Nyie madogo mnaofaulu mitihani acheni kuwadanganya wenzenu kuwa mnamtegemea Mungu

Nyie madogo mnaofaulu mitihani acheni kuwadanganya wenzenu kuwa mnamtegemea Mungu

Sio hao madogo tu, hata matajiri wengi waliopata utajiri wao kwa dhulma na unyonyaji wa wafanyakazi wao hupenda sana kuanza na huo msemo.
wengi wetu tunautumia kama back up plan Fulani hivi ..nadhani tunakwenda na kuwaaminisha watu namna hovu
 
Wewe ndy umeelewa vibaya, soma alichosema yule dogo Tanzania one harafu soma thread vizuri.
hahaha lakini ishu ni kuwa kwann wanasemaga ni Mungu tu wanaacha kusema bwana ishu ilikuwa ni jitihada bnafsi na mambo tofauti tofauti pia
 
point ni kumshukuru Mungu na kuelezea wenzako namna ilikusaidia kufanya vizuri lakini mtu anaulizwa swali anajibu kirahisi tu ni Mungu baba,wakati anajua wote tunamtegemea Mungu huyohuyo
 
Nadhani ulimuelewa vibaya, anamtanguliza Mungu katika masomo yake, kama Rais wetu anavyosisitiza, kwamba tumtangulize Mungu kwa kila jambo (la heri) tufanyalo. Hata Mungu mwenyewe amesema jisaidie (jitahidi) nami nitakusaidia.
Mpaka wasiojulikana watandika risasi watu huwa wanamtanguliza Mungu eti!!

Mungu anachezewa sana
 
hahaha lakini ishu ni kuwa kwann wanasemaga ni Mungu tu wanaacha kusema bwana ishu ilikuwa ni jitihada bnafsi na mambo tofauti tofauti pia
Mwingine labda alifanya juhudi za kawaida tu kama ni kusoma alisoma kawaida kama anavyosomaga mitihani ya shule ila matokeo akajikuta kaongoza Taifa nzima so lazima cha kwanza amshukuru Mungu na kusema Mungu ndio kamuwezesha.

Labda kama mtu huna imani na Mungu ndio utaona kasema kitu cha ajabu
 
Wapo wanaotumia nguvu za giza katika kufanikiwa. Ndio maana mwanzo nimesema kwa wanaomuamini Mungu.
Hao wanaotumia njia zingine siwezi kuwaongelea.
Mafanikio yooote hapa duniani anayasababisha Mungu hata waabudu mizimu nk.

Ni hivi Mungu amekuacha huru uchague njia wewe mwenywe then yeye anakufanikishia kulingana na njia hiyohiyo uliyo chagua Siri kubwa Mungu anafanikisha zaidi Wale wanaofata njia haramu au za kumuhasi kuliko njia nzuri.

Kwanini hivi, hii ni mitihani yake kwasisi viumbe.
 
Sijaona ulipopinga kwamba huyo aliyefauru hayupo sahihi bali nimeona umekubali kuwa yupo sahihi ila aongeze maneno kuwa alifanyajefanyaje pia.
Ndio nilichotaka wasiishie tu kusema ni Mungu waongeze mbunu na jitihada pia ili kuwachallenge wengine pia
 
Mafanikio yooote hapa duniani anayasababisha Mungu hata waabudu mizimu nk.

Ni hivi Mungu amekuacha huru uchague njia wewe mwenywe then yeye anakufanikishia kulingana na njia hiyohiyo uliyo chagua Siri kubwa Mungu anafanikisha zaidi Wale wanaofata njia haramu au za kumuhasi kuliko njia nzuri.

Kwanini hivi, hii ni mitihani yake kwasisi viumbe.
Pole sana,basi hakuna haja ya kupingana na shetani sasa
 
Sio hao madogo tu, hata matajiri wengi waliopata utajiri wao kwa dhulma na unyonyaji wa wafanyakazi wao hupenda sana kuanza na huo msemo.
kwani hao matajiri wa dhulma hawamtegemei Mungu.
 
Ukisikiliza vijana wengi waliofanya vizuri kwenye mitihani yao wanadai ni Mungu tu.

Maswali ya kujiuliza
1.Swali linakuja je waliofeli wao hawakumtegemea?
2. Hawakusoma ila Mungu ndio aliwapa majibu au?
3. Kuna wasioamini Mungu lakini wanafanya makubwa,wao wanamtegea nani?

Ushauri wangu kwao. Kabla hujasema ni Mungu,anza kutaja jitihada/mbinu ulizotumia kusoma na kufaulu alafu Mungu akakusaidia na sio kuwaingiza choo wengine.

Hakuna Mungu anaeweza kumsaidia mjinga. Madhara ya kauli hizi ni kuathirika kwa vijana wengine ambao bado hawajamaliza,wanaweza kuamua kuacha kusoma na kushinda makanisani kumsubiri Mungu afanye miujiza kwenye mitahani yao.
Vipumbavu sana
 
wengi wetu tunautumia kama back up plan Fulani hivi ..nadhani tunakwenda na kuwaaminisha watu namna hovu
Mwanafunzi Paul Luziga (17), kutoka katika Shule ya Sekondari Panda Hill ya mkoani Mbeya, ambaye ameongoza kwenye matokeo ya kidato cha nne kitaifa mwaka huu, amesema siri kubwa ya yeye kufanya vizuri ni kumtegemea Mungu.
 
Nadhani ulimuelewa vibaya, anamtanguliza Mungu katika masomo yake, kama Rais wetu anavyosisitiza, kwamba tumtangulize Mungu kwa kila jambo (la heri) tufanyalo. Hata Mungu mwenyewe amesema jisaidie (jitahidi) nami nitakusaidia.
Kwa hiyo karibia asilimia 50 ya waliofeli (division 4 au sifuri) hawamtegemei Mungu? Hii ni tabia ya uongo ambao wanaanza kufundishwa mapema na wazazi wao, na baadae wakikua hata pale ambapo wameiba kura au kuiba mali ya umma na kufanikiwa huendelea kusema ni Mungu amewasaidia.
 
Wanamtegemea mungu wa dunia labda, lakini sio muimbaji
Tatizo munachanganya sana misamiati bila kujua maana

kila kiumbe kina mtegemea Mungu iyo unayoUngumzia wewe ni imani kwamba hawamuamini Mungu Hekima iko hivi uamini chochote kila hata uamini Mungu wako Nyoka uamini Mungu hayupo Still Mungu atakufanikisha kwenye Mambo mbalimbali.
 
Kwa hiyo karibia asilimia 50 ya waliofeli (division 4 au sifuri) hawamtegemei Mungu? Hii ni tabia ya uongo ambao wanaanza kufundishwa mapema na wazazi wao, na baadae wakikua hata pale ambapo wameiba kura au kuiba mali ya umma na kufanikiwa huendelea kusema ni Mungu amewasaidia.
Alisema wengine hawamtegemei Mungu au maneno yako tu.
 
Back
Top Bottom