Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete waliwahi kuvaa Magwanda ya JWTZ walipokuwa Marais?

Basi Nenda
 
Usitake kusema "watu wote" kama vile ushafanya sensa ya kujua ni wangapi wanaona ni Sawa au wangapi wanaona si sawa raia kuvaa nguo za jeshi.

Rais ni raia tu kama Mimi na wewe na si mwanajeshi. Inakuwaje avae sare za jeshi?

Ni Raia Namba Moja basi tufanye kuwa Raia namba moja kumempa privilege ya kuvaa uniform za Jeshi kwenye tukio la kijeshi

Wewe ni Raia wa milion 43 Ni marufuku kuvaa uniform za Jeshi hata ukiwa ndani kwako
 
Jibu nzuri sana mkuu 👏
 
Elimu ya uraia uliyodai sinayo,ni ya nchi gani?..maana huku kwetu Marais wanne walivaa sare za jeshi,rais wa china,France na urusi walivaa,hiyo elimu ya uraia inapatikana darasa la ngapi ambalo wengine hatukufanikiwa kufika?
We akili ndogo kawekeze tu kwenye Mapuya ukishavaa migombamigomba basi unajiona uko juu ya Nchi
 
We akili ndogo kawekeze tu kwenye Mapuya ukishavaa migombamigomba basi unajiona uko juu ya Nchi
Wenyewe badala ya.kujadili hoja wamekaza shingo wakidhani wanatetea "chama chao" kumbe wanaonekana hawana walijualo.

hp4510 anadai kwa kuwa Rais in "raia namba moja" basi hiyo tu inampa haki ya kuvaa mavazi ya JWTZ.
Sidhani kama hata kama anajua kwa nini Rais anaitwa raia namba moja. Nadhani kwake yeye Rais kuitwa raia namba moja anaona Rais kawa juu ya watanzania wote.
 
Mwl. Nyerere sio tu alivaa bakabaka bali alivaa hadi mavazi ya mgambo.
 
Mwl. Nyerere sio tu alivaa bakabaka bali alivaa hadi mavazi ya mgambo.
Hebu weka picha Mwalimu Nyerere akiwa amevaa nguo za JWTZ tena zikiwa na vyeo visivyokuwepo kwenye Jeshi.

Mwalimu hakuvaa nguo za Mgambo Bali alivaa Khaki nguo zinazojulikana Dunia nzima kuwa ni nguo za "field".
 
Hebu weka picha Mwalimu Nyerere akiwa amevaa nguo za JWTZ tena zikiwa na vyeo visivyokuwepo kwenye Jeshi.

Mwalimu hakuvaa nguo za Mgambo Bali alivaa Khaki nguo zinazojulikana Dunia nzima kuwa ni nguo za "field".
Uwe unafuatilia mambo. Mwl. Nyerer alivaa sare za JWTZ na mgambo sio khaki kama unavyosema yaani awe katikati ya jeshi la akiba alafu avae nguo za khaki


 
Washamba waliopata Urais kwa fluku ndiyo wanavaa hayo makombati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…