Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
MATESO ya hii Katiba wa kulaumiwa ni NYERERE na Karume na wale Wazee 20 jumla Watu 22
Wazee 10 wa Tanganyika wakiongozwa na Mzee Pius Msekwa na Wazee 10 wa Zanzibar Wakiongozwa na Thabit Kombo jumla yao ni Watu 22 walijitengenezea KATIBA kwa Manufaa yao
 
Wapigania uhuru wote walipigania maslai Yao binafsi kwa mgongo wa wengi.
Thus baada ya uhuru wao ndio walionufaika na uhuru.
Wakigeuka wezi wakubwa wa raslimali za nchi na wauaji wakubwa kulinda himaya zao.
Baada ya uhuru wakageuka wakoloni wakubwa
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Nyerere+Netanyahu na wote wa nyuma yake+Obama+G. bush+Biden+Trump+Tony blair+Macron+Rishi Sunak

Hao wote❌❌❌❌❌❌❌❌
Na kuna wengi tu waliopita na wa sasa
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Imagine Jpm angekuwa ndio Mpigania uhuru angeitwa majina mazuri lakini je anastahili?
 
SAsa ni miaka zaidi ya 40 hayupo madarakani tumeshindwa nini kuuvunja Muungano?
Mzee hauvunjiki aliacha mizizi mikali sana.

Ukitaka kujua hauwezi kuvunjika naomba ujifunze kile kinachodaiwa kuwa ni Mapinduzi ya Zanzibar.

Namna kilivyotokea nani walikuwa nyuma yake na uje na conclusion kama kweli yalikuwa mapinduzi au La!
 
Na mikataba mibovu ya Sasa anahusikaje yeye?
Aliacha Katiba inayowapa watawala madaraka ya kufanya wanavyotaka bila kuhojiwa (absolute power).

Mikataba mibovu inaandaliwa na serikali na kupitishwa kwa hati za dharura bila kuzingatia maoni ya wakosoaji ndani na nje ya bunge kisha kuidhinishwa na Rais asiyehojiwa na yeyote (Rais mwenye absolute power).

Hadi leo CCM wameng’ang’ania hiyo katiba inayowawezesha kufanya ufisadi na hujuma kibao ikiwa ni pamoja na kutumia mikataba mibovu bila kuhoji wa na kuwajibishwa na wananchi.
 
Mzee hauvunjiki aliacha mizizi mikali sana.

Ukitaka kujua hauwezi kuvunjika naomba ujifunze kile kinachodaiwa kuwa ni Mapinduzi ya Zanzibar.

Namna kilivyotokea nani walikuwa nyuma yake na uje na conclusion kama kweli yalikuwa mapinduzi au La!
Ngoja kizazi kile kipite
 
Mzee hauvunjiki aliacha mizizi mikali sana.

Ukitaka kujua hauwezi kuvunjika naomba ujifunze kile kinachodaiwa kuwa ni Mapinduzi ya Zanzibar.

Namna kilivyotokea nani walikuwa nyuma yake na uje na conclusion kama kweli yalikuwa mapinduzi au La!
Yale ni wazi yalikuwa mapinduzi ya kuondoa utawala dhalimu. Na ndo maana ipo hadi sikukuu. Tuuvunje Muungano.
 
Mjinga ni afadhali maana,ukinielimisha nitaelewa,ILA upumbavu ni cancer, sasa wewe niambie tofauti hiyo ni ipi, au wewe ni mtu wa kuangalia mapicha na TV ukionyeshwa Sandton ILA haujawahi kuingia kwenye zile avenues za Alex,!,Langa, Danoon,
South africa ya apartheid ni bora kuliko hii ya ANC kwenye suala zima la uchumi haihitaji hata kubishana
 
Nyerere mafanikio yake makuu ni kuwaleta watanzania pamoja na kujitahidi kuondoa ukabila.
Kutokuwa mroho wa mali.

Lakini kwenye ishu ya demokrasia, utawala, uongozi bora alifeli.
Foundation nzuri ya nchi alifeli.
Mfumo wake wa kutawala,na mtazamo wake juu ya watu, ulipelekea shida nyingi sana kwa watu.Inawezekana alikuwa na dhamira njema kinadharia na kufikirika zaidi lakini kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.
Alikuwa na wasomi wachache lakini hawakujiamini mbele yake maana hakupenda mawazo kinzani.Ukifuatilia,unashindwa kujua uhaini wa watu kama Oscar Kambona hadi kuikimbia nchi. Kwa miaka hii, utawala wake ungetengwa na dunia.
 
Huu ni upumbavu mwingine, yale yale ya kusema Nyerere ndiye pekee aliyeikomboa Tanganyika, soma hii,soweto 1976 students uprising ndio ilichochea mabadiliko ya utawala wa rangi ndani SA, pia president wa National Party, DE Kleck, mauaji ya Chris Hani haya ndio yaliyoleta mabadiliko kule na sio front line states, anc&pac hawajawahi kufanya battles na jeshi la buru, bila shaka umeelimika kidogo,penda kujisomea ili kuondoa upumbavu wa ndio ndio
Kiongozi mkuu wa kuunganisha Watanganyika alikuwa baba yako?
 
Nyerere naweza kumlaumu kuwa mkoloni kwa sababu kuna sheria nyingi za kikoloni, kama za indefinite detention, na mfumo mzima wa kuifunga nchi isiwe huru, kama kupiga marufuku vyama vingi na kuzuia wapinzani wake kama kina Christopher Kasanga Tumbo na Joseph Kassela Bantu, alifanya hayo tangu awali kabisa.

