Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Boy ukiona ndani ya mada kuna watu watu wanamjadara penda kuunzia mwanzo then ndio uchangie hapo nime m-mock jamaa kwamfano kuwa anachoamini si sahihi nimemtolea mfano wa kauri anayoongea Aliyefeli sasa....natumia nguvu nyingii aise let me sleepMkuu serious kabisa??
Kufeli kwa jirani yako ni mapenzi ya Mungu? Na yule aliefaulu? Mbona kama mungu anabagua wakufaulu na wakufeli sasa? Huyo mungu gani?