johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Mimi nimemnukuu Nyerere bwashee!Ngoja wale akina crimea, etwege, akina jingalao. Utashambuliwa hapa 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimemnukuu Nyerere bwashee!Ngoja wale akina crimea, etwege, akina jingalao. Utashambuliwa hapa 🤣🤣🤣🤣
Huyu mama hafukuzi nimeona hana jipya kiongozi alikuwa JK pekee huwezi kuwa na tuhuma ukabaki salamaNi vema wale wakuu wa wilaya na mikoa wenye tuhuma za kutesa, kuteka, kuumiza na kutupa watu korokoroni bila sababu za msingi wakawekwa pembeni zama hizi za awamu ya 6.
Na Kigwangalla akawaombe radhi wale wazee aliowapigisha push up baada ya kuwahoji "mzaha siyo mzaha?" kinyume kabisa na sheria ya utumishi.
Ni angalizo tu maana kuna viongozi walishajigeuza kuwa majambazi.
Niishie hapo!
Umenikumbusha Mramba na Yona!Huyu mama hafukuzi nimeona hana jipya kiongozi alikuwa JK pekee huwezi kuwa na tuhuma ukabaki salama
Mama wa pesa ya mboga, Ezekieli Maige n.kUmenikumbusha Mramba na Yona!
Atakuwa anaogopaUmenikumbusha Mramba na Yona!
Haya yote alisababisha JPM.