Aliruhusu mfumo wa kikoloni uendelee tangu mwanzo wa utawala wake. Mambo mengi kama muungano, mabadiliko ya katiba, muelekeo wa nchi, Azimio la Arusha, mfumo wa Ujamaa na operesheni ya kuhamia Vijiji vya Ujamaa n.k, yalifanywa kikoloni koloni kwa maamuzi kutoka juu.

Ukisoma ripoti ya Justice Francis Nyalali alivyoandika mpaka sheria 40 kandamizi, utaona Nyerere alipinga sana sheria za kikoloni kabla hatujapata uhuru, lakini, tulivyopata uhuru, yeye mwenyewe akaendelea kuzitumia sheria hizo hizo za kikoloni wakati aliweza kuziondoa.

Hivyo, kwa muktadha huo, Nyerere ana makosa mengi na anaweza kuitwa kuwa aliendeleza mfumo wa kikoloni chini yake yeye mwenyewe.

Kuhusu Zanzibar, mara baada ya Nyerere kuunga mkono serikali ya Biafra iliyojitenga kutoka Shirikisho la Nigeria (kwa style ya kikoloni sana, baraza la mawaziri halikupata nafasi ya kujadili kwa kina kumpinga Nyerere katika hoja hii), kitendo kilichowashangaza wengi, kwa kuwa kilikuwa ni kinyume na muongozo wa OAU kuhusiana na "territorial integrity" na hata falsafa zake mwenyewe Nyerere zinazojulikana kama "The Nyerere Doctrine", Nyerere ilibidi ajieleze kwa jumuiya ya kimataifa, ana maana gani kuunga mkono kujitenga kwa Biafra kutoka Shirikisho la Nigeria.

Tarehe 13 Aprili 1968, Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kuitambua serikali ya Biafra.

Nyerere aliandika makala ya Oppposite Editorial (Op-Ed) katika gazeti la The Guardian la London, akieleza kwa nini ameunga mkono Biafra kujitenga na Shirikisho la Nigeria.

Katika makala hiyo, Nyerere alielezea imani yake kwamba watu wa Biafra wameonewa sana na Nigeria na walikuwa na haki ya kuamua kujitenga. Alielezea kuwa hata Tanzania tuna muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kwamba, ikija siku watu wa Zanzibar wakakubaliana kwamba wameonewa na watu wa Tanganyika, wakaamua kujitenga, yeye Nyerere hatakuwa na jinsi bali kuwakubalia matakwa yao ya kujitenga.

Tatizo la Zanzibar si Nyerere. Tatizo la Zanzibar hata wao wenyewe Zanzibar hawajakubaliana kwamba wanataka kujitenga. Zanzibar ukienda Pemba utasikia habari moja, ukija Unguja utasikia habari tofauti.

Wazanzibari wenyewe hawajakubaliana wanataka nini.

Sasa hapo utamlaumu Nyerere vipi?

Soma
"Building A Peaceful Nation: Julius Nyerere And The Establishment of Sovereignty in Tanzania 1960-1964" cha Profesa Paul Bjerk.

Soma
"Nyerere and Africa: End Of An Era: cha Godfrey Mwakikagile.

Soma
"Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere" cha Petro D.M Bwimbo.

Soma
"Nyalali Commission Report". Justice Francis Nyalali, et al.

Soma
"International Law And The New States Of Africa" by Yilma Makonnen.

Mohamed Said

Poppy Hatonn
Salute bro. Mmoja ya watu ninaowakubali zaidi katika kuchakata hoja..
 
Bro una elimu kiasi gani? Maana si kwa, ujinga huu ulioandika hapa,
Nyerere unayemzungumzia ni yule aliyeishi miaka ya 60! Au hawa wanaishi Leo 2000+?
Mihukumu MTU kwa muktadha wa wakati alioishi, ukimuhukumu nyerere wa 60 Leo hii? Uta kuwa unachemka, vipi kuhusu nyerere wa Leo, unawasemaje na wanakusrubu na mgao wa umeme!
Bro kukaa chini na kuanzia kulaumu vitu vilivyotokea nusu karne iliyopita! Ni, ujinga,
Ni sawa, na watu weusi,wakishindwa kitu, au maisha Yao magumu, bado wanalaumu wakoloni wa kizungu!
Wake up and smell the coffee bro! Tafuta maisha, kulaumu marehemu haikusaidii
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
 
Nyerere mafanikio yake makuu ni kuwaleta watanzania pamoja na kujitahidi kuondoa ukabila.
Kutokuwa mroho wa mali.

Lakini kwenye ishu ya demokrasia, utawala, uongozi bora alifeli.
Foundation nzuri ya nchi alifeli.
Hakukna binaadam mkamolofu 100% hilo alofanikiwa kuwa weka wtu pamoja nijambo la msingi zaidi yalobakia nn ss wenyewe kuwa wabinafsi
 
MATESO ya hii Katiba wa kulaumiwa ni NYERERE na Karume na wale Wazee 20 jumla Watu 22
Wazee 10 wa Tanganyika wakiongozwa na Mzee Pius Msekwa na Wazee 10 wa Zanzibar Wakiongozwa na Thabit Kombo jumla yao ni Watu 22 walijitengenezea KATIBA kwa Manufaa yao
Katiba hii waroho wa madaraka wanaona kikwazo kwao lkn mwenye akili atathmin hizo nchi zilobadilisha katiba hiv karibuni jee kuna utulivu km tz jee uchumi umebadilika na usitawi wa jamii uko tafauti na tz mwenye macho haambiwi tazama
 
Back
Top Bottom