Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Hutakiwi kuwalaumu CCM wakati hata upinzani wamekubali kuingia kwenye serikali.

kuingia kwenye serikali ni suala la kikatiba ndugu. wapinzani wanaangalia vita yao ya kisiasa vipi waende nayo. Na ndio kuna mika huigomea kuna miaka huingia. Hilo haliwezi ondoa uovu waa CCM kwenye hii nchi.
 
kuingia kwenye serikali ni suala la kikatiba ndugu. wapinzani wanaangalia vita yao ya kisiasa vipi waende nayo. Na ndio kuna mika huigomea kuna miaka huingia. Hilo haliwezi ondoa uovu waa CCM kwenye hii nchi.
Hutakiwi kuilaumu CCM tu wakati serikali mpaka upinzani upo.
 
Umeanza vizuri sana,kwa nini Idd Amini apige Mutukula na wala sio Busia au Bunagana?savabu Tanzania ilikuwa inalea waasi wa Uganda wakina M7 pale Karagwe
Idd Amin alijichanganya mwenyewe tukamshughulikia. Mwalimu Nyerere alikuwa hodari wa kuunganisha afrika nzima muda wote wa maisha yake ya urais hakuna namna yeye aanzishe fitina ili eti aisaidie Uganda.

Aliamini katika siasa za umoja.
 
wewe unaeleweka ni mwana CCM. kwaiyo kuendelea kueleweshana na wewe ni kujisumbua tu
Hapana.

Mimi si mwana CCM. Sijawahi kuwa na kadi ya chama hicho au chochote cha siasa.

Na kwa kweli nakisema sana CCM. Nimekisema kipindi cha Mkapa.

Nimekisema kipindi cha Kikwete, rekodi zipo JF.

Nimekisema kipindi cha JPM, rekodi zipo JF.

Nimekisema kipindi cha Samia, rekodi zipi JF.

Wewe unaleta hoja ya kivivu tu kwamba kila anayekupinga ni CCM.

CCM naisema sana. Hilo si tatizo.
 
Back
Top Bottom