afrika na Duniani kwa uzalendo na matendo ya kibinadamu zaidi ya Nyerere? Unadhani Tanzania iliheshimishwa na mwinyi,mkapa,jakaya? Hapana. Ni Nyerere buana. Huyu ndiyo baba wa taifa. Wewe ni kichaa wa taifa.
Mwanaume ukishaanza uxenge wa kuandika " Buana " hakuna atakae kuchukulia serious
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
😁 Kumbe shida ni hapo kwenye muungano
 
ni lini CCM iliwahi shinda uchaguzi Zanzibar?
Kama haijawahi kushinda uchaguzi, that's even worse.

Kwa nini hao CUF na ACT wanaingia kwenye serikali za umoja wa kitaifa na hao wezi wa CCM?

Huoni kwamba hili tatizo ni zaidi ya Nyerere na CCM?
 
wabara ni kwa maana waliohamia visiwani miaka ya hivi karibuni.

Na Kwa tafsiri yako wabantu wote wanatoka west Africa, vipi unaweza kwenda Gambia ukatamba?
"Hivi karibuni" inaanzia lini?
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Unajua maana ya ukoloni ???

Unajua gharama ya kuunganisha taifa lenye makabila 125 na kuwafanya waishi pamoja ?

Unajua gharama ya kuanza kuongoza taifa lenye asilimia kubwa ya wasio na elimu hata ya kusoma tu ?

Siku nyingine usiandike mada inakuzidi uwezo wa akili
Utajidhalilisha bure Kama hivi
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Unajiita southern independence na hujui mchango wa Nyerere kwenye hizo nchi kujipatia uhuru wake
Nenda hizo nchi wakuambie mchango wa Nyerere kuanzia SA

Wewe ni miongoni mwa watanzania mnaotuletea aibu Sana na fikra zenu za kijinga kabisa
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Alimtawala mamako?
 
Unajiita southern independence na hujui mchango wa Nyerere kwenye hizo nchi kujipatia uhuru wake
Nenda hizo nchi wakuambie mchango wa Nyerere kuanzia SA

Wewe ni miongoni mwa watanzania mnaotuletea aibu Sana na fikra zenu za kijinga kabisa
Wewe ni mjinga nani alikuambia hilo jina lina maanisha hicho ulichoandika
 
Nyerere mafanikio yake makuu ni kuwaleta watanzania pamoja na kujitahidi kuondoa ukabila.
Kutokuwa mroho wa mali.

Lakini kwenye ishu ya demokrasia, utawala, uongozi bora alifeli.
Foundation nzuri ya nchi alifeli.
Mkuu kipindi hicho kwenye mambo ya demokrasia na uongozi bora, dunia ilikuwa kwenye zama nyingine kabisa. Nadhani zile kambo mbili za Ukomunisti vs Ubepari zilikuwa zina-play part kubwa kwenye uongozi wa nchi za dunia ya tatu. Mimi nadhani ukifananisha Nyerere na marais wengine eg Kenya, Zaire, Malawi, yeye tunaweza kusema kuwa alikuwa mwanademokrasia zaidi.
 
waafuasi wa CCM Zanzibar hawafiki hata 10% ya wazanzibari. CCM Zanzibar inategemea kura za wabara wanaoishi kule, na ndio moja ugomvi mkubwa wa wazanzibari na wabara kule visiwani.
Mimi nina uhakika kabisa kuwa wazanzibar kwa ujamla wao wakiamua kuikataa CCM, hakuna anayeweza kuwalazimisha. Tatizo kuna wengine wanafaidi mfumo uliopo hivyo hawataki mabadiliko. Mtu kama dr Mwinyi anavyofanya ufisadi mkubwa sasa hivi ana kundi kubwa nyuma yake na hata hao ACT Wazalendo nao viongozi wake wanakula kwa ulaini ndiyo maana siku hizi huwezi kuwatenganisha na CCM.
 
Back
Top Bottom