kilamfua
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 167
- 115
Kwa Faiza Foxy unalisakama kanisa katoliki na Nyerere sujui kwa nini? Kifupi ni kwamba kanisa katoliki si tu kwamba ina rasilimali nyingi hapa TZ bali ni duni nzima nenda hata Marekani Shule na Hospital zote nzuri zinamilikiwa na kanisa hili,kwa hiyo si sahihi kusema Nyerere alipendelea kanisa katoliki. Je miaka yote hiyo baada ya yeye kutoka mbona bado kanisa katoliki lipo juu tena zaidi kulipo alipokuwepo???
Kifupi ni kwamba we unachuki binafsi na kanisa na Nyerere vitu ambavyo havitakusaidi hata ungefanya nini kanisa katoliki lipo juu tena zaidi ya unavyofikiri
All BEST form four results from ROMAN CATHOLIC
ALL BEST HOSPITALS FROM RC N.K
MTAJIJU!!!@@@
Kifupi ni kwamba we unachuki binafsi na kanisa na Nyerere vitu ambavyo havitakusaidi hata ungefanya nini kanisa katoliki lipo juu tena zaidi ya unavyofikiri
All BEST form four results from ROMAN CATHOLIC
ALL BEST HOSPITALS FROM RC N.K
MTAJIJU!!!@@@